King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,891
- 95,201
mabomu na risasi ni za waislam na Chadema na CUF na sio CCM na wakiristo wa tz hii. haya matukio ya risasi ni kwa makundi haya tu. CCM na wakiristo wanakula bata
Hicho chanzo chako hicho!!!
Mlivimbiwa sana vichwa walipowaacha muandamane kidongo chekundu/wizara ya mambo ya ndani. Kama mngekuwa na chembe ya busara mngejua watu waliwastahi tu lakini badala yake ndiyo mkajiona mko juu ya sheria. Hii kitu itawarudisha kwenye reality...Nyinyi ni watanzania tu kama watanzania wengine na hakuna aliye juu ya sheria. Sioni kama kuna udini wowote hapo.
kweli mkuu. ustaarabu wao umewafanya kufunga Mkataba wa MOU kimya kimya tena kwa manufaa ya kanisa. unadhani katika hali hii nchi itakuwa na amani?Wakritu wa Tanzania ni wastaarabu sana. Nataka kukuambia kama wakritu wangekuwa na akili ya kushikiwa kama waislamu basi baada ya kuchoma yale makanisa ya mbagala, misikiti yote ingekuwa imevunjwa vunjwa kabisa. Lakini kwa ustaarabu wao walikimbia wakati waislam wanapovamia makanisa yao, ili kuepusha shari. Najiuliza, kama kwa kukamatwa sheik Ponda tu, mnahatarisha amani ya nchi kiasi hiki, je wakristu wangevamia misikiti na kuichoma moto kama mlivyofanya ninyi ingekuwaje? Ni dhahiri kwamba ukosefu wa elimu kwa waislam ni tatizo kubwa na kuwa na waislam katika nchi yetu ni mzigo mkubwa maana hamna mchango wowote hata kwenye uchumi wa nchi zaidi ya kututia hasara tu kama mnavyofanya sasa.
abakanaa!tanzania si dar pekee hao wajinga wachache wapigwe risasi wafe hawana faida puuuu paaa pwaaa pwaaa pwaaang'aaaaaa piga ua
wewe ndo umeishiwa kweli. Nani kakuambia ccm ni ya wakristo? Si wewe ulikuwa unasema CHADEMA ni chama cha wakristo? Mbona ccm haohao walishasema CUF ni ya kiislam? Kwani vyama hivyo ni vya kidini? Unamaanisha ccm hakuna waislam? Siamini vinginevyo ufisadi unahusu kuvuruga amani pia na kwa hiyo hao wachoma makanisa ni mafisadi pia, tena terrarists hawana tofauti na Osama wao.mabomu na risasi ni za waislam na Chadema na CUF na sio CCM na wakiristo wa tz hii. haya matukio ya risasi ni kwa makundi haya tu. CCM na wakiristo wanakula bata
January Makamba
@JMakamba
- ✔
I'm a Muslim. My Mom is devout Catholic. She prays for us everyday. She covers herself and participate when we have Dua. We can coexist.
Source: wavuti.com - wavuti
si watumie jeshi wawapige hao wajinga?