Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

Polisi hadi wakati huu hawajaita press na kutoa taarifa ya tukio zima lilikuwaje?ni muhimu wao kutoa walao taarifa ya awali ili iwasaidie pengine kupata msaada wa habari kutoka kwa raia wema

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
wanasubiri maoni ya jf
 
kama RPC anaweza kuuawa na majambazi nani atakuwa salama katika mkoa wake? Huyo dada yake alikuwa anahudhuria kikao cha harusi ya nani( atutajie jina) na kilikuwa kinafanyika baa gani? na akina nani waliohudhuria kikao hicho?
 
nijuzi tu polisi wa hapo mwanza walimpiga risasi tano afisa uhamiaji wakidhania kwamba alikuwa jambazi. Je si kwamba hao hao polisi ndio wamempiga risasi kamanda barrow wakizania kuwa ni jambazi. Manake inasemekana kamanda alikuwa kavaa kiraia na hakuwa na mlinzi/walinzi wake.
 
je anayedaiwa kuwa dadake je ni dada kweli?
Je mke wake hausiki na mauaji haya kwa majibu ya upelelezi wa polisi kwamba mauaji yamesababishwa na wivu wa kimapenzi?
Je hawezi kuwa amejiua?...
Kama 'Pilot Investgation' inabdi familia nzima wawe suspects kwanza.
Yeye ni human, anaweza pia kufanya suicide.,.this fallacy shouldnt be put to junk.
 
Wana usalama mtoe jibu la kweli nini kimetokea hadi kamanda akapoteza maisha kirahisi namna hiyo.
Viongozi waliopewa dhamana eweni waadilifu kwani jamii yawaangalia kama kioo na matukio kama haya yanatia wasiwasi uadilifu wa baadhi ya waliopewa dhamana
mungu ilaze roho ya kamanda mahali pema peponi
 
Swali lingine PakaJimmy kwa hali ya kawaida watu wakifanya mauwaji makubwa kama hayo, hawawezi kukuacha wewe ambae unawaona wakuache hai eti waishie kuku-search na kuondoka na baadhi ya vitu vyako, sasa kwanini huyu Dada nae hakudhuriwa? Je anaweza kuwakumbuka hawa watu kwa sura? Je baada ya tukio walikimbilia upande gani kwa usafiri gani au kwa miguu? Huyu Dada etu nae alichukua hatua gani baada ya tukio? Na hatua hio aliyochukua ilikua baada ya muda gani baada ya tukio? Je wakati wa tukio la kufyatua risasi yeye alijibana upande upi asipatwe hata na risasi moja??????? au kama walipiga risasi kwene vioo, je hakuna hata kioo kimoja kilichomkata huyu Dada???? Narudi tena
Fundamental Questions!
Mpaka hapa wadau mmetoa clues nyingi sn kwa investgators.
JF could be a Mighty Private Investigative Body!
 
je inaweza kuwa kwamba aliyekuwa naye ni cd ambaye rpc alimtumia mara kadhaa bila kupewa ujira wake hivyo akaamua kumdanganya kwa kumuomba amsindikize na kisha kumdanganya kimapenzi kabla ya kuipokonya pistol ya rpc kisha kujaribu kumtisha ili alipe ujira, na kujikuta amefyatua risasi kimakosa bila kusudio la kumuua.
Au je inaweza kuwa walizozana kwa wivu wa mapenzi na rpc kuamua kujiua ili asiteseke kwa ajili ya kuwepo mshindani?
 
Nijuavyo Jumatatu atashikwa mmachinga na kufunguliwa mashtaka bandia huku amefichwa uso.
Baadae tutaambiwa tusijadili kwa kuwa swala itakuwa Mahakamani.
BONGO BANA.
Huh!
Goosh!
Taken on board!
 
kama alikuwa na gari ya serikali;

  1. Je, alikuwa na kibali cha kutumia gari ya serikali hadi usiku?
  2. Je, alikuwa na kibali cha Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya ndani kuendesha gari ya Serikali wakati kuna dereva aliyoajiriwa kwa kazi hiyo?
  3. Je, matumiz ya gari ya Serikali kwa vikao vya Harusi, ni sahihi kwa gari ya Serikali?
  4. Mafuta ya gari hiyo yaliwekwa na nani?
  5. Je, kuna ruhusa ya kuongeza mafuta kwenye gari ya serikali ili litumike kwa shughuli binafsi?
 
Back
Top Bottom