Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Hii habari imekaa kishabiki shabiki sana, hasa ukiona inapigiwa chapuo na FF na magamba mwenzie Kupeng'e a.k.a Malaria Sugu. Time will tell.
 
Ni mapema mno siamini kama JK anaweza kumwajibisha rafiki yake kipenzi ikumbukwe hawajakuna barabarani.

Hivi Ngeleja, Adam Malima, Jairo na Luhanjo wamesha adabishwa?
 
Ame ... Naunga mkono ...Lakini labada jambo lenyewe liwe AFYA zao kuzorota ...baada ya misuguano na minyukano ..Lingine ? Mhh!!

Mmh kama vile unaka harufu ka unabii vile...Hiyo afya inahusiana na nguvu apatazo mtu kwa nafasi aliyonayo...nao waonekana kuwa wata mshangaza na kutenda ndivyo sivyo. I dont know how acurate I can be on this lakini the future is dark naye alishaambiwa sana akawa anapuuzia. Contrary wengine (tulio kwenye safina ya Musa) ndo twapaa kuelekea juu huku garika likiangamiza mamia. Ana heri mtu yule ambaye neno la Mungu ni taa ya miguu yake!
 
Mh....mie tayari napitia hapa miller bar kuagiza kili bariiidi kulainisha koo kusheherekea kifo cha ccm...
 
Makongoro haonekani maeneo haya.Sijui amekwenda wapi.Kila mtu hapa anasubiri aseme neno tu....
 
kuna habari nimezipa toka dodoma mda si mrefu lakini mod wamefunga thread tayari
 
Back
Top Bottom