Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,061
- 15,799
CHADEMA kupitia Mwenyekiti Mbowe wametangaza kufanyika maandamano Dar es Salaam, January 24, 2024.
Lakini pia RC wa Dar es Salaam Bwana Chalamila Albert ametangaza Majeshi ya Ulinzi na Usalama kufanya usafi mkoani kwake tarehe 23-24 January 2024.
CHADEMA kila kona mitandaoni wanamlaumu RC Chalamila kwa tangazo lake la usafi.
Swali langu ni kwamba, kwani CHADEMA wakiandamana na majeshi yakifanya usafi, shida ipo wapi?
Mbona Chalamila hajawalalamikia CHADEMA kutangaza maandamano ila CHADEMA wanamlalamikia Chalamila kufanyia usafi Mkoa wake kwa msaada wa jeshi?
Pale Soko la Mabibo, Chalamila aliwahi kuwapeleka wanajeshi wakafanya usafi huku biashara zikiendelea bila bugudha wala mikwaruzano.
Kwa hiyo CHADEMA ninadhani waandamane tu wasiogope, ila ninahisi wakifanya fujo zoezi la usafi litasitishwa kwa muda.
Lakini pia RC wa Dar es Salaam Bwana Chalamila Albert ametangaza Majeshi ya Ulinzi na Usalama kufanya usafi mkoani kwake tarehe 23-24 January 2024.
CHADEMA kila kona mitandaoni wanamlaumu RC Chalamila kwa tangazo lake la usafi.
Swali langu ni kwamba, kwani CHADEMA wakiandamana na majeshi yakifanya usafi, shida ipo wapi?
Mbona Chalamila hajawalalamikia CHADEMA kutangaza maandamano ila CHADEMA wanamlalamikia Chalamila kufanyia usafi Mkoa wake kwa msaada wa jeshi?
Pale Soko la Mabibo, Chalamila aliwahi kuwapeleka wanajeshi wakafanya usafi huku biashara zikiendelea bila bugudha wala mikwaruzano.
Kwa hiyo CHADEMA ninadhani waandamane tu wasiogope, ila ninahisi wakifanya fujo zoezi la usafi litasitishwa kwa muda.