Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,680
- 5,653
Katika saikolojia, kauli ya “kila mtu ana kichaa chake”
wewe Fanya observation utaona
Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili.
Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili
kila mtu ana mapambano yake ya ndani, huzuni, wasiwasi, au changamoto za kisaikolojia kwa kiwango fulani.
Mtu akiwa addicted na kitu fulani kupitiliza kwa mtu akiwa na mitizamo mingine anaweza kusema kuwa anaukichaa
Kwenye social media Mfano Tiktok
Utakuta kuna vitu vya ajabu ajabu
Ovyo ila utaona kila mtu anakituko chake anachokifanya ( yupo confident na serious)
Mfano kwa mitazamo mingine
Angalia tu
Mtu anayetafsiri movie- unamkuta ni kama anaongea peke yake
Madancer - wanatumia nguvu nyingi kuruka ruka tu
Mwalimu- sometimes anaongea peke yake ni yeye na ubao
Wanawake - muda wote kujiselfie na kuweka weka mafilter kila sk utaona anapost sura yake (ndio ukichaa wake)
Huku akiimba alf utakuta ni mzee
Stand up comedian- muda wote ni kuongea na uongo uongo
(Ukichaa wake)
Wanaongalia TV (muda wote ni Tv tu) ukichaa wake
Wacheza mpira (muda wote anakimbizana na mpira , kuruka , kupiga , (goal keeper anajirusha na kujitupa tu) 90 mins alf unakuta 0-0
Na referee muda wote kuzunguka tu
Mbaba na mindevu yake
Imagine wachezaji wakicheza bila mpira( utapata picha halisi kuwa kila mtu anakichaa chake😅)
Kuna wale wa kubet kila kikicha wao ni mikeka tu
Ingia kwenye posts za watu , profile pic , username zao au status zao utamtambua mtu vizuri na kuthibitisha kila mtu anakichaa chake.
Je wewe unavituko gani? (Ukichaa gani?)
Au jambo la ajabu unalolifanya na watu kukushangaa?
Au kitu gani upo addicted?
wewe Fanya observation utaona
Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili.
Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili
kila mtu ana mapambano yake ya ndani, huzuni, wasiwasi, au changamoto za kisaikolojia kwa kiwango fulani.
Mtu akiwa addicted na kitu fulani kupitiliza kwa mtu akiwa na mitizamo mingine anaweza kusema kuwa anaukichaa
Kwenye social media Mfano Tiktok
Utakuta kuna vitu vya ajabu ajabu
Ovyo ila utaona kila mtu anakituko chake anachokifanya ( yupo confident na serious)
Mfano kwa mitazamo mingine
Angalia tu
Mtu anayetafsiri movie- unamkuta ni kama anaongea peke yake
Madancer - wanatumia nguvu nyingi kuruka ruka tu
Mwalimu- sometimes anaongea peke yake ni yeye na ubao
Wanawake - muda wote kujiselfie na kuweka weka mafilter kila sk utaona anapost sura yake (ndio ukichaa wake)
Huku akiimba alf utakuta ni mzee
Stand up comedian- muda wote ni kuongea na uongo uongo
(Ukichaa wake)
Wanaongalia TV (muda wote ni Tv tu) ukichaa wake
Wacheza mpira (muda wote anakimbizana na mpira , kuruka , kupiga , (goal keeper anajirusha na kujitupa tu) 90 mins alf unakuta 0-0
Na referee muda wote kuzunguka tu
Mbaba na mindevu yake
Imagine wachezaji wakicheza bila mpira( utapata picha halisi kuwa kila mtu anakichaa chake😅)
Kuna wale wa kubet kila kikicha wao ni mikeka tu
Ingia kwenye posts za watu , profile pic , username zao au status zao utamtambua mtu vizuri na kuthibitisha kila mtu anakichaa chake.
Je wewe unavituko gani? (Ukichaa gani?)
Au jambo la ajabu unalolifanya na watu kukushangaa?
Au kitu gani upo addicted?