Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

Sumaye ni hewa tu nakumbuka maongezi yske na waandishi wa habari eti ccm ikimpitisha MTU kwenye kashfa ya ufisadi nitaama chama,akimlenga lowasa Leo hii anaongea nini?

Acha kubwabwaja wewe!! ulishaambiwa kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu. Kwa hiyo kuja kwa Lowasa na Sumaye ndani ya Ukawa kimewapa ccm pigo na kichomi ambayo itakuwa ni historia katika nchi hii. Subirini oct mtaenda kulilia chooni.
 
Kiburi cha JK kiko juu mno na matokeo yake ni anguko lake na chama cha mapinduzi.

Team ilio upande wa ccm wamebaki kujitumainisha tu kusiko na Tumaini halisi,wanajitia moyo na kujifariji kuwa Watashinda.

Wakati uhalisia wa Mambo chama tawala kuachwa na MAWAZIRI WAKUU WASTAAFU WAWILI NA KWENDA KUJIUNGA NA CHADEMA/UKAWA HILO NI PIGO KUBWA SANA,Maana hao wanajua SIRI NZURI NA MBAYA ZA SERIKALI YA CCM.

Midomoni mwa makada wa ccm walibakia kuenzi kijani WANACHEKA lakini Mioyoni mwao wanajaziba,hasira na wana uhakika ngoma imewashinda mwaka huu USHINDI SIO WAO.

SASA JK AMEMWELEWA SANA TENA SANA TU,NA AKIJIFANYA KUENDELEA KUBWABWAJA ANACHOFANYA SUMAYE/UKAWA NI KUBONYEZA MAHALI PENYE JERAHA TU Hapo utasikia MACCM WAKIANGUA KILIO TU.

Kuondoka mawaziri wakuu wenye majina kama hata ni mwanzo mpya wa uimara wa ccm
1,Mr ziro brain summaye,
2,baba LA mafisadi tangu enzi za nyerere lowasa akiwa mkurugenzi wa icc,ccm imetua mzigo mkubwa,
 
Acha kubwabwaja wewe!! ulishaambiwa kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu. Kwa hiyo kuja kwa Lowasa na Sumaye ndani ya Ukawa kimewapa ccm pigo na kichomi ambayo itakuwa ni historia katika nchi hii. Subirini oct mtaenda kulilia chooni.

Oct IPI ya summaye na lowasa kushinda mkapa na jk ,ni ndoto za jioni mawaziri wakuu kushinda marais wao,
 
Oct IPI ya summaye na lowasa kushinda mkapa na jk ,ni ndoto za jioni mawaziri wakuu kushinda marais wao,


Sasa mnahangaika nini kununua watu? si mtulie kama mnajua ushindi mnao?
 
Umelongwa nini unajua elimu yangu au unskurupuka tu,jibu hoja kwa nini aliitwa Mr ziro akiwa waziri mkuu,


Hahahahahah kwa uandishi wako huu kuna mtu anahitaji kujua elimu yako?

Hiyo minyoo ya kwenye ubongo inakutambulisha bila kutumia nguvu...
 
Nilwahi kusikia kenge ana vituko kibao. Akinyeshewa yeye hukimbilia majini kujificha mvua. Sijui ni uelewa au ni mbwembwe zake tu

Watu mna vijineno. Mkuu, ulikuwa unaamnisha JK kukimbilia New York?
 
Lusungo,

Nafikiri ungejaribu kutengeneza video labda akikusikiliza huku akiangalia video anaweza at least kuambulia mawili au matatu. Wanafunzi wengine ni visual learners, and he might be one of them.
 
Anamili kihalali au kiharamu?

Kama ni kiharamu CCM si bado mna dola why msilichukue?

Lile shamba la miembe la Mwinyi pale Mkuranga lililogeuzwa mavuno ya mkaa vipi anamiliki kihalali au kiharamu?
Hili la shamba ekari 300, nayo hoja? Mbona muhindi amepewa like shamba la Mpunga mbarali na serikali hii, nadhani ekari 10000' halafu anawakodishia wazawa , yaaani ukabaila in 20th century, na hata kinana mwenyewe ilimsitua, naona tunajishusha sana
 
Hili la shamba ekari 300, nayo hoja? Mbona muhindi amepewa like shamba la Mpunga mbarali na serikali hii, nadhani ekari 10000' halafu anawakodishia wazawa , yaaani ukabaila in 20th century, na hata kinana mwenyewe ilimsitua, naona tunajishusha sana


Wala hawashangai mwarabu aliyemilikishwa Loliondo anaua watu kama kuku!!!
 
Lusungo,

Nafikiri ungejaribu kutengeneza video labda akikusikiliza huku akiangalia video anaweza at least kuambulia mawili au matatu. Wanafunzi wengine ni visual learners, and he might be one of them.


Haha kama video ya Sumaye hakuielewa pamoja na kuirudia utakuwa hiyo?

Ila naamini kwa siku hizi chache Sumaye alizokaa UKAWA atakuwa kaelewa somo!!
 
Siyo siri ndugu LUSUNGO. Nakipa salute kwani pandiko lako limekwenda shule na linafikirisha sana kama siyo kutafakarisha. Na mimi naomba nirudie kwa msisitizo tu "....rafiki yangu JK JE, UMEMUELEWA SUMAYE..."?
 
Sumaye alipokuwa CCM alikuwa zero leo kahamia UKAWA mnamwona mwana mabadiliko 😂😂😂😂😂😂😂 siasa kazi sana 🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Hizo ni siasa, hata nyerere aliitwa haambilki, Jakaya akaitwa jangala, Lowassa akaitwa fisadi, slaa akaitwa babu, Dr. Salim akaitwa hizbo

Ndio utamu wa siasa...
 
ulutheri na UKANDA NDIYO ULIYOMPELEKA SUMAYE UKAWA NA SIYO HOJA SISI TUNALIJUA ILA TUTAONANA OCTOBR 25

Vipi kuhusu agano lenu la ukatoliki na akina pengo, slaa na Magufuli linaloratibiwa na mzee Mwanakijiji na wengine, mnahisi litayumba?
 
Hawezi kuelewa hata Darasan ilikuwaga ni shida sasa najilizisha GENTRA MAN ilipatikanaje
 
Back
Top Bottom