Kauli ya Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma ni vema ikajadiliwa' ni kuhusu Mitandao ya Kijamii

Ati wanaokosoa wanafahamika... dah!
Hataki kujua au kuelezea kwa nini wanasimangwa/sengenywa! Kwa nini wanakosolewa!?

Mtu akijamba kanisani kwa Gwajima, ushuzi wenye harufu kaaali, watu wataacha kuulizana huyo mjambaji "kala maharage ya wapi?"
Huyo Mlalamikaji na awazuie watu wake wasijambe mahakamani, hata kama ni "wasomi" wenzake. Nje ya hapo, wenye pua zenye kunusa lazima watasema na kuuliza aina ya maharage wanayokula huko mahakamani - binadamu tuko hivyo

Na wajue pia, pamoja na vitisho vyote, huwa inafika mahali binadamu atasema liwalo na liwe, wamechoshwa na harufu ya ushuzi wao hata kama ni ya wasomi... dah!

Na huo ndg zangu ndo utamu wa katiba tuliyo nayo ambapo wanalinda maslahi yao kwa ujumla na kusahau ya walalamikaji. DAWA NI KATIBA MPYA kuondoa aina hiyo ya maharage
 
Prof Juma nae anataka kupoteza watu ili iweje atafaidikaje ? Wataweza badili fikra ? Anapambana kivuli chake hataweza shame on you
 
Kama anawajua kama anavyotuaminisha kwanini asiwachukulie hatua hao waliochini ya mamlaka yake na badala yake anakuja kulalamika hadharani? It is high time Chief Justice apatikane kwa ushindani kama wafanyavyo majirani zetu na hapo tutakuwa na uhakika wa kumpata Jaji mkuu mahiri!!!
Hii habari imeletwa na mwana JF, sijaona mahali popote CJ kalalamikia hao ndugu, kuna uwezekano mkubwa mleta uzi aliongeza chumvi kwa sababu zake mwenyewe kama wewe unavyo ongeza juu ya uteuzi wa majaji na CJ! Kila nchi ina utaratibu wake kwenye masuala ya nchi husika. Hakuna sababu ya kuiga ya jirani yako ikiwa yako unaona ni safi1 Au siyo!?
 
MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.

Amekwenda mbali hadi kufikia kusema , wote wanaofanya hivyo wanafahamika na kwamba siku zao zimekwisha.

Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma.


View attachment 2039314

======


JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Mawakili hao wanahusisha wanawake 170 na wanaume 143 ambao sasa wafanya idadi ya mawakili kufikia 10,749 kutoka 10,436 mwezi Juni mwaka huu katika orodha ya mawakili nchini.

Tukio hilo limefanyika leo Ijumaa, Desemba 10, 2021 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Prof. Ibrahimu Juma amewataka Mawakili hao kuwa na nidhamu na kufikiria mbali zaidi kuliko kusubiri ajira.

Maadili na viwango, hatupaswi kuwa na mawakili wasiokuwa na maadili, kosa moja la wakili linaweza kuzungushwa mitandaoni na kutuchafua na kuchukuliwa kama Tanzania nzima hatuna maadili. Endeleeni kupambana na mawakili vishoka.

Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema, ndani ya mwezi mmoja, baada ya kuanza kazi Kituo Jumuishi cha Temeke, asilimia 38 ya mashauri yaliyofunguliwa na mawakili, “yalirejeshwa kwao, makosa kama kutaja kifungu cha sheria. Majaji tuangalia la kufanya ili tusiwe tunawarudishia tu.”

Huko mitandaoni nawajua mawakili, hata majina yenu ya bandia nayajua na wengine wako ndani ya mahakama, wanamshambulia jaji kwa jina na picha au wakili wa upande wa pili. Tunawafahamu. Siku zao zimekwisha- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma

Kukosoa hukumu hakuna tatizo. Nitafurahi hukumu zangu kama zitakosolewe, nitajifunza. Lakini saizi mawakili wanawakosoa majaji, mahakimu kwa majina na picha zao, mara anaishi wapi, hii haikubaliki na mawakili wa aina hiyo hawafai kuwa mawakili- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma

View attachment 2040709
Eti siku zao zimekwisha, nonsense!
 
Hii habari imeletwa na mwana JF, sijaona mahali popote CJ kalalamikia hao ndugu, kuna uwezekano mkubwa mleta uzi aliongeza chumvi kwa sababu zake mwenyewe kama wewe unavyo ongeza juu ya uteuzi wa majaji na CJ! Kila nchi ina utaratibu wake kwenye masuala ya nchi husika. Hakuna sababu ya kuiga ya jirani yako ikiwa yako unaona ni safi1 Au siyo!?

Je chief wewe unaona tunavyoteua majaji na Jaji mkuu ni safi? Mimi naona hakuna ubaya wakuiga wafanyavyo majirani kama utaratibu wao unaleta tija na kuwa bora kuliko wetu!
 
Je chief wewe unaona tunavyoteua majaji na Jaji mkuu ni safi? Mimi naona hakuna ubaya wakuiga wafanyavyo majirani kama utaratibu wao unaleta tija na kuwa bora kuliko wetu!
Nadhani hoja hapa ni UFANISI. Kama utaratibu wetu una ufanisi basi tuendelee nao na kama hauna ufanisi basi TUUBORESHE. Siyo suala la kuona fulani anafanyaje basi unaiga! Ni suala la kuchagua what fits and suits you better!
 
MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.

Amekwenda mbali hadi kufikia kusema , wote wanaofanya hivyo wanafahamika na kwamba siku zao zimekwisha.

Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma.


View attachment 2039314

======


JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Mawakili hao wanahusisha wanawake 170 na wanaume 143 ambao sasa wafanya idadi ya mawakili kufikia 10,749 kutoka 10,436 mwezi Juni mwaka huu katika orodha ya mawakili nchini.

Tukio hilo limefanyika leo Ijumaa, Desemba 10, 2021 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Prof. Ibrahimu Juma amewataka Mawakili hao kuwa na nidhamu na kufikiria mbali zaidi kuliko kusubiri ajira.

Maadili na viwango, hatupaswi kuwa na mawakili wasiokuwa na maadili, kosa moja la wakili linaweza kuzungushwa mitandaoni na kutuchafua na kuchukuliwa kama Tanzania nzima hatuna maadili. Endeleeni kupambana na mawakili vishoka.

Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema, ndani ya mwezi mmoja, baada ya kuanza kazi Kituo Jumuishi cha Temeke, asilimia 38 ya mashauri yaliyofunguliwa na mawakili, “yalirejeshwa kwao, makosa kama kutaja kifungu cha sheria. Majaji tuangalia la kufanya ili tusiwe tunawarudishia tu.”

Huko mitandaoni nawajua mawakili, hata majina yenu ya bandia nayajua na wengine wako ndani ya mahakama, wanamshambulia jaji kwa jina na picha au wakili wa upande wa pili. Tunawafahamu. Siku zao zimekwisha- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma

Kukosoa hukumu hakuna tatizo. Nitafurahi hukumu zangu kama zitakosolewe, nitajifunza. Lakini saizi mawakili wanawakosoa majaji, mahakimu kwa majina na picha zao, mara anaishi wapi, hii haikubaliki na mawakili wa aina hiyo hawafai kuwa mawakili- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma

View attachment 2040709

Nakubaliana naye. Utamaduni huu unaozidi kushamiri by the day ni hatari kubwa kwa utoaji wa haki. Mahakama zetu zinapaswa zifanye kazi bila shinikizo la mtu au mamlaka yeyote!
 
Nakubaliana naye. Utamaduni huu unaozidi kushamiri by the day ni hatari kubwa kwa utoaji wa haki. Mahakama zetu zinapaswa zifanye kazi bila shinikizo la mtu au mamlaka yeyote!
Usichokijua HAKI ni kitu cha wazi Kama mchezo wa mpira wa miguu tu. Usipofanya HAKI kila mtu anaona, na ukifanya HAKI pia kila mtu ataona. Ndiyo maana imeandika HAKI YAKE MWENYE HAKI ITAKUWA JUU YAKE. Kutisha kwake jaji Mkuu ni dalili ya wazi anajua kinachotendeka si haki. Anatetea Ushetani tu.
 
Usichokijua HAKI ni kitu cha wazi Kama mchezo wa mpira wa miguu tu. Usipofanya HAKI kila mtu anaona, na ukifanya HAKI pia kila mtu ataona. Ndiyo maana imeandika HAKI YAKE MWENYE HAKI ITAKUWA JUU YAKE. Kutisha kwake jaji Mkuu ni dalili ya wazi anajua kinachotendeka si haki. Anatetea Ushetani tu.

The fact that someone has done something unjust or dishonest is no justification for acting in a similar way!
 
It will take you a very long time to invent the wheel, you are better off using a better one in existence!!!
It is not a question of "inventing the wheel" but rather it is a question of seeing things in their REALITY rather than in their imaginary and unrealistic stances! Suala la "better" ni very situational, personal and private.
 
It is not a question of "inventing the wheel" but rather it is a question of seeing things in their REALITY rather than in their imaginary and unrealistic stances! Suala la "better" ni very situational, personal and private.

If something is operational and in existence , it cannot be " imaginary and unrealistic"! We are in that situation where '"better" is what we should opt for.
 
J

Jaji Mkuu yuko SAWA, hao WANAWASHAMBULIA hivyo na yeye anayo haki ya KUWASHAMBULIA kwa mkwara mzito na hata ikibidi KWA VITENDO. Kama wana hoja waende huko kwenye mfumo wao wa Mahakama waitafute haki yao. Siyo kufanya mambo kama watu ambao hawakusoma.
Mungu mtu huyo
 
Back
Top Bottom