Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Yaan huo mtaa mmoja ndo ugeneralize bukoba ndogo
Manispaa ya bukoba ina area ya 89 kilometres za mraba...moja ya manispaa kubwa nchi halafu unasemaje...

Tena vijanja bado viko kibao...na juzi kati wametangaza viwanja kibao....manispaa ya bukoba ina viwanja zaidi ya 10000 na vyote vimepimwa vinasubiri watu...
View attachment 2368636

Ingawa siyo hoja sana kwa sababu watu wanaweza kwenda hadi Bukoba DC (kama wanatumia jina hilo), hata hivyo Bukoba basi ni moja ya Manispaa ndogo sana wastan wa Km8.8 kwa 10
 
Eti Lindi inaizidi Kagera Kwa maendeleo

Takwimu za 2012 Lindi ilikuwa ya 4 Kwa umaskini nchini ...Leo 2022 ni ya 4 Kwa utajiri
Kwa uwekezaji gani uliofanyika Lindi ndani ya miaka kumi..ungeniambia Dom ningeelewa lakin Lindi?


Anyway huko Kagera watu wanapiga KAZI sana na wanazalisha chakula mno.....hizo takwimu peleka huko...watu wa Kagera wenyew wanashangaa mkoa wao kuitwa maskini...

Mawazo mufilisi kweli. Ukienda Ruangwa tu utapigwa za uso na Wilaya ndogo kabisa. Unazungumzia mwaka 2012 na leo mwaka2022, unatokwa na povu huamini macho yako. Mkoa wa Kagera unaweza kuwa na wasomi wengi sana lakini siyo kuweza kubalance maendeleo ya wastani ya mtu mmoja mmoja kimkoa. Ndo hivyo Kagera imekula za uso.
 
Huko Ni kukalili Sasa tulikwambia umejifungia Sana ukanda mmoja mambo yalisha badilika watu wanatumia fursa ya rasilimali zilizopo na Lindi Ni ya 9 mzee
Eti Lindi inaizidi Kagera Kwa maendeleo
emoji23.png


Takwimu za 2012 Lindi ilikuwa ya 4 Kwa umaskini nchini ...Leo 2022 ni ya 4 Kwa utajiri
emoji28.png

Kwa uwekezaji gani uliofanyika Lindi ndani ya miaka kumi..ungeniambia Dom ningeelewa lakin Lindi?


Anyway huko Kagera watu wanapiga KAZI sana na wanazalisha chakula mno.....hizo takwimu peleka huko...watu wa Kagera wenyew wanashangaa mkoa wao kuitwa maskini...
 
Huko Ni kukalili Sasa tulikwambia umejifungia Sana ukanda mmoja mambo yalisha badilika watu wanatumia fursa ya rasilimali zilizopo na Lindi Ni ya 9 mzee
Nshawaambie nyie huko ndo maskini msijifiche kwenye per capital angalia mfano hapo chini
Screenshot_20220925-164315.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220926-203404.png
    Screenshot_20220926-203404.png
    262.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220926-203431.png
    Screenshot_20220926-203431.png
    246 KB · Views: 15

Attachments

  • Screenshot_20220926-203554.png
    Screenshot_20220926-203554.png
    186.4 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220926-203607.png
    Screenshot_20220926-203607.png
    167.8 KB · Views: 11
Huku hakuna uswazi, Takwimu na uhalisia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220926-203717.png
    Screenshot_20220926-203717.png
    246.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220926-203700.png
    Screenshot_20220926-203700.png
    337.7 KB · Views: 15
Kuna zidi kucha mkoa wa njombe mkuu wa mkoa wa njombe na katibu tawala wakiwa na uongozi wa Tazara pia na wanaohusika na usafirishaji wakijadili jinsi ya kuanza ujenzi wa bandari kavu mjini makambako kutokana na ongezeko la fursa ya uzalishaji wa bidhaa mbalimbali
FB_IMG_16642145472533312.jpg
 
Back
Top Bottom