Wandugu nimeamua kuingia kwenye kilimo,ninawaza kuanza na kitunguu saumu,..naomba mnijuze wapi panafaa kulima?gharama ya kutunza hekari 1,muda mpaka kukomaa, . Pili nafikia pia maharage ya kijivu(ya mbeya) detail zake pia,, asanteni.
 
Juzi kati nimesikia tunaviagiza toka nchi za mbali. Kwani bado tunalima huku kwetu?
 
Wandugu nimeamua kuingia kwenye kilimo,ninawaza kuanza na kitunguu saumu,..naomba mnijuze wapi panafaa kulima?gharama ya kutunza hekari 1,muda mpaka kukomaa, . Pili nafikia pia maharage ya kijivu(ya mbeya) detail zake pia,, asanteni.

hata mimi nataka kujua vinastawi maeneo gani,ngoja tusubiri wataalam
 
Mkuu nakushauri tumia google search. Utapata habari za kutosha kuhusu kilimo cha vitunguu saumu/swaumu.
 
Wakuu naomba mnisaidie kuhusu vitunguu saumu,vina mahitaji gani kwa maana ya udongo na je kama navyo vinahitaji majo mengi kama vitunguu maji na soko lake linapatikana wapi.Shukrani
 
mkuu hata mimi ningetaka tuungane katika uzalishaji ili tuzalishe kwa wingi na kwa kiwango cha kimataifa,nafanya kazi hizihizi za kilimo.
 
Bei ya vitunguu yazidi kupanda na hivyo kuzidi kuwanufaisha wakulima.
Mwezi August na September 2011 bei ya vitunguu ilikuwa ni kati ya TZS 55,000 - TZS 60,000 kwa gunia.

Mwezi huu wa November bei imepanda na kufikia TZS 85,000 - TZS 90,000 kwa gunia.

Nchi zinazonunua bidhaa hiyo kwa wingi zimetajwa kuwa ni kenya, msumbiji, madagascar na Comoro.
Hongereni wakulima wa vitunguu!

Source: ITV taarifa ya habari za biashara
 
Mbona huku Mang'ola bado hawatulipi bei hiyo?

Nang'ola iko wapi?
Ekari moja wanakodisha sh. ngapi kwa msimu/ kwa mwaka? Unaweza kupata maximum ekari ngapi?

Gharama ya kulima na kutunza ekari moja ni sh. ngapi? Ekari moja inatoa gunia ngapi? Minimum na maximum?
Huko Mang'ola gunia moja mnauza bei gani?
Mtu anaweza kununua gunia 250 kwa siku ngapi?
 
Wapwaz!

Wapi ni eneo bora kiuendeshaji ?

Aina gani ya vitunguu ina tija zaidi kwa mkulima

Ekari moja yaweza toa kiasi gani
Utunzaji na masoko yake nje na ndani
 
Mulungu, L.S., S.O.W.M. Reuben, Susan Nchimbi-Msolla, R.N. Misangu, L.B. Mbilinyi and M.M. Macha. (1998) Performance of nine exotic and local onion (Allium cepa L.) genotypes grown under a dry season tropical condition at Morogoro, Tanzania: 1: Yield and its components. South African Journal of Science, 94: 451- 454.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom