PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wanamtandao,
Nimesoma thread ya mauaji ya RPC wa Mwanza, nikaamua kucopy maswali yote ya members kama yalivyo na kuyaleta hapa kama thread.
Naamini maswali haya ya wanajamvi yatasaidia kupata hadidu za rejea za watakaochunguza tukio hilo.
Ieleweke kuwa Memberz wa hapa ndani pia ni Polisi jamii.
(Naomba Mod usiunganishe na thread kuu)
1. Kwanini RPC asimwagize dereva kumpeleka dadake?
2. Kwanini asiende na walinzi wake?
3. Kama alikuwa na walinzi, Je walijeruhiwa au kufa? Walinzi walizidiwa?
4. Ukomo wa kazi wa walinzi wake ni saa ngapi?
5. Je kwenye gari walikuwa wawili tu?
6. Dada mtu ameumizwa?
7. Jina la huyo dadake ni nani?
8. Intelijensia haikunusa mauaji kabla?
9. Kwanini auwawe?
10. Kwanini isidhaniwe ni vinyongo ndani ya Jeshi la Polisi?
11. Polisi wamejuaje wauaji ni majambazi? Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
12. Walikuwa wanagombea demu?
13. Sijui ni wale waliompiga Hyness Kiwia!?
14. Kikao cha harusi hadi saa 8 usiku?
15. Majambazi gani wanaothubutu kumvamia RPC, na je walitaka kumwibia?
16. Wamempora nini baada ya mauaji?
17. Alikuwa na gari binafsi au ya serikali?
18. Alivaa uniform au kiraia?
19. Hakuna visasi nyuma?
20. Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
21. Kikao kilikuwa bar au nyumbani kwa mtu?
22. Kama aliwamulika majambazi, je ni yeye tu aliyepita hiyo njia?
23. Dada mtu alichukua hatua gani baada ya tukio?
24. Aliwaona wahusika?
25. Risasi alipigwa eneo gani la mwili?
Nimesoma thread ya mauaji ya RPC wa Mwanza, nikaamua kucopy maswali yote ya members kama yalivyo na kuyaleta hapa kama thread.
Naamini maswali haya ya wanajamvi yatasaidia kupata hadidu za rejea za watakaochunguza tukio hilo.
Ieleweke kuwa Memberz wa hapa ndani pia ni Polisi jamii.
(Naomba Mod usiunganishe na thread kuu)
1. Kwanini RPC asimwagize dereva kumpeleka dadake?
2. Kwanini asiende na walinzi wake?
3. Kama alikuwa na walinzi, Je walijeruhiwa au kufa? Walinzi walizidiwa?
4. Ukomo wa kazi wa walinzi wake ni saa ngapi?
5. Je kwenye gari walikuwa wawili tu?
6. Dada mtu ameumizwa?
7. Jina la huyo dadake ni nani?
8. Intelijensia haikunusa mauaji kabla?
9. Kwanini auwawe?
10. Kwanini isidhaniwe ni vinyongo ndani ya Jeshi la Polisi?
11. Polisi wamejuaje wauaji ni majambazi? Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
12. Walikuwa wanagombea demu?
13. Sijui ni wale waliompiga Hyness Kiwia!?
14. Kikao cha harusi hadi saa 8 usiku?
15. Majambazi gani wanaothubutu kumvamia RPC, na je walitaka kumwibia?
16. Wamempora nini baada ya mauaji?
17. Alikuwa na gari binafsi au ya serikali?
18. Alivaa uniform au kiraia?
19. Hakuna visasi nyuma?
20. Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
21. Kikao kilikuwa bar au nyumbani kwa mtu?
22. Kama aliwamulika majambazi, je ni yeye tu aliyepita hiyo njia?
23. Dada mtu alichukua hatua gani baada ya tukio?
24. Aliwaona wahusika?
25. Risasi alipigwa eneo gani la mwili?