Kilimo cha vitunguu kwa mikoa ya Singida na Manyara

jogoo wa maajabu

JF-Expert Member
Mar 4, 2018
616
1,124
Wakuu habari za muda huu.

Mimi ni mkazi wa Kahama, Shinyanga, napenda sana nifanye kilimo cha vitunguu maji hasa ktk mikoa ya Singida na Manyara

Tafadhari sana kwa mkazi wa Singida na Manyara naomba unipe support ya elimu kuhusu kilimo hiki na maeneo yanayofanya kilimo hiki maana kuna siku nliwahi pita njia ya kwenda Hydomu kutoka Katesh niliona wakulima wakifanya kilimo hicho.

Pia Singida huwa naona vitunguu vingi vikipangwa barabarani haswa nkiwa nasafiri

Naombeni elimu nijue maana nahitaji nifanye hicho kilimo.

Karibuni sana wapendwa.
 
Hii kitu natamani kuianza maeneo ya chekereni kilimanjaro wanamwagilia ila nikipita naona wanatoa sana hadi nahamasika kufufua kashamba kangu ka urithi wa bibi mzaa babu yake shangazi.

Nasubiri waje
Rafiki hichi kilimo ndo kinalipa kwa sasa kla nkipita singda napataman sana nataman nijue wanalimajee.
 
Hii kitu natamani kuianza maeneo ya chekereni kilimanjaro wanamwagilia ila nikipita naona wanatoa sana hadi nahamasika kufufua kashamba kangu ka urithi wa bibi mzaa babu yake shangazi.

Nasubiri waje
jtahidi uanze mapema unachelewesha kupata pesa
 
rafiki hichi kilimo ndo kinalipa kwa sasa kla nkipita singda napataman sana nataman nijue wanalimajee
Tutapata muongozo mkuu na usiache kutafuta watu wanaofanya hiyo mambo mimi nikipata muda nikiwa home ntasogea kule niwaulize ulize nipate picha nilinganishe na nitakayopata humu ila kilimo kinalipa sana ni kupanga muda na kuwa eneo la shamba usije pigwa na wakulima
 
Kweli nachelewa ila natamani nifanikishe jambo moja baada ya jingine na kilimo kinataka uwe karibu kwahyo kwakua kule ni karibu na home ni swala la kuseti mambo huku mjini yakienda kama ninavyotamani nahamia kilimo kuepuka hasara za kuwa mbali
hapo sawa kaka
 
Hii kitu natamani kuianza maeneo ya chekereni kilimanjaro wanamwagilia ila nikipita naona wanatoa sana hadi nahamasika kufufua kashamba kangu ka urithi wa bibi mzaa babu yake shangazi.

Nasubiri waje
Mkuu Juzi nilipita maeneo ya chekereni, nilifanya kuulizia pale Ni wapi maana Nilikuwa sipajui,nikaambiwa panaitwa chekereni, watu wanatajirika Sana pale, Kuna mashamba ya nyanya. Naomba kujua huko mashamba wanakodishaje mkuu?.
 
Mkuu wala usiende huko mbali kote nakupa siri hii nenda maeneo ya sarawe kijiji flani kinaitwa mahando kule kuna mbuga za kutosha ongea na wenyeji wakupe abc namna ya kukodi ingia shambani kitunguu kinastawi sana kwenye hiyo mbuga. mwaka 2019 nilkuwa na katisha kwa pikpik ilikuiwa kiangazi mwezi wa8 nilishangaa kuona vitunguu vimestawi namna ile wastani wa heka 1 na nusu au robo hivi

kwa vile na mimi ni mdau wa kilimo ilinibibidi nishuke nikachote maalifa.
jamaa nilimuuliz ambegu akliyotumia akasema alinunua sokoni tu hivo sio hybrid nikauliza mbolea gani katumia
akajibu hajatumia mbolea yoyote ile. nilibaki naduwaa jinsi mmea ulivyostawi halafu jamaa anadai hajaweka mbolea aina yoyot ile nilishangaa sana.

nikaenda hadi nafika kwa wenyeji wangu nikaulizia walichoniambia ni hicho hicho kuwa mbolea huwa hawaweki .
nenda eneo hilo la mahando ukafanye research ya kutosha then uamue mwenyewe mkuu. na mpango wa kwenda kulima mwezi 4 huku kitunguu. kwa sasa bado navuna nyanya baada ya hapo nalima nyanya tena then naenda huko.
 
Mkuu wala usiende huko mbali kote nakupa siri hii nenda maeneo ya sarawe kijiji flani kinaitwa mahando kule kuna mbuga za kutosha ongea na wenyeji wakupe abc namna ya kukodi ingia shambani kitunguu kinastawi sana kwenye hiyo mbuga. mwaka 2019 nilkuwa na katisha kwa pikpik ilikuiwa kiangazi mwezi wa8 nilishangaa kuona vitunguu vimestawi namna ile wastani wa heka 1 na nusu au robo hivi

kwa vile na mimi ni mdau wa kilimo ilinibibidi nishuke nikachote maalifa.
jamaa nilimuuliz ambegu akliyotumia akasema alinunua sokoni tu hivo sio hybrid nikauliza mbolea gani katumia
akajibu hajatumia mbolea yoyote ile. nilibaki naduwaa jinsi mmea ulivyostawi halafu jamaa anadai hajaweka mbolea aina yoyot ile nilishangaa sana.

nikaenda hadi nafika kwa wenyeji wangu nikaulizia walichoniambia ni hicho hicho kuwa mbolea huwa hawaweki .
nenda eneo hilo la mahando ukafanye research ya kutosha then uamue mwenyewe mkuu. na mpango wa kwenda kulima mwezi 4 huku kitunguu. kwa sasa bado navuna nyanya baada ya hapo nalima nyanya tena then naenda huko.
sarawe ni wapi kaka sipajui nipe ramani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
vitunguu vinahitaji cool dry air kama mi vitunguu maji maeneo yenye joto la wastani yanafaa.

2. Pasiwe na humidity yaani unyevu nyevu ambao huharibu ustawi wa vitunguu
3.mvua ya kawaida isiwe nyingi maana mvua ikizidi huharibu miche.

B kwa vitunguu swaumu
1 inafaa sana na kustawi maeneo yenye hali ya baridi na yasiwe na unyevu nyevu
2.umwagiliaji unafaa zaidi ya mvua
Mikoa yenye hali ya ubaridi na ukavu inafaa ilimradi kuwe ma chanzo cha majibua umwagiliaji
 
Mkuu wala usiende huko mbali kote nakupa siri hii nenda maeneo ya sarawe kijiji flani kinaitwa mahando kule kuna mbuga za kutosha ongea na wenyeji wakupe abc namna ya kukodi ingia shambani kitunguu kinastawi sana kwenye hiyo mbuga. mwaka 2019 nilkuwa na katisha kwa pikpik ilikuiwa kiangazi mwezi wa8 nilishangaa kuona vitunguu vimestawi namna ile wastani wa heka 1 na nusu au robo hivi

kwa vile na mimi ni mdau wa kilimo ilinibibidi nishuke nikachote maalifa.
jamaa nilimuuliz ambegu akliyotumia akasema alinunua sokoni tu hivo sio hybrid nikauliza mbolea gani katumia
akajibu hajatumia mbolea yoyote ile. nilibaki naduwaa jinsi mmea ulivyostawi halafu jamaa anadai hajaweka mbolea aina yoyot ile nilishangaa sana.

nikaenda hadi nafika kwa wenyeji wangu nikaulizia walichoniambia ni hicho hicho kuwa mbolea huwa hawaweki .
nenda eneo hilo la mahando ukafanye research ya kutosha then uamue mwenyewe mkuu. na mpango wa kwenda kulima mwezi 4 huku kitunguu. kwa sasa bado navuna nyanya baada ya hapo nalima nyanya tena then naenda huko.
Sarawe- Mahando ni mkoa na wilaya gani mkuu?
 
Mkuu wala usiende huko mbali kote nakupa siri hii nenda maeneo ya sarawe kijiji flani kinaitwa mahando kule kuna mbuga za kutosha ongea na wenyeji wakupe abc namna ya kukodi ingia shambani kitunguu kinastawi sana kwenye hiyo mbuga. mwaka 2019 nilkuwa na katisha kwa pikpik ilikuiwa kiangazi mwezi wa8 nilishangaa kuona vitunguu vimestawi namna ile wastani wa heka 1 na nusu au robo hivi

kwa vile na mimi ni mdau wa kilimo ilinibibidi nishuke nikachote maalifa.
jamaa nilimuuliz ambegu akliyotumia akasema alinunua sokoni tu hivo sio hybrid nikauliza mbolea gani katumia
akajibu hajatumia mbolea yoyote ile. nilibaki naduwaa jinsi mmea ulivyostawi halafu jamaa anadai hajaweka mbolea aina yoyot ile nilishangaa sana.

nikaenda hadi nafika kwa wenyeji wangu nikaulizia walichoniambia ni hicho hicho kuwa mbolea huwa hawaweki .
nenda eneo hilo la mahando ukafanye research ya kutosha then uamue mwenyewe mkuu. na mpango wa kwenda kulima mwezi 4 huku kitunguu. kwa sasa bado navuna nyanya baada ya hapo nalima nyanya tena then naenda huko.
Nimezawaliwa pale na nimekulia pale Mahando,Niko Katavi Tanganyika kwasasa lile eneo Huwa hawaweki mbolea linasitawi sana ni Mbuga ambayo Iko mwambao wa ziwa Viktoria ukitokea Mahando kuelekea kaskazini kunavijiji kadhaa utavipita na kukutana na mradi wa maji ya ziwa Viktoria unaotikea sehemu Moja Ihelele mradi huu ndo unatoa maji Mwanza kupeleka mikoa ya Jirani Shinyanga,Tabora nk.Nataka kusema nini project utakayoenda kuweka labda iwe ya wizi vinginevyo hawaruhusu kabisa kufanya shughuli yoyote ya kilimo kwenye maeneo hayo , other wise mwenyeji wako hakukufafanulia hili
 
sarawe ni wapi kaka sipajui nipe ramani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sarawe ipo Wilaya ya Shinyanga vijiji, inapakana na kahama,. Ili ufike salawe ukiwa Mwanza fika stendi ya Misugwi-Mwanza, wambie unaenda salawe, au fika sehemu panaitwa Ngudu-Mwanza hapo panda basa itatoka asbh sana kwenda kahama kuptia road ya vumbi wambie unaenda salawe, au Fika Shinyanga stendi ya zamn wambie unaenda salawe, au kahama stendi ya zaman wambie uanda salawe.

Mm syo mwenyej huko ila niliwh kupta nikiw naenda kahama kwel pako vzr na mm niliuliza hapa n wapi,

Ukiwa hapo n karbu na kahama.
 
Back
Top Bottom