Bufa

JF-Expert Member
Mar 31, 2012
10,659
21,090
Kauli ya CDF, mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda, kwamba kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti serikalini naona ni kauli dhaifu na inawachafua zaidi wao kama walinzi namba moja wa mipaka ya nchi. Inamaana jeshi limeshindwa kazi ya kulinda mipaka ya nchi?

Wakimbizi wakishakua raia by naturalization hakuna tija kuendelea kubring up ukimbizi wao kila dakika. Hao ni raia na wana haki zote kama watanzania wengine.

From my understanding (stand to be corrected), ni Rais na VP tu lazima wawe watanzania by birth ila nafasi zingine zote anaweza shika mtanzania yeyote regardless ya aina ya uraia wake. Kama kuna sheria inakataza watanzania by naturalization kushika nyadhifa fulani wekeni wazi kila mtu ajue badala yakutoa hizi kauli tata za kujitungia bila kuzingatia sheria.

Unless wakimbizi wanaoongelewa na CDF wamepewa hizo nafasi ilhali bado sio raia kabisa hakuna sababu ya kuwaita watu hao wakimbizi. Huo ni unyanyasaji na uzembe wa hali ya juu wa mamlaka.

CDF kapuyanga kutoa hiyo statement. CDF achukue darasa la uraia toka kwa watu wa uhamiaji wenyewe:

 
Kauli ya CDF, mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda, kwamba kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti serikalini naona ni kauli dhaifu na inawachafua zaidi wao kama walinzi namba moja wa mipaka ya nchi. Inamaana jeshi limeshindwa kazi ya kulinda mipaka ya nchi?

Wakimbizi wakishakua raia by naturalization hakuna tija kuendelea kubring up ukimbizi wao kila dakika. Hao ni raia na wana haki zote kama watanzania wengine.

From my understanding (stand to be corrected), ni Rais na VP tu ndo inabidi wawe watanzania by birth ila nafasi zingine zote anaweza shika mtanzania yeyote regardless ya aina ya uraia wake.

Unless wakimbizi wanaoongelewa na CDF wamepewa hizo nafasi ilhali bado sio raia kabisa hakuna sababu ya kuwaita watu hao wakimbizi. Huo ni unyanyasaji na uzembe wa hali ya juu wa mamlaka.

CDF kapuyanga kutoa hiyo statement.
Mnaanza kuibuka, sisi na ninyi hadi tuwaproon wote kwenye nafasi za maamuzi.
 
Kauli ya CDF, mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda, kwamba kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti serikalini naona ni kauli dhaifu na inawachafua zaidi wao kama walinzi namba moja wa mipaka ya nchi. Inamaana jeshi limeshindwa kazi ya kulinda mipaka ya nchi?

Wakimbizi wakishakua raia by naturalization hakuna tija kuendelea kubring up ukimbizi wao kila dakika. Hao ni raia na wana haki zote kama watanzania wengine.

From my understanding (stand to be corrected), ni Rais na VP tu ndo inabidi wawe watanzania by birth ila nafasi zingine zote anaweza shika mtanzania yeyote regardless ya aina ya uraia wake. Kama kuna sheria inayokataa watanzania by naturalization kushika nyadhifa fulani wekeni wazi kila mtu ajue badala yakutoa hizi kauli tata.

Unless wakimbizi wanaoongelewa na CDF wamepewa hizo nafasi ilhali bado sio raia kabisa hakuna sababu ya kuwaita watu hao wakimbizi. Huo ni unyanyasaji na uzembe wa hali ya juu wa mamlaka.

CDF kapuyanga kutoa hiyo statement.
Mkimbizi wa kwanza huyoo kaibuka.

Tunaendeleza subira wataibuka wengine
 
Hahaaaa mkuu wa majeshi ni ni mtu na nusu katoa kauli ile maksudi yaan nyie ambao hata makabuli ya mababu na mababu wakubwa hamjui hata yalipo mtajitokeza tu kupinga.Mkuu wa majeshi kalusha jiwe angani
 
Hakuna nchi ya Tanganyika wala Zanzibar bali Tanzania. Rais lazima awe mzaliwa wa ndani ya mipaka ya Tanzania bara au visiwani.
Kuna nchi mbili tofauti zenye historia tofauti yaani Tanganyika na Zanzibar.

Kwa nini Mzanzibari atawale Tanganyika ?
 
Hahaaaa mkuu wa majeshi ni ni mtu na nusu katoa kauli ile maksudi yaan nyie ambao hata makabuli ya mababu na mababu wakubwa hamjui hata yalipo mtajitokeza tu kupinga.Mkuu wa majeshi kalusha jiwe angani

Kama hujui tofauti ya L na R wewe ni mkimbizi namba moja.
 
Hakuna nchi ya Tanganyika wala Zanzibar bali Tanzania. Rais lazima awe mzaliwa wa ndani ya mipaka ya Tanzania bara au visiwani.

Hakuna Tanganyika na Zanzibar lakini Kuna Tanzania na Zanzibar ( nchi kamili Kwa mujibu wa katiba yao)

Tukirudi kwenye hoja, hauwezi kuongelea mambo ya uraia kati ya Tanganyika na Zanzibar, hiyo yote ni Tanzania.

Hii kauli kama ni kweli ndio anaitoa hapo Kwa Mara ya kwanza na walikua hawajalijadili Hilo Kwa ngazi ya juu na kipekee, tunashida kubwa zaidi ya Hilo la wageni kushika nafasi nyeti kwetu.
 
Kauli ya CDF, mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda, kwamba kuna wakimbizi wamepewa nafasi nyeti serikalini naona ni kauli dhaifu na inawachafua zaidi wao kama walinzi namba moja wa mipaka ya nchi. Inamaana jeshi limeshindwa kazi ya kulinda mipaka ya nchi?

Wakimbizi wakishakua raia by naturalization hakuna tija kuendelea kubring up ukimbizi wao kila dakika. Hao ni raia na wana haki zote kama watanzania wengine.

From my understanding (stand to be corrected), ni Rais na VP tu lazima wawe watanzania by birth ila nafasi zingine zote anaweza shika mtanzania yeyote regardless ya aina ya uraia wake. Kama kuna sheria inakataza watanzania by naturalization kushika nyadhifa fulani wekeni wazi kila mtu ajue badala yakutoa hizi kauli tata za kujitungia bila kuzingatia sheria.

Unless wakimbizi wanaoongelewa na CDF wamepewa hizo nafasi ilhali bado sio raia kabisa hakuna sababu ya kuwaita watu hao wakimbizi. Huo ni unyanyasaji na uzembe wa hali ya juu wa mamlaka.

CDF kapuyanga kutoa hiyo statement.

View: https://www.instagram.com/p/C2eJNYOiq-4/?igsh=NGdtOHRlZ29icWR2
 
Back
Top Bottom