Karibu Bright and Genius Editors upate huduma bora
Sasa kama mtu undergraduate hawezi kuandika Cover letter+CV...
2. Postgraduate anataka aandikiwe Research Proposal?????
Kama ndivyo... basi Elimu yetu ipo kuzimu...
Ondoa shaka boss,haya mambo mpaka ulaya yanafanyika. Jaribu kutembea kidogo ni mambo ya kawaida sana. Usiogope.
 
Sasa kama mtu undergraduate hawezi kuandika Cover letter+CV...
2. Postgraduate anataka aandikiwe Research Proposal?????
Kama ndivyo... basi Elimu yetu ipo kuzimu...
Inamaana walimu hakuna na mitaala inakosa timely and satisfactory pre-requisite courses na walimu wazuri that are dedicated for teaching job.
Elimu iko dhoofu
 
Ondoa shaka boss,haya mambo mpaka ulaya yanafanyika. Jaribu kutembea kidogo ni mambo ya kawaida sana. Usiogope.
Wew unajua mpaka kuandika hivi... nmetembelea nchi gani+ elimu yangu ni ipi...??? Kiufupi.. mnaaibisha sana Elimu ya Tanzania.. ungesema plagiarism checker though kuna software nowdays... au Unafundisha Statistical tools like Python; SPSS; STATA.. andiko linatia Kinyaa kwa ubora wa Elimu .. trust me...
 
Inamaana walimu hakuna na mitaala inakosa timely and satisfactory pre-requisite courses na walimu wazuri that are dedicated for teaching job.
Elimu iko dhoofu
Kuna kuandika CV ilimradi na kuandikiwa CV yenyewe ni vitu viwili tofauti. Sisi tunakuandikia CV yenyewe boss. Haya ni mambo ya kawaida labda tumekosa exposure tu. Hata ulaya yapo haya hiyo haimaanishi hawana elimu.
 
Hii ipo grammatically correct au inahitaji editing ?

Welcome to Bright and Genius Editors; for only Sh 1000, we will urgently write you a CV and a good job application letter.​

 
Wew unajua mpaka kuandika hivi... nmetembelea nchi gani+ elimu yangu ni ipi...??? Kiufupi.. mnaaibisha sana Elimu ya Tanzania.. ungezema P
Boss wapo wanaohitaji hii huduma wewe endelea kujiandikia wala hamna tatizo. Kila mtu na chaguo lake. Just be positive, usitake wenzako wawe kama wewe unavyotaka kuwa. Wengine elimu yao inawatosha na huwezi kujua kila kitu.
 
Kuna kuandika CV ilimradi na kuandikiwa CV yenyewe ni vitu viwili tofauti. Sisi tunakuandikia CV yenyewe boss. Haya ni mambo ya kawaida labda tumekosa exposure tu. Hata ulaya yapo haya hiyo haimaanishi hawana elimu.
Sawa ila uhalisia itakuwa zaidi ya hapo kama sio sasa siku zijazo. Ubwete ni jadi huku Africa
 
Wew unajua mpaka kuandika hivi... nmetembelea nchi gani+ elimu yangu ni ipi...??? Kiufupi.. mnaaibisha sana Elimu ya Tanzania.. ungesema plagiarism checker though kuna software nowdays... au Unafundisha Statistical tools like Python; SPSS; STATA.. andiko linatia Kinyaa kwa ubora wa Elimu .. trust me...
Very nice observation kudos🙏
 
Sasa kama mtu undergraduate hawezi kuandika Cover letter+CV...
2. Postgraduate anataka aandikiwe Research Proposal?????
Kama ndivyo... basi Elimu yetu ipo kuzimu...
Zaidi ya kuzimu.......ukipitia CV na Barua za maombi ya kazi unaweza kulia.....then unakuta cheti mtu ana 3.8 GPA
 
Wew unajua mpaka kuandika hivi... nmetembelea nchi gani+ elimu yangu ni ipi...??? Kiufupi.. mnaaibisha sana Elimu ya Tanzania.. ungesema plagiarism checker though kuna software nowdays... au Unafundisha Statistical tools like Python; SPSS; STATA.. andiko linatia Kinyaa kwa ubora wa Elimu .. trust me...
Basi inatosha. Wengine hatujazoea kufikiri negativity. Na wengine hatuhitaji hizo python boss. Elimu ni pana sana kila mtu anashika anapopaweza. Kama umeona kwenye python kuna gap nunua computer anza kuwafundisha watanzania.
Leta video zako za python hapa jukwaa la elimu watu watajifunza. Ila usitumie akili yako kuanza kuponda kazi za wengine. Heshimu kazi ya mtu nawe utafanikiwa.
 
Back
Top Bottom