Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,127
- 2,945
CHADEMA imetangaza kufanya MAANDAMANO TAREHE 23.
Katika hali ya kushangaza JWTZ nao tarehe hizo wamepanga kufanya usafI ingawa wangeweza kupanga tarehe nyingine ya kufanya huo usafi.
Hata hivyo suala la usafi ni suala muhimu Sana,, Hivyo CHADEMA nawashauri tarehe Hiyo wasofanye MAANDAMANO Yao Bali wapishe usafi ufanyike ili wakianza MAANDAMANO Yao WAPITE kwenye barabara ZIKIWA SAFI zilizosafishwa na Jeshi.
Kufanya MAANDAMANO kwenye mazingira machafu ni hatari Kwa Usalama wao.
Hivyo ni vizuri wakisubiria usafi ufanywe ili wake WAPITE kwenye mazingira safi na salama.
Naomba kuwasilisha.
Katika hali ya kushangaza JWTZ nao tarehe hizo wamepanga kufanya usafI ingawa wangeweza kupanga tarehe nyingine ya kufanya huo usafi.
Hata hivyo suala la usafi ni suala muhimu Sana,, Hivyo CHADEMA nawashauri tarehe Hiyo wasofanye MAANDAMANO Yao Bali wapishe usafi ufanyike ili wakianza MAANDAMANO Yao WAPITE kwenye barabara ZIKIWA SAFI zilizosafishwa na Jeshi.
Kufanya MAANDAMANO kwenye mazingira machafu ni hatari Kwa Usalama wao.
Hivyo ni vizuri wakisubiria usafi ufanywe ili wake WAPITE kwenye mazingira safi na salama.
Naomba kuwasilisha.