Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,142
- 39,388
- Thread starter
- #41
CCM imebakiza mwezi mmoja na siku kadhaa madarakani, watukabidhi nchi yetu kwa Amani. Hatutaki fujo, wala damu ya mtu imwagike! Watukabidhi kiroho safi kama waingereza walivyofanya kwa Nyerere mwaka 1961.
Sasa sijui wameelewa au bado wanajifunza....