HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
wanasubiri maoni ya jfPolisi hadi wakati huu hawajaita press na kutoa taarifa ya tukio zima lilikuwaje?ni muhimu wao kutoa walao taarifa ya awali ili iwasaidie pengine kupata msaada wa habari kutoka kwa raia wema
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums