Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Mmmmh!ngoja nione kama nitakuwa na cha kuchangia,maana habari yenyewe ndefu!
 
Ccm haiwezi kuwa safi mpaka waamue kumvua gamba Kikwete, maana yeye ndo fisadi nyangumi na hivyo yeye ndo gamba kuu.
 
Vita vya panzi furaha ya kunguru na Vita vya magamba furaha kwa CDM
 
Hawawezi kuuvunja. Vijana wana ushawishi mkubwa kwa vijana wenzao. Wakithubutu Ccm kwishnei.

Ushawishi wa kuwaambia vijana wenzao kuwa sasa ni zamu ya vijana kula wazee wameisha shiba waondoke...!! Kijana makini hawezi kushawishika kwa hoja hii.
 
Litakuwa kosa kubwa sana kwa CCM kwa sababu siasa za sasa hivi dunia nzima zinaendeshwa na vijana na wao ndio waasisi wa harakati zote hizi tunazoziona duniani iwe Libya, Yemen, Misri, Syria, Bahrain, na kubwa zaidi ya yote -The occupy 99% ktk nchi za magharibi. CCM na vyama vyote lazima wafahamu muda wa vizee kina sisi umekwisha - hii ni dunia ya generation mpya ambayo inarudi kwenye misingi ya UTAIFA wao..
Tatizo ni kuwa hapa kwetu huo umoja wa vijana unaendeshwa na wazee. kuna sura za vijana kwenye umoja huo lakini wapo kama vibaraka tu wanaotekeleza ajenda za wazee. kwa maana hiyo, kwa maoni yangu, wala hakuna maana ya kuwa na huo unaoitwa umoja wa vijana
 
Kwangu mimi CCM yote ni janga la kitaifa ni afadhali ikatokea ku-collapse yote
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri

Wasalaam

Mmemkwa.

Habari ya asubuhi Mmemkwa.
Naona ndo unaamka.
 
Back
Top Bottom