Yes Hali ya hewa ya kwetu ni pesa..Kuna Njombe ya Jamii forum na Njombe ya Anthony Mtaka. Mjadala umefungwa rasmi na RCView attachment 2315991
Per capital kwa popolation ya kijiji? 😁😁😁😁😁😁😁Yes Hali ya hewa ya kwetu ni pesa..
Umaskini haujaisha hapa Tanzania Mkuu bado kuna Kazi kubwa..
Njombe tuna uafadhari kuliko kule kanda ya makokolo 👇
Siku zote kusini ni ya mwisho, ilikuwa hakuna namna lazima aje angalau kuonyesha yeye ni Rais wa wote ingawa kusini imetengwa. We angalia anaishi Kanda ya kati na dar, keshaenda Kanda ya ziwa mara 5, kaskazini mara 2, kusini ndo mmekumbukwa mara moja tena kwa zali la nanenane.Rais anaogopa mavumbi ndio maana haendi Mbeya.
cc sexer,instanbul na Wafuasi wao![]()
Duh. Mbeya hakuna wafanyabiashara wakubwa. Ndege mara 4 kwa wiki. Wakati Mwanza mara 4 kwa siku na Kahama mara 3 kwa wikiATCL![]()
Kahama ni wilaya moja yenye majimbo matatu na halmashauri 3. Kahama, msalal na ushetu. Jumlisha Kisha linganisha na njombeMchuano wa Njombe na Kahama unazidi kunoga hususani kwenye kipengele cha mapato..
Mufindi na Mafinga ni,Moja ya Wilaya Tajiri Sana hapa Tanzania.
Njombe 8.4bln Vs Kahama 9.9bln![]()
Pia angalia umbali wa Mwanza na Mbeya kwa barabara..Duh. Mbeya hakuna wafanyabiashara wakubwa. Ndege mara 4 kwa wiki. Wakati Mwanza mara 4 kwa siku na Kahama mara 3 kwa wiki
Huko kwenu anakuja kwa sababu Kuna lundo la matatizo ambayo huku hayapo..Siku zote kusini ni ya mwisho, ilikuwa hakuna namna lazima aje angalau kuonyesha yeye ni Rais wa wote ingawa kusini imetengwa. We angalia anaishi Kanda ya kati na dar, keshaenda Kanda ya ziwa mara 5, kaskazini mara 2, kusini ndo mmekumbukwa mara moja tena kwa zali la nanenane.
Wivu 😂😂😂😂Per capital kwa popolation ya kijiji? 😁😁😁😁😁😁😁
Wanaishia kujivunia ziwa na hiyo mbugaHuko kwenu anakuja kwa sababu Kuna lundo la matatizo ambayo huku hayapo..
Mathalani ziara yake huku Mbeya imekuwa ni full shangwe kwa utekelezaji wa miradi na amewasifia watendaji wake,huko Mwanza keshapangua ma RC mara 3..
Mfano mwingine,Biteko Amesema Wilya ya Chunya imeizidi Kahama na ni ya pili Kwa kuzalisha dhahabu nyingi nyuma ya Geita,ni full shangwe..
Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Amesema Mbeya ni ya pili Kwa kuwa na viwanda vingi nyuma ya Pwani na vingine.vingi vinakuja wametoa leseni kama zote..
Na RC amesisitiza tena leo kwamba Mbeya imekusanya Bil.45 na kuvuka malengo kwa hiyo Bashungwa katoa taarifa ya uongo..
Mwisho siku ya 8/8 Rais anazindua miradi 21 ya umwagiliaji Kati ya hiyo 13 iko Mkoa wa Mbeya..
Ndio maana kila siku nawaambia Mbeya hatuhitaji push ya serikali huku tayari watu wanajua wanachofanya sio kama huko msikojielewa.
Pia angalia umbali wa Mwanza na Mbeya kwa barabara..
Ukipata jibu hesabu mabasi mangapi yanaenda Mbeya kutoka Dar na Mangapi yanaenda Mwanza kutoka Dar..
Hata Kigoma na Bukoba ina route nyingi za ndege kuliko Mbeya na sababu ni umbali so mtu analinganisha adha ya kushinda barabarani masaa mengi na bei ana opt Ndege Kwa huko kwenu na huku kwetu Wana opt mabasi...



Eti mbeya ni ya pili Kwa viwanda ...unajisikia wew kweli au unaongea tuHuko kwenu anakuja kwa sababu Kuna lundo la matatizo ambayo huku hayapo..
Mathalani ziara yake huku Mbeya imekuwa ni full shangwe kwa utekelezaji wa miradi na amewasifia watendaji wake,huko Mwanza keshapangua ma RC mara 3..
Mfano mwingine,Biteko Amesema Wilya ya Chunya imeizidi Kahama na ni ya pili Kwa kuzalisha dhahabu nyingi nyuma ya Geita,ni full shangwe..
Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Amesema Mbeya ni ya pili Kwa kuwa na viwanda vingi nyuma ya Pwani na vingine.vingi vinakuja wametoa leseni kama zote..
Na RC amesisitiza tena leo kwamba Mbeya imekusanya Bil.45 na kuvuka malengo kwa hiyo Bashungwa katoa taarifa ya uongo..
Mwisho siku ya 8/8 Rais anazindua miradi 21 ya umwagiliaji Kati ya hiyo 13 iko Mkoa wa Mbeya..
Ndio maana kila siku nawaambia Mbeya hatuhitaji push ya serikali huku tayari watu wanajua wanachofanya sio kama huko msikojielewa.
Utopolo mtupu umeongea hapaPia angalia umbali wa Mwanza na Mbeya kwa barabara..
Ukipata jibu hesabu mabasi mangapi yanaenda Mbeya kutoka Dar na Mangapi yanaenda Mwanza kutoka Dar..
Hata Kigoma na Bukoba ina route nyingi za ndege kuliko Mbeya na sababu ni umbali so mtu analinganisha adha ya kushinda barabarani masaa mengi na bei ana opt Ndege Kwa huko kwenu na huku kwetu Wana opt mabasi...
Haaahaaa mkuuu umetishaUkiniletea mitaa kama hii Mbeya ...tunafunga thread...View attachment 2297018View attachment 2297019View attachment 2297021View attachment 2297022View attachment 2297024View attachment 2297026View attachment 2297027View attachment 2297028View attachment 2297030View attachment 2297031View attachment 2297032View attachment 2297034View attachment 2297036View attachment 2297037View attachment 2297039View attachment 2297040
Huna hoja.Utopolo mtupu umeongea hapa
Kama hutaki kameze gunia la misumari..Eti mbeya ni ya pili Kwa viwanda ...unajisikia wew kweli au unaongea tu
Nilikuwa nakula, mpaka nimepaliwaEti mbeya ni ya pili Kwa viwanda ...unajisikia wew kweli au unaongea tu



