Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,142
- 39,389
- Thread starter
- #101
CCM ni shida. Hawana kitu vichwani. Mh.Rais hajui kwa nini watu wake maskini wakati kuna kila kitu. Ngumu sana kumuelewa graduate wa Harvard university.
Na mgombea wao naye kituko. Jamaa anapenda kuangalizia vya wenzake. Eti M4C kaifanya yake. Ph.D haitendei haki. Wanataaluma wa UDSM jaribuni kukaa tena,nina wasiwasi na JPM.
Haha sasa aje atueleze amemwelewa Sumaye au bado?