Wanamtandao,
Nimesoma thread ya mauaji ya RPC wa Mwanza, nikaamua kucopy maswali yote ya members kama yalivyo na kuyaleta hapa kama thread.
Naamini maswali haya ya wanajamvi yatasaidia kupata hadidu za rejea za watakaochunguza tukio hilo.
Ieleweke kuwa Memberz wa hapa ndani pia ni Polisi jamii.
(Naomba Mod usiunganishe na thread kuu)
1. Kwanini RPC asimwagize dereva kumpeleka dadake?(Hujui madereva wewe,wanaweza kutafuna mali ya mzee)
2. Kwanini asiende na walinzi wake?(jibu kama la hapo awali)
3. Kama alikuwa na walinzi, Je walijeruhiwa au kufa? Walinzi walizidiwa?
4. Ukomo wa kazi wa walinzi wake ni saa ngapi?(Hakuna kikomo kwani hujui yeye ni nani hapo mkoani?)
5. Je kwenye gari walikuwa wawili tu?(Sio tatizo,kwani lazima wawe wengi?ishu je ni kweli alikuwa dada yake?)
6. Dada mtu ameumizwa?(Tusubiti jibu)
7. Jina la huyo dadake ni nani?(Kama hapo juu)
8. Intelijensia haikunusa mauaji kabla?(Kwani ni Chadema wale?ingekuwa Chadema taarifa zingekuwepo)
9. Kwanini auwawe?(Uchubnguzi unaendelea)
10. Kwanini isidhaniwe ni vinyongo ndani ya Jeshi la Polisi?
11. Polisi wamejuaje wauaji ni majambazi? Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
12. Walikuwa wanagombea demu?
13. Sijui ni wale waliompiga Hyness Kiwia!?
14. Kikao cha harusi hadi saa 8 usiku?(Utajiju,kala mke wa watu huyu,wangempiga tigo ndio angetia adabu)
15. Majambazi gani wanaothubutu kumvamia RPC, na je walitaka kumwibia?
16. Wamempora nini baada ya mauaji?
17. Alikuwa na gari binafsi au ya serikali?
18. Alivaa uniform au kiraia?
19. Hakuna visasi nyuma?
20. Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
21. Kikao kilikuwa bar au nyumbani kwa mtu?
22. Kama aliwamulika majambazi, je ni yeye tu aliyepita hiyo njia?
23. Dada mtu alichukua hatua gani baada ya tukio?
24. Aliwaona wahusika?
25. Risasi alipigwa eneo gani la mwili?
1. Kwanini RPC asimwagize dereva kumpeleka dadake?(Hujui madereva wewe,wanaweza kutafuna mali ya mzee)
2. Kwanini asiende na walinzi wake?(jibu kama la hapo awali)
3. Kama alikuwa na walinzi, Je walijeruhiwa au kufa? Walinzi walizidiwa?
4. Ukomo wa kazi wa walinzi wake ni saa ngapi?(Hakuna kikomo kwani hujui yeye ni nani hapo mkoani?)
5. Je kwenye gari walikuwa wawili tu?(Sio tatizo,kwani lazima wawe wengi?ishu je ni kweli alikuwa dada yake?)
6. Dada mtu ameumizwa?(Tusubiti jibu)
7. Jina la huyo dadake ni nani?(Kama hapo juu)
8. Intelijensia haikunusa mauaji kabla?(Kwani ni Chadema wale?ingekuwa Chadema taarifa zingekuwepo)
9. Kwanini auwawe?(Uchubnguzi unaendelea)
10. Kwanini isidhaniwe ni vinyongo ndani ya Jeshi la Polisi?
11. Polisi wamejuaje wauaji ni majambazi? Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
12. Walikuwa wanagombea demu?
13. Sijui ni wale waliompiga Hyness Kiwia!?
14. Kikao cha harusi hadi saa 8 usiku?(Utajiju,kala mke wa watu huyu,wangempiga tigo ndio angetia adabu)
15. Majambazi gani wanaothubutu kumvamia RPC, na je walitaka kumwibia?
16. Wamempora nini baada ya mauaji?
17. Alikuwa na gari binafsi au ya serikali?
18. Alivaa uniform au kiraia?
19. Hakuna visasi nyuma?
20. Nani ana uhakika kauwawa na majambazi?
21. Kikao kilikuwa bar au nyumbani kwa mtu?
22. Kama aliwamulika majambazi, je ni yeye tu aliyepita hiyo njia?
23. Dada mtu alichukua hatua gani baada ya tukio?
24. Aliwaona wahusika?
25. Risasi alipigwa eneo gani la mwili?(Polisi watajibu!)
Nafikiri kamuhanda atakuwa maejifunza!