Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
MKJJ...Si umekuwa msitari wa mbele kusema kuwa ninapenda kutoka nje ya topic?
Sasa heading hii inasema kuwa ni kwanini alijifanya INVISIBLE...Sasa kujifanya invisible ndio kuwa mwanachama wa chadema?
Ama hii haistahili thread yake?
Unapingana na Slaa kuwa huyo kijana hajulikani na chadema na kwamba alishajaribu kujiunga akakataliwa?
Ama there's something tunamisss hapo kwenye u invisible vs uanachama wa chadema?

NB:Naomba urejee kauli kutoka kwa katibu mkuu kuwa makao makuu haimtambui huyo Deus Mallya...Sasa ni chadema mkoani waliokuwa wakimtabuwa?
Je ni kweli kuna chadema mtandao na jf mtandao kama anavyopenda kusema NN?
Maana hata Kuhani ameshindwa kuniambia kama yeye ni SILENCER...Sasa ndugu yangu unayependa kusema ninatoka off topic...Je kwanini watu kama ni ma mod wawe na status hiyo moja na si kuwa na status mbili?
Yani kama kuhani ni mod..Basi ijulikane na isije kuwa kuhani huyo huyo ndiyo silencer maana hapo kutakuwa hakuna haki.
Huu si mtandao huo?
Mtu kuwa flani halafu uwe na status nyingine na kujiita silencer?
Wapi haki?

Aisee Mangi, ngoja niweke niweke rekodi sawa maana naona umechanganya mambo kidogo. Hilo la JF Mtandao ni figment ya imagination ya Kuhani. Yeye ndo alinituhumu mimi kuwa ni JF Mtandao miezi kadhaa iliyopita ingawa yeye ni premium member (sijui hata ina maana gani kuwa premium member)wakati mimi ni member wa kawaida tu. Alidai eti mimi nimewahi kusema/ kujitamba kuwa ni JF Mtandao. Nilipomwomba ushahidi wa wapi nilisema hivyo, he danced around it until I got tired waiting. Kwa hiyo hayo ya JF Mtandao ni ya Kuhani na si Ngabu.
 
Last edited by a moderator:
Samahani kwenye posting ya tamko la chadema...Ni kwamba limetolewa na John Mnyika kwenda kwa kina Slaa na Manumba...Sasa sijui kama ni tamko rasmi la chadema.
John Mnyika ambaye ame suggest kuwa wakibosho ni wasaliti miongoni mwa mashujaa wa Taifa letu!
Tena akapewa asante na MKJJ na Kieleweke!
Naomba rekodi iwekwe straight kuhusu Sina ili tudumishe mshikamano kwani ubaguzi ni mbaya.
 
Ni kweli..Mambo si mazuri na issue hii ni nzito...Siasa si kitu kizuri....Ni afadhali nijirudie zangu shule maana harufu ya damu kila mahali.


Duh, vipi ndugu yangu, ulikuwa na mikakati ya kuwa mheshimwa?
 
Kichuguu kuweka rekodi straight...SINA HAJA YA KUWA KIONGOZI WA AINA YOYOTE TZ KWANI WATANIUWA!
Sitaki kabisa siasa za bongo!
LABDA MAPINDUZI YATOKEE..KINYUME CHA HAPO...SINA HAJA NAYO KABISA KWANI HISTORIA YAKE NI MBAYA KWANGU!
 
we silencer kiboko.....mimi niliji edit mwenyewe lakini na wewe umekuja na panga lako.....wewe lazima utakuwa JF Mtandao....
 
Nia yangu mimi ni UMOJA...MIMI NA UBAGUZI MBALI MBALI!
Na ninasema hivyo kutoka MOYONI!
MAREHEMU ALIPIGA KELELE UBAGUZI...SASA NI WAKATI WA MAJIBU.

NB:Kichuguu uelewe kuwa kuna wazalendo na mashujaa huko bongo...Sisi ni wadandiaji tu..Lakini kwasababu tuna uelewa..Hatutaki tukose mzalendo wa kumpa sapoti ili aliongoze Taifa letu vyema...Na hii ni bila kujali chama..EXCLUDING MAFISADI.
 
we silencer kiboko.....mimi niliji edit mwenyewe lakini na wewe umekuja na panga lako.....wewe lazima utakuwa JF Mtandao....

Angetumia akili asingenifungia,kwani kufanya hivyo amepelekea mimi kujiuliza kwanini alishtushwa na kitu ambacho hata mimi sikusema nitakifanya.
Yani ni kama aliona hatari ya hilo kufanyika ni kubwa.
Huyu mtu sijui kweli..Sasa angenijibu ili nifahamu kwanini alikuwa na sympathy na maisha ya watu wengine na si wengine.
 
Duh!! Kuna utata sana kwenye hii ajali lakini you can't rule out anything....
Kwa wale wadadisi mnaweza kusoma vitu vifuatavyo..especially hiyo in red
i. Invisible Personnel of Surveillance Station/System
ii. High Power Microwave
 
Nazidi kushangazwa na watu wanaosema kuwa WANGWE kahujumiwa na CCM au Serikali.

watu hao hao siku si nyingi walisema kuwa WANGWE afukuzwe uanachama chadema kwa vile ni mzigo ndani ya Chadema na ni pandikizi la CCM.

SWALI KAMA CCM walimnunua Wangwe kupitia kwa Rostam na wakasema kuwa walikutana MOVENPICK ili awe Mwanaccm na mtu aliyekuwa akimpa siri za Chadema ni mbunge Aman Kabour,vipi leo CCM wamuue pandikizi lao? kitu ulichokinunua mwezi uliopita ukijua thamani yake kwanini leo ukiue kabla hujarudisha gharama zako?

ushahidi mwingi wa wazi Wangwe alikuwa na maadui nje ya CCM na serikali na alikuwa na nia ya kugombea Uenyekiti Chadema, hili lilitokea kwa mtoto wa Malecela kutaka kugombea uenyekiti wa vijana wa CCM na akapata ajali ya gari na kufariki, katika maneno ya mtaani haikusemwa kuwa kauliwa na wapinzni wa CCM ,bali uvumi ulikuwa kwamba kauliwa na wana CCM wenzake waliokuwa wakiutaka Uenyekiti wa UVCCM, hata Marehemu Chifupa ilisemwa kuwa ni watu waliokuwa hawataki awe mwenyekiti au ashiriki uchaguzi wa UVCCM wa mwaka huu ndio wamemuhujumu, walitajwa watu ambao wako ndani ya CCM hawakutajwa wapinzani, kifo cha Kolimba kilihusishwa na wana CCM kwa vile aligongana nao kimaneno, sas kwani kipimo cha Wangwe kiwe tofauti? inajulikana kuwa kuna genge kubwa linamchukia Wangwe ndani ya Chadema kwani ni uzushi wetu usianze huko? kama tunazipa nguvu imani za kishirikina na kimafia. kwa CCM wangwe angekuwa asset why wamuue?

Huwa tunafanya hivi,
-Ukisha maliza kazi na pandikizi lako basi kinachofuatia ni kuliua hilo ili kupoteza ushahidi.ingekuwa mapandikiza hayauawi basi leo hii Balali angekuwepo au kungekuwa na maelezo mauuuri ya kifo chake toka serikalini.
Mfano:-ukiwa jambazi mkuu (fisadi),ukamtuma mtu wako kuua mtu A na kuchukua pesa,basi baada ya kufa huyo mtu A itafuatia mpango wa kuua huyo mtu wako.Na ndio maana katika trend ya mauaji huwa haiishi coz utaua hadi kuua.

-Kwa wale wanaobisha kuwa watu wa tarime siyo wagomvi basi wakaulize iliyokuwa ze comedy wao walipata wapi ujasiri na uhakika wa kuwaigiza watu hao kwa tabia yao ya ugomvi.Naamini ili haliitaji mjadala kwani hakuna hasiyejua hulka na silka ya sisi watu wa mkoa wa Mara aka Musoma.Yaani siku hizi wewe malibe unatukemea kuwa sisi siyo wagomvi???Aisee nitake radhi kwani mimi hili kwangu ilikuwa SIFA kubwa mno na nilijivunia kwa hilo kuwa mtu akiniudhi mimi ni kumgacha tu na kwa kutumia fahari hii niliweza kuishi pale Sekei (Idara ya Maji) Arusha swafi kabisaaa enzi zileeee na kwa jina tu la kuitwa mkurya nilipeta.Sasa leo kumbe tumekuwa wapole na wanasiasa kama watani zangu wahaya??hahahahahahaha hihihihikwkikwikwikwi
 
time will tell.....ila hii imekaa kaa kwenye movie vile! dush
 
Niliwahi kusema hapa kuwa Polisi wa TZ wao mwenye elimu ya juu ya kompyuta ni yule aliyesoma introduction to computer na ms words.Nikaongeza kuwa kuwa ukienda pale makao makuu kitengo cha komputa utakuta wataalamu waliobobea ku-bold na italic maneno kwenye ms word.Leo hii mnataka ndo wawe wapelelezi wa kifo chenye utata.Hahahahahahah,kwkikwikwiwkwiw,jamani mbavu zangu.
-Hata hivyo nimependa sana hiyo picha ya gari lililopata ajali hasa mlango wa mbele upande wa abiria ulivyo.
-Pia nimependa maelezo kuwa kichwa cha marehemu kilibanwa kati ya seat na mlango wa nyuma.
-Pia nikapenda kidogo kuwa kwenye gari kulikuwa na watu watatu.

Kwa hiyo tunasema hivi:-
Damu nyingi ilikuwa seat ya mbele upande wa abiria,so marehemu alikaa mbele,dreva hakuwa marehemu,na huyo mtu wa tatu alikaa nyuma na angalia picha uone Mungu alivyo na "miujiza" ya kumfanya mtu aliyekaa kwenye huo mlango uliopondeka kiasi hicho atoke mzima na kuanZa kuwaamuru watu sehemu ya kupata hela.
Ndio afande nimekuelewa.
 
Wanandugu Mambo Yanzidi Kunoga Hivi Majuzi Bwana Mmoja Aneitwa Deus Mallya Aliekuwepo Kwenye Gari Moja La R.i.p Wangwe Alisema
Hajui Kuendesha Gari Kabisa ..hivi Jana Wanahabari Wakiwa Na Mshushu Wameenda Sehemu Ya Ajali Na Kukutana Na Mzee Aliekuwa Wakwanza Kumtoa Marehemu Wangwe Na Kusema Marehemu Alikuwa Kiti Cha Mwisho Nyuma Na Alikuwa Kama Amebanwa Na Wala Akuendesha Gari ..mzee Mwingule Katika Kuwahakikishia Hilo Amesema Wakaangalie Gari Damu Ilikuwa Kwenye Kiti Cha Nyuma Kushoto.....na Wala Si Vinginevyo Mwisho Akaomba Kupelekwa Kumwangalia Huyo Deus Kujua Kama Alikuwepo Kwenye Ajali Au La Maana Amesema Anawakumbuka Wote Waliopo.na Pamoja Na Aliekuwepo Mbele!!!!1
R.i.p Wangwe Mungu Akulaze Pema Peponi
Wote Walioshiriki Kukuua Mungu Aawaadhibu Wote Pamoja Na Chama Husika
 
Manumba Adai Yoyote Mwenye Ushahidi Ajitokeze Kutusaidia

Umesaidiwa Na Kubenea Mpaka Acc/no Mwisho Ukaishia Kupiga Sachi Nani Akusaidie
Au Nani Anataka Kujeruhiwa Mapema Hivyo Chacha 52,,
 
Ninasikitika kuwa niliomba picha ya Deus Mallya katika thread hii mara tu ilipopostiwa hapa, sikupata. Baadaye nikaamua kuanzisha thread maalum ya kumjadili huyu NYOKA mkaitoa. Sasa sijui kwa nini hamtutendei haki wengine humu.

Ni ukweli usiofichika kuwa huyu dogo wapo watu wanaomjua kitofauti tofauti. Hilo jina halitoshi kumthibitisha. Tafadhali ingizeni picha zake. Tutakuwaje na tahadhari kama ni mtu tu ameamua kutumia jina la mtu mwingine?
Pia tutawezaje kutoa maelezo mengine ya mtu huyu kama tunayo lakini hatuna uhakika kama ni yeye?

Mwisho: kama tukipata picha zake tutaweza kabisa kuwa na tahadhari naye itakapodhihirika kuwa ni mtu hatari kiasi hicho.

UHAKIKA UKO KWENYE KUONA PICHA YAKE HAPA MTANDAONI.

Please do the needfull
 
Manumba Sahau Kusaidiwa Kamwombe Mwema Umeshtua Sana Watanzania

Tunaweza Kukusaidia Ukatuweka Pabaya Wengine Htuna Kazi Afadhali Kubenea Ana Ajira....sie Si Ndio Basi Tena!!!!


Polen Familia Ya Wangwe!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom