Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,374
- 33,217
View: https://www.youtube.com/watch?v=um3Oriab_Us&ab_channel=GlobalTVOnline
Ni kweli Mheshimiwa Rais Samia Wananchi hawasikilizwe na hao Ulio wachaguwa Wakuu Wa Mikoa. Kazi yao kubwa Wakuu wa Mikoa ni kutembea na Magari ya Serikali ya kifahari mijini Wakuu wa Mikoa hawaendi Vijijini kuwatembelea Wananchi na kujuwa shida zao. Wao Kazi yao kubwa Wakuu wa Mikoa kuzurura Mijini na Magari ya Serikali ya Kifahari Watumbuwe Mheshimiwa Rais.