Hili limetokea na majibu/dalili tosha kwamba mfumo wetu wa security umefeli and lazima tuchukue hatua za haraka.
.... ndio maana wameishia kuua raia badala kulinda raia na usalama wa taifa letu
.... ndio maana tunatenda makosa lakini ukiwa mlala hoi ndio sheria inafuata mkondo wake, ukiwa mtoto wa Kigogo mhhh
.... ndio maana wameshindwa kulinda raslimali zetu zinazoibwa kila kukicha
.... ndio maana wamelala kiasi kwamba intelligensia iko biased i.e. imekuwa tu ya kuwakosovo CHADEMA
.... ndio maana wameishia kufungua vikesi vya chap chap kutafuta Kinga ya kusema jambo hili liko mahakamani na lisijadiliwe
Hii ni hatari na yafaa uongozi mzima wa Police/Usalama kuchukua hatua... System failed and they should step down and let other Tanzanians to lead.
Matukio ya Mbagala, Iringa, Morogoro, Dr. Ulimboka, Kupigwa wabunge and yet no action taken, Morogoro, Arusha........