baadhi ya jf members tunafanya projects zetu pamoja lakini kila mtu anamiliki kivyake. Unakuta kwa mfano huko kwenu Iringa tunawekeza pamoja kila mtu kwa kadri ya uwezo alio nao. Lakini kuna mambo tunashirikiana ili kupunguza gharama fulani fulani. Na sio kwenu tu, hata huku Pwani pia tunashirikiana ktk miradi mingine. Nakuletea mail.
sawa mkuu! nadhani nami nastahili katika hilo.Hivyo nikitaka kuunga mkono juhudi hizo mmeweka utaratibu gani ili tuweze badilishana mitizamo mkuu, niweke sawa mkuu sitaki kuchelewa
wazee naomben ushaur wa kulima kitunguu kwa yoyote mwenye uzoefu,kuanzia maeneo yanayotoa vitunguu kwa wingi,muda wa kuanza kulima,gharama ya kulima heka moja na heka moja inatoa gunia ngapi na bei ya shambani kwa kila gunia ni kiasi gani
Jamani mnataka vitunguu Twahumu au vitunguu maji?
Mbona hamsomeki? kwanza nyinyi mnajua nini kuhusu vitunguu? labda tuanzie hapo.
Nimejikita apo Mahenge na kilimo cha kitunguu.
Tena last week tuu kuna mtu alikuwa anauza shamba maeneo ya ruaha mbyuni.
Unaweza nipm tukabadilishana mawazo
Kanyagio brother....nitwangie kwa namba yangu tafadhali.