nikiwa maeneo ya magomeni naziona gari nne aina ya roli zenye wanajeshi wa kutosha wakiwa na silaha za kutosha wakielekea kariakoo. kwa upande wa hapa magomeni msikiti wa kichangani wametulia baada ya ffu kupiga mabomu ya machozi matatu na gari la kuwasha limepaki katika mlango wa kuingilia msikitini.
Nikiwa maeneo ya Magomeni naziona gari nne aina ya roli zenye wanajeshi wa kutosha wakiwa na silaha za kutosha wakielekea mitaa ya Kariakoo/Jangwani.
Kwa upande wa hapa Magomeni, msikiti wa kichangani wametulia baada ya FFU kupiga mabomu ya machozi matatu na gari la kuwasha limepaki katika mlango wa kuingilia msikitini.
Nipo kwenye gari lakini macho yangu yamepatwa na moshi wa mabomu kwa kweli tunapoelekea tusipokuwa makini tutakuwa kama Gaza.
Nimepata taarifa kutoka kwa jamaa yangu mwanajeshi wa kambi ya lugalo kuwa wameambiwa wajiandae na kuelekea k.koo maramoja.
Mkuu sasa kwanini usinywe sumu ya panya ili uondoke kimya kimya kuliko kutusumbua sisi tunaopenda kuishi ?yaani ikulu watu ndo wanapoelekea sisi tupotayari kufa kuliko kuishi