Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Excuses za hater
Vijijini huko Bukoba....

Naona mnasemaga kwa maneno kuhusu vijiji vyenu kuwa na nyumba lakin nyumba hatuzioni


Huu mkoa maskini wa Kagera vijiji vyake sasa...
1664468974497.jpg
1664468970483.jpg
1664478102075.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
From Njombe to Arusha

-Shalom Express,
-Kapricon,
-Kimotco,
-Super Feo.
 

Attachments

  • Screenshot_20220925-093043.png
    Screenshot_20220925-093043.png
    153.4 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220925-092251.png
    Screenshot_20220925-092251.png
    192.9 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220925-083017.png
    Screenshot_20220925-083017.png
    246.1 KB · Views: 14
  • 20220925_093011.jpg
    20220925_093011.jpg
    34.6 KB · Views: 15
  • 20220925_092739.jpg
    20220925_092739.jpg
    96.6 KB · Views: 16
  • 20220924_085532.jpg
    20220924_085532.jpg
    66.5 KB · Views: 12
Njombe to Dodoma.
-Kalubandika
-Mwalimi,
-Super Feo,
-Kapricon,
-Kimotco,
-Ilomo,
-Kimbinyiko.
👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220924-101611.png
    Screenshot_20220924-101611.png
    378 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220924-101554.png
    Screenshot_20220924-101554.png
    184.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220924-090009.png
    Screenshot_20220924-090009.png
    231.7 KB · Views: 14
  • 20220925_092739.jpg
    20220925_092739.jpg
    96.6 KB · Views: 12
  • 20220925_091324.jpg
    20220925_091324.jpg
    125.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220924-085802.png
    Screenshot_20220924-085802.png
    138.1 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220925-084843.png
    Screenshot_20220925-084843.png
    104 KB · Views: 14

Attachments

  • IMG_20220930_193117_837.jpg
    IMG_20220930_193117_837.jpg
    375.6 KB · Views: 13
  • IMG_20220930_192337_496.jpg
    IMG_20220930_192337_496.jpg
    388.8 KB · Views: 14
  • IMG_20220930_192213_651.jpg
    IMG_20220930_192213_651.jpg
    343.8 KB · Views: 13
  • IMG_20220930_191935_585.jpg
    IMG_20220930_191935_585.jpg
    332.2 KB · Views: 9
  • IMG_20220930_191231_517.jpg
    IMG_20220930_191231_517.jpg
    339.2 KB · Views: 13
  • IMG_20220930_191606_147.jpg
    IMG_20220930_191606_147.jpg
    371.7 KB · Views: 10
Kama ULGSP imefanya Mji huu unawaka kiasi hiki je Tactic itakuaje?

Vimiji vya Kijinga jinga kama Bukoba & Kahama ni hakuna mtu ana habari Navyo 😁😁😁😁

Tupe raha Sumbawanga 👇
 

Attachments

  • IMG_20220930_192332_962.jpg
    IMG_20220930_192332_962.jpg
    351.1 KB · Views: 11
  • IMG_20220930_191716_594.jpg
    IMG_20220930_191716_594.jpg
    316.6 KB · Views: 12
  • IMG_20220930_192141_319.jpg
    IMG_20220930_192141_319.jpg
    346 KB · Views: 14
  • IMG_20220930_193046_007.jpg
    IMG_20220930_193046_007.jpg
    344.2 KB · Views: 19
  • IMG_20220930_193339_937.jpg
    IMG_20220930_193339_937.jpg
    458.4 KB · Views: 12
  • IMG_20220930_191355_244.jpg
    IMG_20220930_191355_244.jpg
    342.5 KB · Views: 14
Kahama ni wilaya moja yenye majimbo matatu na halmashauri 3. Kahama, msalal na ushetu. Jumlisha Kisha linganisha na njombe
Hawa njombe waliwahi kushika namba moja kwa makusanyo ya makisio wakasema safari ijayo wataishinda kahama na ilemela sasa sijui wamefili wapi na ijayo ndio hii pia waam is kahama ni fire haitegemei mgodi anaebisha aje buzwagi ilisha fungwa kitambo mkurugenzi wa Jamaica kila siku anaanzisha vyanzo vipya vya mapato nyie vyanzo ni vile vile muishinde kahama acheni utani njombe mtasubiri sana 99 bBilion bila buzwagi no problem waliotabiri kufeli wamefeli wao
 
Jamaa wa Kahama wanaonesha mavumbi mjini eti ni barabara necheka Sana na wanaita Manispaa
Hio ndio manispaa ya kahama unayowakosesha usingizi na kuumia kikubwa kahama ni level nyingine barabara sio tatizo serikali itajenga kama ilivyojenga kwako mngekuwa mmejenga hizo barabara zenu kwa kutozana tozo ya mbao zenu tungewaelewa lakini kama serikali ilihenga hata kahama zitajengwa tuvute subira
 
Hakuna barabara ni mavumbi tupu.

50% ya Uchumi unategemea migodi .

Huduma za jamii hakuna za kulingana na idadi ya watu.

Mwisho nani alikudanganya kwamba vigezo ni lazima watu laki 2 plus? Ulidanganywa na nani?

Eti Njombe haina sifa hizo,toka Uzi umeanza tuliwaambia onyesheni hoteli hata 5 kali hakuna,sasa hapo nani ana sifa?

Kama ni uwekezaji ndio usiseme,Jana tuu hapo umetoka kusikia Waziri wa uwekezaji anasema muwekezaji yuko mkoani anataka ekari 500 ajenge kiwanda na aanze kulima parachichi,pia kuna viwanda vya chai,mbao,nguzo,nk na uliona Rais katembelea kiwanda cha Tanwat bado unaongea ujinga tuu hapa..

Tumeleta video kibao hapa za kuonyesha maendeleo ya Mji nyie mnatafutiza vipicha vya gesti ndio mnaleta.

Mlipendelewa tuu na Mwendazake wenu,Fikeni hapa kwanza
Kwenye vigezo vya mji kuwa manispaa hakuna kigezo cha hotel za nyota tano Wala nyumba za kulala wageni ndio maana mmenyimwa subirini 2030 wakati kahama wanaomba jiji hata vigezo hamvijui na kuomba hamjui mbona dodoma ilitangazwa bila vigezo moshi ikaachwa lakini sasa dodoma huwezi ilinganisha na Moshi moshi ishindane na iringa na bukoba unapoomba kitu usilete fitina mbona fulani kapewa na mumi nipewe hivi wakati simiyu geita manyara na wewe njombe mlipewa mkoa mlikuwa na sifa zupi za kumzidi kahama? Mbona hapigi kelele nipeni jibu wa njombe mji
 
Kwa hiyo kujigamba koote kwamba sijui utakuja na vitu vikali ndio umekuja na huu utoto? .

Na wewe kwa akili yako ndogo Njombe ina mzunguko mdogo wa Hela? Ingekuwa hivyo ungekuta kuna magorofa yote Yale hadi unashangaa?

Njombe ya Leo Sio ya Miaka ile,sio tuu hizo zipo Bali Kuna hadi Mkombozi Commercial Bank.
Magorofa ya njombe yanajengwa na wazalendo hela inatafutwa dar na wakinga wsnajenga home kupendezesha mji ila mfanyabiashara wa njombe anaeishi njom email biashara zake njombe Hana uwezo wa kujenga gorofa kwa hela aliotafutia njombe ukweli mchungu ila ni tiba
 
Magorofa ya njombe yanajengwa na wazalendo hela inatafutwa dar na wakinga wsnajenga home kupendezesha mji ila mfanyabiashara wa njombe anaeishi njom email biashara zake njombe Hana uwezo wa kujenga gorofa kwa hela aliotafutia njombe ukweli mchungu ila ni tiba
Naomba unitajie hata matajiri wa3 wa njombe unaaowajua au lete uthibitisho wa hizo ghorofa zilizojengwa na wakinga waliopo dar
 
Tatizo la huu uzi upo kukejeliana na sio kuonyesha uhalisia,kila sehem ina fursa zake na kila sehemu ina watu wenye uchumi wa ngazi zote
 
Magorofa ya njombe yanajengwa na wazalendo hela inatafutwa dar na wakinga wsnajenga home kupendezesha mji ila mfanyabiashara wa njombe anaeishi njom email biashara zake njombe Hana uwezo wa kujenga gorofa kwa hela aliotafutia njombe ukweli mchungu ila ni tiba
Wewe ni WA kukuonea huruma tuu hujui unaloongea..
 
Hapa watapita kimya kimya wakijifanya hawaoni 😁😁.

Chunya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221001-203653.png
    Screenshot_20221001-203653.png
    126.1 KB · Views: 17
Back
Top Bottom