Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 597
Kwanza nimeweka sahihi kama professional,naichukia ccm kuliko hata mbowe Kwa sababu walipora mali yetu,soma uelewe nachoeleza night kitu kisicho husiana name siasa inahusu watoto wetu mashuleni, ni kama ukizungumzia kuuawa kwa maalbino, kwani suala hilo halina chama.na nasema hivyo kwa sababu msingi mkuu was kufundisha wanafunzi night kuwaelewa na kuwapa kipaumbele kwa maana ya kuwafundishaNawe pia ni kundi la stone,huwezi kumuelewa lusungo! Unakariri tu Sawa na ndugu #HapaMatusiTu ,na mkwere.
slow leaners taratibu na bila kuwatisha,ndiyo maana nimeeleza hayo. Sasa wewe unapo kurupuka na hayo inaonyesha upeo wako.
Last edited by a moderator: