ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,788
- 1,302
Kwa kweli Mwanza inatisha. Nashauri IGP afanye uhamisho wa askari wengi sana waliopo Mwanza. Coz wengi hawaaminiki na wamekuwa kwenye siasa zaidi. Kama watataka ushirikiana wapangue askari waliopo wawapeleke Lindi na Mtwara na wa Mtwara na Lindi waende Mwanza..just my suggestion to IGP.