Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Vikwazo vya uchumi vya jumla, hapo watawaua wote, yaani pamoja na wanaotaka kututetea.

Kuondoa misaada yote, ni sawa

Vikwazo vya kiuchumi viwe selective. Kwa mfano vikwazo vya kiuchumi wangeweka vifuatavyo:

1) serikali isiruhusiwe kununua silaha wala vipuli

2) Serikali isiruhusiwe kununua magari kwaajili ya maofisa wa Serikali isipokuwa ambulance tu

3) Viongozi wa Serikali, wabunge na familia zao wasisafiri nje ya nchi kwa sababu yoyote ile

4) Serikali isiruhusiwe kukopa kwenye taasisi zozote za fedha nje ya nchi

5) Serikali, CCM na watu wenye mafungamano na Serikali na CCM wasiruhusiwe kununua chochote nje ya nchi zaidi ya madawa au chakula

5) Watu binafsi wenye mafungamano na Serikali au watawala au wabunge, nao pia kama walivyo viongozi wa Serikali na CCM, wawekewe vikwazo vya kibiashara na kiuchumi

NB: Watu binafsi wa kawaida wasiwekewe vikwazo vyovyote vile vya kibiashara wala vya kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa konda daladala nauli ukipewa huulizi hela hii ya kichangudoa au ya kishoga? magufuli konda daladala la Tanzania
Mnawatukana mabeberu chini chini mnaomba hela zao na kuwasingizia wengine wanatumika na mabeberu, umdhaniaye siyo kumbe nye ndo mashoga zamu hii lazima we uwe wa kwanza kufumuliwa marinda
 
Habari za mida wanajamvi!

Naam, kumepambazuka huko Duniani, wazungu wamesikia kilio cha wanao penda demokrasia Tanzania, kwa umoja wao wameazimia kuwa watainyima Tanzania misaada inayo fikia Tshs trilioni 1.64 kwasababu haifuati ustaarabu wa kidunia wa multipartism yaani demokrasia ya vyama vingi.

Kilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!

Nini maana yake? Ni kwamba hatuta uza chai kwao, wala kahawa haitauzwa kwao, maua na mbogamboga kamwe hatutauza kwao. Hatutauza dhahabu, hatutauza korosho wala minofu ya samaki. Yaani hatutauza chochote kwao.

Baada ya muda mfupi tu fedha yetu itashuka thamani usipime. Yaani dollar moja yaweza kuwa Tshs 5000/= kisa? Mtu mmoja hataki uchaguzi uwe huru , wa haki, credible na transparent!

Wazungu nimewavulia kofia! Nimetabasamu kwa mara ya kwanza tangu October 28. Ahsanteni wazungu .bye
Wamesema...
Wakasemaaaa...

SOURCE PLEASE?

#YNWA
 
Lakini ni wao watendaji wa EU ndio walitakiwa wahakikishe kama wamepitia vipengele vyote vya mashararti ya EU, sio Tanzania. Wao ndio wanatakiwa wa justify kwa nini walitoa hiyo misadaa, na hapo ndio watajuwa kama pesa nyingi imekwenda ku protect EU interests in TZ kuliko watanzania wazawa.
Mkuu compliance ni ya Tanzania.... Maana EU yenyewe imekupa pesa wewe umetia saini. So wakati wa evaluation kama huu ndio wanakumbushana kwamba huyu uliyempa pesa hajafuata masharti. Sasa wa kujustify ni EU au aliyekiuka masharti?
 
Hovyo! Kabisa. Mazuzu wanaojitekenya na kujichekesha wenyewe wanatia kichefuchefu!
Wanashindwaje kujua km hatua zozote za kuihujumu Tanzania na raia wake, zitamuathiri hata yeye na jamaa zake, kwa namna moja ama nyengine!

Wakati huu ambapo tunajitambua kuwa maendeleo yetu lazima yaletwe na jitihada za sisi wenyewe, badala ya kutegemea bakuli la wafadhili ni muhimu kila raia kuunga mkono jitihada hizo, na kuwa mstari wa mbele kutetea uhuru wetu kama taifa na utashi wetu kama binaadamu. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako!
Sasa mliomba pesa za wazungu za nini? Donor country omba omba.

Mimi nipo tayari hata tufe wengine kwa hali ngumu lakini watoto na wajukuu wetu waje waikute nchi nzuri ambayo inaheshimu utu na ustawi wa watu wake wote bila kujali ukanda au itikadi za kisiasa.

Hii nchi ni yetu sote!
 
Wazungu, lakini wanayo agenda chafu kwa afrika siku zote.

Wao ni binadamu wa kwanza kwa mujibu wa akili zao na sisi tunavyopambana rasilimali ziwe na faida kwetu ndivyo tunavyochokoza kile kiburi chao cha bandia.
Unabisha kwamba sio Binadamu wa Kwanza? Niambie mwafrika gani aliwahi kumkoloni Mzungu...mpaka sasa mtu mweusi ameweza nini ikiwa hata uchaguzi mnashindwa kujiamini mnapigia Kura kwenye magodown mnazileta na mabegi kwenye vituo
 
Hahahaha

Mwendo wa kupitisha vibakuli Tu mpaka tufike uchumi wa kati

Tutafika tuu

Wewe mtu anakuambia ati sababu una njaa na huwezi kuhudumia familia yako kiuchumi umpe mkeo azae nae mtoto mmoja ili akusaidie utakubali??

Heri lawama kuliko fedheha
 
Habari za mida wanajamvi!

Naam, kumepambazuka huko Duniani, wazungu wamesikia kilio cha wanao penda demokrasia Tanzania, kwa umoja wao wameazimia kuwa watainyima Tanzania misaada inayo fikia Tshs trilioni 1.64 kwasababu haifuati ustaarabu wa kidunia wa multipartism yaani demokrasia ya vyama vingi.

Kilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!

Nini maana yake? Ni kwamba hatuta uza chai kwao, wala kahawa haitauzwa kwao, maua na mbogamboga kamwe hatutauza kwao. Hatutauza dhahabu, hatutauza korosho wala minofu ya samaki. Yaani hatutauza chochote kwao.

Baada ya muda mfupi tu fedha yetu itashuka thamani usipime. Yaani dollar moja yaweza kuwa Tshs 5000/= kisa? Mtu mmoja hataki uchaguzi uwe huru , wa haki, credible na transparent!

Wazungu nimewavulia kofia! Nimetabasamu kwa mara ya kwanza tangu October 28. Ahsanteni wazungu .bye
Utopolo mtupu. Hebu weka hapa chanzo chako.
 
Mimi nilijua maandamano yalishindwa. Kumbe watanzania walienda kuandamana kwenye social media hadi ujumbe ukafika.
Mbona wizi wa kura kwa CCM haujaanza leo na watu wamekuwa wakiandama sana tu kwenye mitandao kwa kipindi chote hicho.
 
Back
Top Bottom