Hivi Waislam wanaoudhulumiwa na wa Dar es salaam tu!? au mikoa mingine haina uislamu?
Hivi hawa watu wana matatizo gani?
mabomu na risasi ni za waislam na Chadema na CUF na sio CCM na wakiristo wa tz hii. haya matukio ya risasi ni kwa makundi haya tu. CCM na wakiristo wanakula bata
kama waislam wakorofi hata chadema wakorofi. maana wote nawaona wanatimuliwa na polisiKweli wewe pono...
chanzo changu makini kimeniambia polis wamezidiwa kariakoo na sasa wameomba msaada kwa wanajeshi na wanajiandaa kwenda kutuliza ghasia
maeneo ya upanga zimepita gari tatu za jeshi zinaenda kumwaga watu uko zilikua spidi nimeshindwa ata kuchukua picha,jamaa wanaonekana wananjaa ya kuua mana hawajapigana mda mrefu sana
Mimi ni Muislam. Kwenye Uislam kuna amani na upendo. Uislam ni dini ya amani. Hawa wanaofanya machafuko kwa kivuli cha Uislam WATUONESHE AYA inayowatuma kufanya hivyo. La sivyo, hawa ni wahuni tu!
mi niko hapa maeneo ya quality centre na ona kuna misafara mingi ya viongozi sijui ni kina nani?ila inaonekana ni viongozi wanaenda kupanda ndege wakale bata majuu.si unajua weekend!wanaofanya fujo ki mpango wao.nipo maeneo ya kurasini, kuna helkopta ya polisi imepita katika anga hili muda huu. Sijui inaelekea wapi?
Naomba kutoa angalizo.
Mjadala usibebe dharau kwa waislamu wote maana kuna wengine haya mambo yanatuchukiza jinsi yanavyo kuwa handled kwa taswira ya vurugu ambayo matokeo yake ni kuiharibu amani ya wote (waliomo na wasio kuwemo).
Naamini uislamu hauhimizi vurugu kwenye kukabiliana na mambo ya msingi bali huhimiza busara na hekima kwenye kuitafuta haki ikiwa ni pamoja na kuufanya upendo ushamiri.