Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,225
- 44,363
sijawahi kudai kuwa kila ninachokijua nakiweka JF. Uhuru wa habari huendana na kuwajibika kwa habari hizo. So, vinavyoweza kusemwa hadharani vinasemwa vingine vinakuwa ni kuchombeza tu kuwa tunavijua. So, nadhani kutwa nzima ya leo tumemwaga mtama mwingi tu.
Tunachosubiri ni jinsi gani wataamua kutuzuga.
Tunachosubiri ni jinsi gani wataamua kutuzuga.