Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,196
- 11,623
hata ukipata majibu haisaidii, yote ni mipango ya Mungu.
Ndiyo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo? acha uvivu wa kufikiri kila kitu mipango ya mungu.
hata ukipata majibu haisaidii, yote ni mipango ya Mungu.
Ama kweli mke wa mtu ni sumu!
Elli una uhakika kama bar zote zinafata sheria kwa kufunga katika muda muafaka?Hujaandika la kwangu Mpwa; Sheria inasema Bar zinafungwa saa tano usiku, kwa working days, Jana ni Ijumaa ni siku ya kazi, Bar ilifungwa saa ngapi? Kama sio saa Tano, yeye kama Kamanda alichukua hatua gani? au na yeye aliivunja sheria ile ile anayotakiwa kuilinda? Na kama Bar ilifungwa saa tano, yeye alikua wapi na huyo Dada yake had saa saba? Kizungumkuti
Elli una uhakika kama bar zote zinafata sheria kwa kufunga katika muda muafaka?
:confused2:
Ok nimekuelewa ElliMpwa hio sio concern yangu, concern yangu kubwa ni kwamba, huyu akiwa kama kiongozi ambao kila siku ndio wanasema Bar zifungwe muda huo, kwanini yeye asiwahimizie wafunge? Nilipata kusikiliza kipindi kimoja cha Chanel Ten cha Polisi Jamii na yule Mama alisisitiza kuwa( Ni askari) lazima Bar zote during workdays zifungwe saa tano, na kwamba wale wanaondelea zaidi ya hapo wakamatwe. Hapo ndipo nilipojengea point yangu
Ok nimekuelewa Elli
Thanks kwa kunielewa Mpwa, subiri niende Mbagala mara moja nimebanwa na haja ndogo, au sijui nielekeee wapi?
hata ukipata majibu haisaidii, yote ni mipango ya Mungu.