Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,486
Uko sahihi kwa mjibu wa marekebisho hayo..huo ni utaratibu wa zamani.
..utaratibu mpya ni makamu, halafu waziri mkuu.
..mabadiliko hayo yalifanyika wakati wa Rais Mkapa.
Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Kwani umeoteshwa nini 😂😂😂Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Jamaa kauliza endapo Rais na Makamo wakiaga dunia,DS inatumika pale inapotokea Viongozi wote wa juu (next to the throne) wanapokutana eneo moja sasa pale kiusalama ni risk sana lazima abaki mtu atayesimama kama Rais endapo kuna jambo litatokea kwa hao wengine kwa pamoja.Hiyo inatumika kwa mazingira yapi chief ?
Acha upimbi wewe, hoja yake ina mashiko, kama vipi ipotezee na upite kimya.Acha kuwaza kufa kufa tu sababu hata mafanikio yako yatakuwa na harufu ya kufa, nawe utakuwa mfu.
Fikiri kichanya zaidi ili upambane kupata maendeleo bora.
Kasome katiba ibara ya 37 ibara ndogo ya (3) isome na vifungu vyake yani (a), (b) na (c). Unawez pia kuendelea kujifunza ukasoma ibara ndogo ya 4 na vifungu vyake utapata jibu la maswali yakoNipe kifungu cha katiba mkuu.
Pale ambapo punguwani anajiona ana hekima zaidi kumkosoa taahira basi ni raha mstarehe tupuAcha upimbi wewe, hoja yake ina mashiko, kama vipi ipotezee na upite kimya.
Hivi Designated survivor inaendeleaje, nahisi niliishia season 2Kuna mtu anaitwa designated survivor, huyo ndiye anayechukua mikoba.
CDF hawezi kukubaliNdugai
Somo la uraia siku hizi halifundishwi mashuleni??View attachment 1929139
Umepanga kufanya nini mkuu?Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Yeye kama nani ?CDF hawezi kukubali
Atashika Mabeyo kwa mda kwakuwa ni dharulaKifungu gani cha katiba kinasema hivi mkuu?