Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

hebu nifafanulie hapa kama nikubwa la mafisadi lowasa naomba kujua listi ya mafisadi mpaka tulipate dogo la mafisadi.
Biot
iptl
chench ya rada
meremeta
gass
kivuko cha magufuli
esxrow
epa
nyingine ongezea wewe alafu nipangie list hapo kuanzia kubwa la mafisadi mpaka yule dogo la mafisadi alafu mutueleze ilikuaje hawakufikishwa mahakamani na hamukuwahi kuyazungumzia mabaya yao mpaka walipowakimbia?kina muhongo na tibaijuka wajuzitu kwenye esxrow leo munawanadi tuwape kura hata hatujasahau maovu yao alafu muje kutupigia umbea wa miaka nane.lowasa ndiye rais hata iweje.na nasikia mudajidanganya eti hamutakabidh nch sasa jaribun ndi mujue tutatoa hukumu gani juu yenu kama icc haitawatembelea ndo hapo october


Akili za kujibu hizo hoja hana.....
 
Unataka kuwa kama mbuni anayeficha kichwa mchangani kisha makalio yote yapo nje?

Huo ni mtazamo wako ndugu! Iwapo unategemea ushabiki wa vyama ili uboreshe maisha yako hilo ni tatizo lako not mine and let me tell you poor lusungo, u really have a loooooooooooooooooooong way to go! siasa inazidi kuua akili yako na unazidi kudumaa kimaendeleo. hahahaaaaa poor you!!
 
Huo ni mtazamo wako ndugu! Iwapo unategemea ushabiki wa vyama ili uboreshe maisha yako hilo ni tatizo lako not mine and let me tell you poor lusungo, u really have a loooooooooooooooooooong way to go! siasa inazidi kuua akili yako na unazidi kudumaa kimaendeleo. hahahaaaaa poor you!!


Mimi nawewe nani yuko poor in thinking??

Unafurahisha sana umejuaje maisha yangu binafsi?

au wewe kupata kazi hapo IT centre ya Masaki ndio ujiko kwako?
 
Mimi nawewe nani yuko poor in thinking??

Unafurahisha sana umejuaje maisha yangu binafsi?

au wewe kupata kazi hapo IT centre ya Masaki ndio ujiko kwako?

Hahahaaaaa unazidi kuweweseka ndugu IT center ya Masaki unaijua wewe not me, ujiko wangu unatokana na kujituma kwangu hadi kufikia mafanikio niliyonayo.
 
Hahahaaaaa unazidi kuweweseka ndugu IT center ya Masaki unaijua wewe not me, ujiko wangu unatokana na kujituma kwangu hadi kufikia mafanikio niliyonayo.


Kujituma si ndo huko kutumika kwa akina January?
 
Back
Top Bottom