Tulipokosea pakubwa ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taalumaUkianza kuingia singida na ukanda wa ziwa kuna mawe yanayo tumika kujenga misingi ya nyumba za huko.
Ingekuwa kwa wenzetu ndio wamepata haya mawe basi mpaka uchochoroni kungekuwa na rami.
View attachment 3336712
💯🤝Tulipokosea pakubwa ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma
Yesu.Wenzetu. Wenzenu kina nani?
Sijui tulikosea wapi!?Tanzania nzima imejaa miti ila madawati bado ni shida mashuleni.
Mwanza kuna barabra za mawe, ila kwa uzoefu wangu naona kama ufundi wa kujengea mawe bado.Ukianza kuingia singida na ukanda wa ziwa kuna mawe yanayo tumika kujenga misingi ya nyumba za huko.
Ingekuwa kwa wenzetu ndio wamepata haya mawe basi mpaka uchochoroni kungekuwa na rami.
View attachment 3336712
Imagine!!Tulipokosea pakubwa ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma
Shida ni kwamba toka uhuru tunajenga barabara tu na kusambaza umeme na zimekuwa ndio agenda, wakati wanajeshi wetu wanadai wamebuni mradi wa kokoto basi Ethiopia wanajeshi wake wamefungua kiwanda cha kutengeneza drones kwaajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na usafirishaji wa bidhaa. Masudi kipanja alipowaza na kudhubutu kutengeneza magari yakutumia umeme akachekwa, hivi ni nani katuloga.Mbinu za kududumiza mwafrica ni kuhakikisha wanakuwa Duni maisha yao yote.
Mvua zikinyesha na baada ya madhara kutokea kama mafuriko na uchafu kujaa kila mahali na magonjwa kulipuka.
Basi huo ndio mpango mzima wa kuzidi kuwafanya muwe mnaruka madimbwi tu au kuvunja magari yenu au kufa kabisa.
Sio kuwa serikali za watu masikini hazijui au kushindwa kusafisha mji na kutengeneza miundombinu, hapana.
Wanataka mzubae huko milele.
Unadhani hakuna mabilioni nchini ya kufanya mambo haya?
Kweli Dar, Nairobi au miji mingine utafananisha na Kuala Lumpur? Au Bangkok?
Sio kuwa tunashindwa bali ni mbinu zao
Hakuna alieroga mtu, huu ni msemo tu.Shida ni kwamba toka uhuru tunajenga barabara tu na kusambaza umeme na zimekuwa ndio agenda, wakati wanajeshi wetu wanadai wamebuni mradi wa kokoto basi Ethiopia wanajeshi wake wamefungua kiwanda cha kutengeneza drones kwaajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na usafirishaji wa bidhaa. Masudi kipanja alipowaza na kudhubutu kutengeneza magari yakutumia umeme akachekwa, hivi ni nani katuloga.
Ukoloni wa kifikra bado upo. Tunawezaje kusubiti serikali itujengee barabara ilihali sisi ndio wanufaika wa hiyo barabara ndio pale mtu anasubiri ajengewe choo na serikali na huku anasoma kuwa serikali ndio ni watu na yeye ndiye miongoni wa hao watu. Kweli divide and rule imefanya kazi tumegapigwa ujasusi wakutosha pale tulipoletewa dini na chuki za kikabila na kishabiki. Tutawezaje kuungana na huku tunaitana kafiri, mara washirikina, mahasimu, chasaka, kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe, wakuja, n.k
Bado tuko jela ya fikra.
Usemi wa nani katuroga haujamaanisha ushirikina hapana ila kuonesha ni kwakiasi gani mifumo yakikolono ilivyotuweka jela ya kifikra. Umesema vizuri kuhusu serikali hivi unajua serikali ni watu na sisi ndio tunawachagua hao viongozi, kama ukipewa 10k na kitenge unampigia kura ni lini tutahoji juu ya mambo yamsingi ili hali ukisikia wasiojulikana unafunga mdomo, hofu tatizo hofu.Hakuna alieroga mtu, huu ni msemo tu.
Ila kiuhalisia hakuna viongozi wenye nia njema.
Wananchi mnalipa kodi kila siku na ni wajibu wa serikali kuhakikisha mahitaji yote wananchi wanayapata na huduma zote zinafanyika.
Haiwezekani mabilioni yanayoweza kufanya kazi yanaishia kwenye mifuko ya wachache, halafu kuna mzazi anamtafutia kazi mwanae au kumshawishi ajiunge na kazi ambayo itampa ulaji
Sio kuwa tumerogwa bali ukweli ni kwamba pesa zinazoingia serikalini ni nyingi kulingana na pesa zinazotumika kutengeneza vitu vya maana.
Hatuna maendeleo sio kwa sababu hatuna akili hapana
Ni kwa sababu tunadumazwa akili ili waendelee kula
Mbona Magu alihakikisha miradi inaisha haraka na kulazimisha yatokee
Tunashindwaje kuwalisha Ulaya na waarabu kwa mazao yetu?
Miaka mitano anakula posho tuUsemi wa nani katuroga haujamaanisha ushirikina hapana ila kuonesha ni kwakiasi gani mifumo yakikolono ilivyotuweka jela ya kifikra. Umesema vizuri kuhusu serikali hivi unajua serikali ni watu na sisi ndio tunawachagua hao viongozi, kama ukipewa 10k na kitenge unampigia kura ni lini tutahoji juu ya mambo yamsingi ili hali ukisikia wasiojulikana unafunga mdomo, hofu tatizo hofu.