Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Kama kuna anayekojoa mbali ndani ya ccm basi amfukuze Luwassa
Nina huyo?
Kama kuna anayekojoa mbali ndani ya ccm basi amfukuze Luwassa
dear! usiwaamini Lowassa ni kisiki ndani ya ccm labda katemwa NEC ila sio uanachama na ubungeKweli hapa ngoja tusubiri kama ni kweli Lowasa katemwa
Kwa Ajili ya kuhakikishia mtu wake wa Zenji anakuwa rais anaweza. Huu ni mkakati, hawakukutana barabarai lakini si mtu wa pwani wala si mui......am
Hivi nyie mnauliza source wakati mleta habari mnamuona hapo juu. Mnanshangaza sana, source kwani anam "quote" mtu kuwa fulani kasema hivi. Hapo source ni yeye mwenyewe.
Nyie jidanganyeni, lakini ukweli wa mambo ni kuwa,lowassa hawezi kufukuzwa ndani ya ccm,kwa kuwa hamuijui hii nchi vizuri bora mkanyamaza kimya,
haya mawazo yako peleka huko kanisani! Kwani aliyesoma riport ya kuonyesha EL ni fisadi kwenye mchakato wa Richmond ni mtu wa pwani au muislamu? Spika aliyeruhusu kuutwa kwa kamati ile ya bunge ni muislam au mtu wa pwani? Dr slaa aliyemjumuisha EL kwenye list of shame ni muislamu au mtu wa pwani? Acha kuchochea chuki, peleka hivi vitu FB
wewe mpumbavu unae copy majina unakera kishenzi kama huna jipya kaa kimya kima wewe...
here are currently 486 users browsing this thread. (132 members and 354 guests)https://www.jamiiforums.com/members/babu-m.html