COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Hahahhaah!Oa mzee umwachie mke hilo jukumu unless utadata.
Hahahhaah!Oa mzee umwachie mke hilo jukumu unless utadata.
ThanksThis is brilliant idea
Copied
Badala ya Alizeti lit 5 inanu ua zaituni Lita 1 Tsh 20,000/= na Alizeti lit 2 Tsh 10000/= halafu panga matumizi utamaliza miezi mi 2 bila kununua mafuta ya kula/ kupikiaMafuta yapo ya alizeti lita tano.
Wewe itakuwa hauishi kwako au huenda huwa unapikiwa ndio maana huelewi vitu vingi
Mkuu mchele na unga Ni vingi kwani Kuna kubadili ndizi Viazi n.kMbona kama Unga na mchele ni kidogo sana kwa familia ya watu 4. Unaweza kuelezea unavyoitengeneza tomato paste, kama hutojali?
Ivo vyakula vyote ukiviendekeza mwisho wa siku presha na kisukari vinakuhusu.Mchele,maharage,nyama,sukari,unga wa ngano,mafuta ya kupikia,chumvi,maziwa,ketchup,mayonnaise,blueband,jam,Tambi .
Sijaelewa, nikiweka kijiko kwenye carrots naendelea kuweka kwenye fridge pamoja na kijiko chake?Hazisinyai kabisa
Sijaelewa, nikiweka kijiko kwenye carrots naendelea kuweka kwenye fridge pamoja na kijiko chake?
Kijiko kinawekwaje, nimekua interested hapa. Zikiwa kwenye mfuka au bakuli.?
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Unakula balanced diet. Wali kidogo ,nyama au samaki na mbonga za majani nyingi. Hakikisha kwenye sahani yako kuna wanga kiduchu,mboga za majani nyingi,nyama au samaki kidogo. Na maziwa walau glass moja.Ivo vyakula vyote ukiviendekeza mwisho wa siku presha na kisukari vinakuhusu.
Hizo mara sita piga mara kilo 3..mwezi utafika? Hata Kama unachanganya na majani...by the way...mboga za majani zinatakiwa ziliwe mda wote na vitu vingine...sio ziliwe peke yake...mambo ya Kula ugali mwiingi na majani ni utapiamlo Tu...Maharage yanachemshwa kg Moja yanaliwa Mara 6
We mama unajua lishe...angalau...huwezi kuniulia watoto Kwa utapiamlo...Unakula balanced diet. Wali kidogo ,nyama au samaki na mbonga za majani nyingi. Hakikisha kwenye sahani yako kuna wanga kiduchu,mboga za majani nyingi,nyama au samaki kidogo. Na maziwa walau glass moja.
Hizo mara sita piga mara kilo 3..mwezi utafika? Hata Kama unachanganya na majani...by the way...mboga za majani zinatakiwa ziliwe mda wote na vitu vingine...sio ziliwe peke yake...mambo ya Kula ugali mwiingi na majani ni utapiamlo Tu...
Hivi vyakula unaweza weka kwenye freezer.Unaweza kushare vyakula unavyonunua na jinsi unavyovitunza ? Nimependa maelezo yako.
Mimi uwa nanunua mchele, sembe, unga wa ngano, viazi, mafuta lita 5 kwa mwezi, nyama nanunua kwa wiki inachemshwwa inawekwa kwenye friji huku samaki mara moja moja napenda wakiwa fresh. Nyanya, mboga za majani na matunda hayo ni kila sku mbili maana inabidi yawe fresh. kinachobaki ni kuwabadilishia menu katikati kwa kuwanunulia vyakula visivyokaaHabari za jioni wakuu,
Binafsi nimekuwa nikipitia changamoto sana nifanyaje au ninunue vyakula gani ambayo vitaweza kunifikisha mwezi mzima.
Naombeni uzoefu wenu katika hili, ni nini unazingatia, utaratibu upi unautumia kwenye kufanya manunuzi ya chakula.
Ukiweza kusema ni vyakula gani huwa unapendelea kununua na kuweka ndani itakuwa vyema zaidi. Asanteni, Uzi tayari.
Nyanya anaweza kununua sado halafu akazisaga.Akimaliza anazipika hadi zinawiva akiwa ameiwekea mafuta.ikipoa anaweka frijini inaganda inakuwa kama nyanya ya kopo tu.mchele kilo 10, unga muogo kilo 3, sembe kilo 6, samaki sato kg 4, nyama kg 10, mayai trei 1, sukari kg2 , chumv paket 3 . Vitu vingine bora uwe unanunua kwa wiki ili visioze kama nyanya , vitunguu maj/saumu, limao, matunda, mbogamboga, tangawz list kubwa sana..
Ndio utuambie wwKama unahitaji kujua mechanism ni wewe fanyia kazi
Mimi kazi yangu ni kutunza chakula kikae muda mrefu bila kuharibika.
Ndio utuambie ww
Hivi vyakula unaweza weka kwenye freezer.
Njegere.
Viazi, mihogo, ndizi mbichi...menya pack kwenye mifuko ya plastic.
Nyanya kama huna friji ziweke sehemu kavu pamoja na malimao. Malimao hufanya nyanya zisiharibike mapema.