Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

Kifo cha RPC Mwanza: Maswali ya Bei Mbaya...

............na kama angelikuwa mfanyabiashara wa mitumba au muuza chipsi, polisi wangesema watalipa kisasi kwa mauaji au kwa vile aliefariki ni kamanda? Je DCI angetumwa kwenda Mwanza? Sasa kwa nini tusijiulize kwamba tumejenga matabaka ya wenye hatamu na walala hoi ambao hawana mtu wa kumtetea?
 
yawezekana alifumaniwa manake vigogo hawa na wake za watu hawashikiki!
 
Maswali mazuri sana. Lakini majibu yake ni mepesi kwa sababu ni ya ku shade kati ya "A" au "B". Sasa kazi kwenu kutafuta kushade libu unaloona ni sahihi kwako:
A. Tujivue nguo tubaki na utupu wa mnyama ukweli ujulikane, tuhaibike, tudhalilike mfurahi
B. Tubaki na nguo zetu, tufiche ukweli, tujihami na tufunike kombe mwanaharamu apite wakunung'unika shauri yao
 
Back
Top Bottom