Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Mmh!Kama wamewatema akina lowasa na chenge,sidhan kama lowasa na huyo chenge watakubali kuabika peke yao,nilazima watamwaga hadharan uchafu wa viongoz wengne wa CCM.Yetu masikio.
 
eeh hii ni sawa mtu kuona utumbo wake unanuka akaamua kuukata baadae anagundua ni wakwake.lets wait &c
 
Hivi nyie mnauliza source wakati mleta habari mnamuona hapo juu. Mnanshangaza sana, source kwani anam "quote" mtu kuwa fulani kasema hivi. Hapo source ni yeye mwenyewe.
 
Breaking News, Radio Mwangaza FM. Watu wameshikwa na taharuki sana hapa Dodoma. S

Jamani hivi kwanini mnapenda kusema uongo? Kwamba Redio Mwangaza FM. ndio chanzo cha habari hii si kweli kabisa.Mimi hapa nilipo nasikiliza redio hii kuanzia saa 2.00 na hakuna kitu cha namna hiyo.Haipendezi kwa watu wazima kuwa waongo jamani. Kama kuna source nyingine,sawa,lakini sio Redio Mwangaza FM.
 
Sasa wakifukuzwa uanachama sa si ndio ubunge basi au katiba mpya ishapitisha mgombea binafsi?
 
Hivi nyie mnauliza source wakati mleta habari mnamuona hapo juu. Mnanshangaza sana, source kwani anam "quote" mtu kuwa fulani kasema hivi. Hapo source ni yeye mwenyewe.

kama nawe umgongee like basi naye aendelee kutujuza hehe FF naona Mgwanda sasa mtaanza kupata nguvu humu
 
mbona mnatulusha roho ukweli upo wapi mwenye uhakika atupe hbr na sio kwa hisia zako jua kuwa mt wa mondoli ni mt mkubwa na mwenye zamana
 
u cant be serious...mbona Chenge ndo anachangia muda huu na anapigiwa makofi hapa?!
 
Jamani hivi kwanini mnapenda kusema uongo? Kwamba Redio Mwangaza FM. ndio chanzo cha habari hii si kweli kabisa.Mimi hapa nilipo nasikiliza redio hii kuanzia saa 2.00 na hakuna kitu cha namna hiyo.Haipendezi kwa watu wazima kuwa waongo jamani. Kama kuna source nyingine,sawa,lakini sio Redio Mwangaza FM.
Ulikuwa na maslahi na lowasa imekula kwako kapigwa chini jumla hehehe mzee wa vijisent mahakama inakusubiri
 
Hivi nyie mnauliza source wakati mleta habari mnamuona hapo juu. Mnanshangaza sana, source kwani anam "quote" mtu kuwa fulani kasema hivi. Hapo source ni yeye mwenyewe.

Karibu FF....«»Magamba yananyofolewa tu
 
Back
Top Bottom