Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

Nadhani umeleta maswali mazuri sana lakini hujaitendea haki heading yake. Imekaa kiutani zaidi.
Ukitoa kasoro lazima usuggest way-forward.
Nishauri basi.
 
hata ukipata majibu haisaidii, yote ni mipango ya Mungu.

wakati mwingine tunamsingizia Mungu. Mungu hapangi mipango kama hii, huo ni mpango wa shetani na Mwenyezi Mungu karuhusi iwe hivyo ili iweze kuwa fundisho kwetu tulio hai. . .
 
wana kaz kweli kujitetea na dunia hii ya utandaazi hata ukificha jambo huwezi ficha lote,hata ukifanikiwa kuficha it will be the matter of time ukweli utakuwa wazi.

Hapo kwenye
red; ndipo wanapotupigia bao always kwa kucheza na factor muhimu iitwayo TIME au MUDA. Yes, I agree with you that its just a matter of time that everything will be open but TOO LATE! Hivi, kwa mfano, ikija kujulikana aliyemuua Mwangosi ni mtu mzito sana iwe alikuwa Serikalini, CCM, au hata Chadema lakini wakati hayo yakijulikana au kuwekwa wazi mhusika mkuu wa mauwaji alishapumzika kaburini miaka kumi iliyopita itasaidia nini?

Hivi unajua, kwa mfano, Serikali ya Marekani inao utaratibu wa kuweka hadharani kila aina ya "uchafu" uliofanywa na serikali baada ya miaka 30 kupita? They know mtajua but it won't have any effect! TIME, TIME, TIME; don't play with time - this is the most most important resource kwa mtu makini kujaribu kucheza nao!
 
Wanajamvi,
Naamini tukikomaa na thread hii tutampata mapema sana muuaji, na atatusaidia sn.
 
Je baada ya kuuawa vitu gani vilichukuliwa ?
Kamanda hakuwa na silaha ndogo ?
Je nay ilichukuliwa ?
 
hujaandika la kwangu mpwa; sheria inasema bar zinafungwa saa tano usiku, kwa working days, jana ni ijumaa ni siku ya kazi, bar ilifungwa saa ngapi?
Swali la msingi sana. Dadake atusaidie hapa.
.kama sio saa tano, yeye kama kamanda alichukua hatua gani?
Mkuu, labda ukiwa kwenye jumba la starehe majukumu yanapungua.
Au na yeye aliivunja sheria ile ile anayotakiwa kuilinda?
Hapana mkuu. Usimpe kosa aliyetangulia kunako haki..
Na kama bar ilifungwa saa tano, yeye alikua wapi na huyo dada yake had saa saba?
Hapa ngumu.
Kizungumkuti
kidogokidogo tutajua muuaji alidhamiria nini.
 
Je hiyo risasi iliyotumika ganda lake halijaonekana????the killer has left no traces????there must be clues left there
 
Polisi hadi wakati huu hawajaita press na kutoa taarifa ya tukio zima lilikuwaje?ni muhimu wao kutoa walao taarifa ya awali ili iwasaidie pengine kupata msaada wa habari kutoka kwa raia wema

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
ni intellegensia gani ilimfanya inspekta wa polisi saidi mwema atangaze kwamba ni majambazi .ni nini hasa kinacho weza kututhibitishia hilo
 
PakaJimmy nashauri upunguze hayo maswali angalau yabakie matano; 27 ni mengi sana na mengine yamejirudia

Usijali mkuu, nitajaribu kuya'merge.
NiKweli baadhi yanashabihiana.
 
Last edited by a moderator:
mie nijiuliza hasa hapo kwa majambazi gani watadhubutu kumvamia RPC kwa malengo yepi hayo?? itakuwa kuna mambo mengi zaidi nyuma ya mauaji haya
 
Kwa akili yangu ya kawaida sidhani kama hao walikuwa majambazi, kwa sababu hakuna walichochukua baada ya ya kumuua RPC. This must be something to do with wivu wa mapenzi. Kwanza sidhani kama huyo dada aliyekuwa nae nani anajua kuwa ni ndugu yake au hawara?
 
Back
Top Bottom