Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Sasa mlikuwa mnazinyonya hela za corona za nini, na wamesema mikopo mliyoenda kuomba imekataliwa ,mtapata baada ya kukosa, mbona CCM mnakuwa wajinga hivi

Sawa, wakatae tuu

Maana ya kutunyima hiyo mikopo ni kwamba target yao imefail... Walikua wanaturushia ndoano ili tunase sasa baada ya kuona tunapita pembeni wamepanick😂😂

Tunajua kabisa kwamba tungekuwa hatuna haya madini na gas hiyo mikopo wasingekaa wakatupatia
 
Mimi naona watu wamejielekeza au kumuangalia Magufuli tu,najiuliza hivi kabla hata ya Magufuli hatukuwa tukitakiwa kuwekewa hivyo vikwazo? Au wakati huo demokrasia ilikuwepo,kulikuwa na ushindani sawa wa vyama siasa na haki za binaadamu zilikuwa zinalindwa?
At least there was some democracy. Ingawa unahoja. Nikweli iko hivi ccm na serikali wanaxounda hawstaki kabisa vyama pinzani na huo mfumo wa vyama vingi. Hivyo basi wanatumia raslimali nyingi sana kuugandamiza ila hawataki ufe kabisa kuogopa kelele na vikwazo vya wazungu. Kwa jinsi mfumo wa vyama vingi ulivyo Tanzania ni vichekesho maana mgombea ndiye anateuwa tume na wakurugenzi wote wa tume wakati naye ni mgombea.
 
Any way nimawazo yako. Ila tambua Afrika, waanasiasa wabinafsi huziingiza ichi zao kwenye matatizo kwa sababu ya interests zao na si interest za inchi. Kwa akili yako mwenye hati miliki ya kuongoza hii inchi ni ccm
Hakuna mwenye haki miliki ndio maana nawashangaa chadema wanavyohangaika.
Wananchi wangewataka hakuna ambae angezuia
 
Hizo ni jama za wajerumani kupinga kujengwa kwa bwawa la Kufua umeme la Nyerere Kwenye mto Rufiji. Sikilza hapa.

Hivi vipeperushi vyenu mnavyotengeneza hapo Lumumba ishieni kutumiana hapo Lumumba. Hizo propaganda zenu mbakini nazo huko Lumumba maana sasa sio muda wa propaganda tena.

Jiandaeni tu la kombora lingine kutoka ICC. Lazima muite Maji mmaaaa mwaka huu
 
Nduguzanguni wa kujipa moyo.Huo ni msaada na mnaambiwa uliahidiwa.Sasa kama waliahidi na wanona hatuna sifa kwa sababu hatuumwi COVID -19, basi waache.Kwani ni lazima ikitolewa pesa hata kama hakuna ugonjwa msema tunaumwa ? Hata kibaraka wao Tundu Lissu (Laana ya Mungu Imshukie) alikuja hapa amevaa barakoa lakini mwenyewe aliivua na ameondoka hapa hana ugonjwa huo tunaolazimishwa nao. EU wanatoa sababu za jumla za ukiukwaji wa haki za binaadam bila kuleta ushahidi na matukio dhahiri.Tumeambiwa picha za ushahidi wa huyo wakili wa Lissu (Laana ya Mungu Imshukie) za ukiukwaji wa haki za binaadam alizopeleka huko AU zilikuwa za huko Libya.
Kwa hiyo hao EU hawana sababu ya maana zaidi ya kwa nini Magufuli kachaguliwa kinyume na matarajio yao basi wala hakuna lingine.Sababu ya kwa nini asiwe Magufuli na awe mwingine wanaijua wao.Tunawashangaa sana hawa watu kwani tafiti za ndani na nje zilikuwa zikitolewa kila mara wakati kabla na wakati wa kampeni Kwamba CCM itashinda kwa zaidi ya asilimia 80.Kwa hiyo ilikuwa na maana CCM ishinde halafu upinzani ndio ukabidhiwe dola ?
Ifike wakati wa vitisho vya misaada vikome kwa nchi yetu.
Nawausieni nyinyi vijana wa kujipa moyo mliozaliwa juzijuzi msidhani kusaidiwasaidiwa na kupewapewa ni sifa.Siku mikdaiwa kulipa mtawapa nini ?Tundu Lissu (Laana ya Mungu Imshukie ) yeye alishaahidi kuwapa rasilimali zetu zote.Nyinyi wa kushabikia na kujipa moyo mnawaahidi nini hao mabeberu?
 
Habari za mida wanajamvi!

Naam, kumepambazuka huko Duniani, wazungu wamesikia kilio cha wanao penda demokrasia Tanzania, kwa umoja wao wameazimia kuwa watainyima Tanzania misaada inayo fikia Tshs trilioni 1.64 kwasababu haifuati ustaarabu wa kidunia wa multipartism yaani demokrasia ya vyama vingi.

Kilicho nifurahisha zaidi ni kwamba , wanasema kama Tanzania ikiendelea kukaidi basi itawekewa vikwazo vya kiuchumi ISIFANYE BIASHARA NA NCHI YEYOTE YA ULAYA. HAPO SASA!!

Nini maana yake? Ni kwamba hatuta uza chai kwao, wala kahawa haitauzwa kwao, maua na mbogamboga kamwe hatutauza kwao. Hatutauza dhahabu, hatutauza korosho wala minofu ya samaki. Yaani hatutauza chochote kwao.

Baada ya muda mfupi tu fedha yetu itashuka thamani usipime. Yaani dollar moja yaweza kuwa Tshs 5000/= kisa? Mtu mmoja hataki uchaguzi uwe huru , wa haki, credible na transparent!

Wazungu nimewavulia kofia! Nimetabasamu kwa mara ya kwanza tangu October 28. Ahsanteni wazungu .bye

Wataelewa tu!
 
WAHUNI HAWA JAMAA... HAWATAKI KABISA AFRICAN TUJITEGEMEE, WANAFANYA KILA HILA WATUVURUGE.
 
EU au USA sio Mungu jamani. Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo hadi Mungu atakapoamua. Tulikuwa na mafungo ya wiki moja wiki iliyopita yakiongozwa na makatekista kutoka Spain. Hawa ndugu walisema Tanzania ni nchi pekee duniani na imepewa nafasi ya pekee na Mungu kama mfano wa kuonyesha kwamba ukimtegemea Mungu hatakuacha.
EU sio tu wafute misaada hata ofisi zao wafunge na waondoke Tanzania itakuwepo. Na ninyi mnaolilia ushoga Mungu atawaangamiza hata kama ni Watanzania.
 
EU au USA sio Mungu jamani. Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo hadi Mungu atakapoamua. Tulikuwa na mafungo ya wiki moja wiki iliyopita yakiongozwa na makatekista kutoka Spain. Hawa ndugu walisema Tanzania ni nchi pekee duniani na imepewa nafasi ya pekee na Mungu kama mfano wa kuonyesha kwamba ukimtegemea Mungu hatakuacha.
EU sio tu wafute misaada hata ofisi zao wafunge na waondoke Tanzania itakuwepo. Na ninyi mnaolilia ushoga Mungu atawaangamiza hata kama ni Watanzania.

Na wakishakamilisha yote wanayotaka wasije fikiria tutasahau
Wakae wakijua kuwa sisi ndio wale wajumbe
 
Back
Top Bottom