Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Mods jaribuni kudhibiti threads zenye uzushi uzushi na zisizo na data kamili zinazohusisha vikao vya NEC Dodoma ili kulinda heshima ya jukwaa. Hali hii ikianza asubuhi hivi watu kibao watalikimbia jukwaa na kuliona kama kijiwe cha uzushi na hakuna ishu serious. Kama huna data na hauna uhakika kaa kimya, nenda kwenye jukwaa la mapenzi changia hoja za kule ambazo nyingi hazina data, ni mambo yanayotokea kitandani watu wakiwa wawili.

Kama unaona ni uzushi anza wewe kukaa pembeni wanaochangia waache wachangie na usilazimishe watu wote kuamini kile unachokiamini wewe
 
Ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,ccm, ccm,ccm, ccm, ccm, ccm,
 
Mnaohitaji source mnanikwaza.Hivi,source ni redio,televisheni na magazeti tu? Kwani mnanijua mimi ni nani na niko wapi hasa? Acheni hizo...basi sasa sitaarifu kinachojiri.Subirini source zenu.Mod ifunge thread hii...Asanteni.
 
Kama unaona ni uzushi anza wewe kukaa pembeni wanaochangia waache wachangie na usilazimishe watu wote kuamini kile unachokiamini wewe

ha!ha! ha! we endelea kutuahabarisha bwana unajua wa2 tunavyowachukia magamba hata kama unazua lakini unafariji kwa uzushi huu! tunataka wapasuke tu!
 
Naona wote tunashabikia sana "kutemwa" kwa EL and AC. Labda niulize:
  • Wao ndo "wachafu" pekee ndani ya CCM?
  • Tunategemea nini kitakuwa kipya baada ya hapo?
 
Kama unaona ni uzushi anza wewe kukaa pembeni wanaochangia waache wachangie na usilazimishe watu wote kuamini kile unachokiamini wewe
Kama unafurahia kudanganywa shauri yako, huo ni ushauri tu kutoka kwa sisi wazee wa busara. Watu wanajua leo presha iko juu kuhusu Dodoma, wakiachiwa kujimwaga na mauzushi sasa hivi ataibuka mwingine na thread ya kutenganisha kofia ya urais na uenyekiti wa chama ili awafurahishe watu wa dizaini yako.
 
Mnaohitaji source mnanikwaza.Hivi,source ni redio,televisheni na magazeti tu? Kwani mnanijua mimi ni nani na niko wapi hasa? Acheni hizo...basi sasa sitaarifu kinachojiri.Subirini source zenu.Mod ifunge thread hii...Asanteni.

Mkuu, usikasirike basi bana. Tunasubiri updates kutoka kwako.
 
Nyie jidanganyeni, lakini ukweli wa mambo ni kuwa,lowassa hawezi kufukuzwa ndani ya ccm,kwa kuwa hamuijui hii nchi vizuri bora mkanyamaza kimya,
 
Naona wote tunashabikia sana "kutemwa" kwa EL and AC. Labda niulize:
  • Wao ndo "wachafu" pekee ndani ya CCM?
  • Tunategemea nini kitakuwa kipya baada ya hapo?
Tunashangilia kutoweka kwa CCM kama KANU.
tunategemea UCHAGUZI mwakani na si 2015.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom