Lemaitre
Member
- Aug 25, 2020
- 72
- 49
Habari za jioni wakuu,
Binafsi nimekuwa nikipitia changamoto sana nifanyaje au ninunue vyakula gani ambayo vitaweza kunifikisha mwezi mzima.
Naombeni uzoefu wenu katika hili, ni nini unazingatia, utaratibu upi unautumia kwenye kufanya manunuzi ya chakula.
Ukiweza kusema ni vyakula gani huwa unapendelea kununua na kuweka ndani itakuwa vyema zaidi. Asanteni, Uzi tayari.
Binafsi nimekuwa nikipitia changamoto sana nifanyaje au ninunue vyakula gani ambayo vitaweza kunifikisha mwezi mzima.
Naombeni uzoefu wenu katika hili, ni nini unazingatia, utaratibu upi unautumia kwenye kufanya manunuzi ya chakula.
Ukiweza kusema ni vyakula gani huwa unapendelea kununua na kuweka ndani itakuwa vyema zaidi. Asanteni, Uzi tayari.