Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bukoba downtown...

Bilele ward...and old Bukoba...
bk3.jpg
 
Wadau kuna mada mpya imetoka imewekwa humu Jamii Forums ambapo takwim za NBS zimekua favor kwa mikoa ya Kusini na Nyanda za Juu Kusini yaani Kuna Mbeya, Iringa, Njombe Lindi na Mtwara kwa mfuatano katika 10 bora za mikoa zenye utajiri. Mjadala huko ni mkubwa na watu hawaamini macho yao. Nimeshindwa kuinganisha humu ile Topic iko humu JF. Kuna watu hawaamini macho yao. Na siku Mtwara Dev Corridor ikiwa kwenye Full Swing maana yake Magari yote ya Malawi au Zambia watatumia Bandari ya Mtwara kwenda Mbeya au Malawi na makaa ya Mawe na chuma ya Mchuchuma na Liganga. Kwa sasa makaa ya kutosha yanapita kwa wingi pale Mtwara
wacha tusubirie takwimu za sensa, zitakuja na mengi tu
 
Bukoba skyline inachange haraka sana...

Kwenye kanda ya ziwa ukitokea mwanza city...hakuna mji ulio na maghorofa mengi kama bukoba.....

Imagine mwaka 2022 huu kuna maghorofa 12 yanachipuka bukoba downtown pekee yake..


Nb... ongoing projects Bukoba downtown pekee
Screenshot_20220926-082451.jpg
Screenshot_20220926-081820.jpg
Screenshot_20220926-081855.jpg
Screenshot_20220926-081927.jpg
Screenshot_20220926-082039.jpg
Screenshot_20220926-082130.jpg
 
Sumbawanga Mc night life 👇
 

Attachments

  • IMG_20220924_193404_309.jpg
    IMG_20220924_193404_309.jpg
    397.1 KB · Views: 13
  • IMG_20220924_192652_446.jpg
    IMG_20220924_192652_446.jpg
    457.9 KB · Views: 12
  • IMG_20220924_192419_413.jpg
    IMG_20220924_192419_413.jpg
    234.2 KB · Views: 15
  • IMG_20220924_191958_385.jpg
    IMG_20220924_191958_385.jpg
    243 KB · Views: 12
  • IMG_20220924_191837_252.jpg
    IMG_20220924_191837_252.jpg
    267.1 KB · Views: 10
Back
Top Bottom