anayetakiwa kutoa maamuzi ni Makongoro au JK?
wametemwa kwenye nini!?
Gamba kubwa kabisa ni JK; hao wengine wote wamefunikwa na gamba hilo. Huwezi kuvua nguo ya ndani bila kwanza kuvua suruali; lazima gamba lililofunika magamba mengine kwanza livuliwe ndipo uyafikie hayo magamba mengine!
Jamani, wapi naweza kupata tv asilia yenye kunasa hivyo vikao vya siri vya nyoka wenye magamba?
Gamba kubwa kabisa ni JK; hao wengine wote wamefunikwa na gamba hilo. Huwezi kuvua nguo ya ndani bila kwanza kuvua suruali; lazima gamba lililofunika magamba mengine kwanza livuliwe ndipo uyafikie hayo magamba mengine!
Nisaidie kushangaa....!!!!!leo umekuja kwenye siasa?
Kweli hapa ngoja tusubiri kama ni kweli Lowasa katemwa
Ni mapema mno siamini kama JK anaweza kumwajibisha rafiki yake kipenzi ikumbukwe hawajakuna barabarani.
Naomba unieleze kazi za Waziri Mkuu