Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Mwenye updates yoyote bandika hapa twende sawa,tuanze kuandaa kaburi la Magamba bandugu
 
Hali hapa si shwari tena.Yawezekana yakatokea makubwa...ngoja nisogee pale.

huu ni UONGO MTAKATIFU ungekuwa unatumia MOBILE kureply ningekubari 60%
ina maana now unatembea na Laptop au monitor:ranger::ranger: dodoma? au uko dsm:A S-confused1:..............
 
Mods jaribuni kudhibiti threads zenye uzushi uzushi na zisizo na data kamili zinazohusisha vikao vya NEC Dodoma ili kulinda heshima ya jukwaa. Hali hii ikianza asubuhi hivi watu kibao watalikimbia jukwaa na kuliona kama kijiwe cha uzushi na hakuna ishu serious. Kama huna data na hauna uhakika kaa kimya, nenda kwenye jukwaa la mapenzi changia hoja za kule ambazo nyingi hazina data, ni mambo yanayotokea kitandani watu wakiwa wawili.
 
hapana hizo habari hazina udhibitisho wowote...!
 
Nimearifiwa na Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu ya CCM kuwa Kamati Kuu imemkumbusha Mwenyekiti Kikwete kuwa maamuzi juu ya kuwafukuza Wajumbe 'wachafu' ndani ya CCM kama Lowassa na Chenge ulishafikiwa na hakuna haja ya kuwajadili tena. Wakamtaka atoe mara moja uamuzi wake.Kikwete alikwepa mtego huo kwa kuzungumzia bei ya sukari na kuhamia kwenye ajenda nyingine.Wajumbe wa Kamati Kuu na wale wa NEC wanajiandaa kumtwisha zigo zito Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara,Makongoro Nyerere.More to come....just sit and receive.Nipo hapa nje...

Kwani CCM kuna magamba mawili tu yaliyo bakia?
 
Naona kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Na kama kweli ndio mwanzo wa mpasuko wa ccm na mwisho wao.
 
Tatizo ni pale watakapotoa taarifa ya mambo/kauli zilezile zilizozoeleka kwamba-tumewapa muda wajitafakari hadi kikao kijacho au tumeunda kamati ndogo ya kufuatilia utekelezaji au tutayajadili kwenye mkutano mkuu mwakani nk... Tusiwe na matumaini makubwa sana-historia inawabana-Mapinduzi ni jina tu kwao siyo vitendo!
 
Nijuavyo mimi na kwa mujibu wa magazeti ya leo, kikao cha NEC kinaanza kesho, leo CC inaendelea, sasa ina maana CC ina mamlaka ya kuwafukuza uanachama? na ni kweli wamefukuzwa uanachama ama wameondolewa kama wajumbe wa NEC? Kamilisheni hizi taarifa.
 
Inshu ya RA kujivua gamba na ubunge ilianza hivihivi kimasihala...so i trust this also
 
mods hakikisheni mleta mada anakula life server ban bila msamaha kama hizi zitakuwa ni porojo
 
Back
Top Bottom