Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wewe una shida,kwa hiyo Kahama hiyo wewe unaona ni nzuri? Kwa lipi hebu tueleze maana video tumeweka hapo au tuletee video yako wewe.
Mi Niko kahama..Huwa sitetei vitu ambavyo sijawahi viona...kahama unavyosema Ina majengo mawili unachekesha kabisa ..fika kahama ujionee sio unaongea ongea tu
 
Sunk kama sunk popoma mkubwa, yaani wewe wakuilinganisha kahama na kijiji cha ujamaa cha njombe hakika umepotoka mkuu, hilo pepo la chuki litoke kwa jina la yesu.
Picha na video ndio zinaongea sio kupanua Domo hapa..

Onyesha jengo hata moja la ghorofa japo 4 tuu hapo Kahama poor town na Manispaa ya hovyo sijawahi kuona..
 
Kuna Kahama tofauti na hiyo ya kwenye video hapo? ..

Manispaa nzima ina tugorofa tuzuri 2 tuu heeee
Nitakutumia picha ..ilahii Ni sheli tu
Jioni ya leo nakutumia picha ...
Njombe huwez pata petrostation yenye ghorofa
IMG_20220815_114049_130.jpg
IMG_20220815_114040_659.jpg
 
Kumbuka pia, Nje ya manispaa za Dar na ilemela hakuna manispaa yoyote inayoikuta kahama kwa mapato ya ndani.
Sawa kabisa ila sasa hata Chalinze sio Manispaa ila ina mapato ya ndani kuliko Kahama..

Huo ni Mji wa hovyo sana,tumieni basi hayo mapato ya ndani kujenga Barabara nzuri,kuweka taa mitaani,kufanya ukarabati wa barabara,kupanga Mji na kujenga bustani Ili kuleta mandhari hapo Mjini..

Matokeo yake Mji umebakia hovyo hovyo with no order,toka mko Halmashauri ya Mji mlikuwa mnafanya nini sasa?

Wenzenu wanapanga machinga sasa nachokiona hapo kila mtu ni machinga..

Kama mnaona aibu kuja kujifunza Njombe,nendeni hata Babati au Bukoba.
 
Nitakutumia picha ..ilahii Ni sheli tu
Jioni ya leo nakutumia picha ...
Njombe huwez pata petrostation yenye ghorofa View attachment 2324294View attachment 2324295
😆😆😆😆 Oneni huyu poyoyo yaani unaacha kukaa kijiweni kusafirisha abiria na Boda yako unaanza kuchoma mafuta kuzunguka mitaani kutafutiza tugorofa twa mchongo 😜😜.

Harafu baadae muanze kumlaumu Samia kwamba Maisha Magumu..

Njombe inazo za kutosha,huko tulishatoka.Unaifahamu NFS Njombe Filling station.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220815-120845.png
    Screenshot_20220815-120845.png
    120.6 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220815-120834.png
    Screenshot_20220815-120834.png
    121.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220815-120611.png
    Screenshot_20220815-120611.png
    197.4 KB · Views: 14
Oneni huyu poyoyo yaani unaacha kukaa kijiweni kusafirisha abiria na Boda yako unaanza kuchoma mafuta kuzunguka mitaani kutafutiza tugorofa twa mchongo .

Harafu baadae muanze kumlaumu Samia kwamba Maisha Magumu..

Njombe inazo tena sio moja,naifahamu NFS Njombe Filling station.
Aliekuambia mim bodaboda nani...stay calm bro nakuja na mabomu
 
Bank zilizopo kahama....njombe tofauti na crdb,nmb,na NBC ,hamna branch nyingine huko .uje eneo Hilo Lina mzunguko mdogo wa pesa ...

Sema picha hazingai vizuri ..ila hapo chini naonyesha uwepo wa bank mbalimbali kahama .
Equity, Azania,boa,tpb,DTB .benki hizi ni nadra kuzipata mikoani tofauti na majiji
1660581887823.jpg
1660581987047.jpg
7c99908531f1b2e8b4a0b6ffd1a325f1.jpg
909a722d23a2bc2ade71b6ab78b6fb0c.jpg
 
Bank zilizopo kahama....njombe tofauti na crdb,nmb,na NBC ,hamna branch nyingine huko .uje eneo Hilo Lina mzunguko mdogo wa pesa ...

Sema picha hazingai vizuri ..ila hapo chini naonyesha uwepo wa bank mbalimbali kahama .
Equity, Azania,boa,tpb,DTB .benki hizi ni nadra kuzipata mikoani tofauti na majijiView attachment 2324738View attachment 2324739View attachment 2324740View attachment 2324741
Kwa hiyo kujigamba koote kwamba sijui utakuja na vitu vikali ndio umekuja na huu utoto? 😆😆😆😆.

Na wewe kwa akili yako ndogo Njombe ina mzunguko mdogo wa Hela? Ingekuwa hivyo ungekuta kuna magorofa yote Yale hadi unashangaa?

Njombe ya Leo Sio ya Miaka ile,sio tuu hizo zipo Bali Kuna hadi Mkombozi Commercial Bank.
 
Kwa hiyo kujigamba koote kwamba sijui utakuja na vitu vikali ndio umekuja na huu utoto? .

Na wewe kwa akili yako ndogo Njombe ina mzunguko mdogo wa Hela? Ingekuwa hivyo ungekuta kuna magorofa yote Yale hadi unashangaa?

Njombe ya Leo Sio ya Miaka ile,sio tuu hizo zipo Bali Kuna hadi Mkombozi Commercial Bank.
Tulia wew ...bado ,,,..sijakuletea ,, camera man Yuko on job soon nakuletea hapa ...
. njombe haiwezi kuwa na hzo benki leta ushahidj hapa
 
Kwa hiyo kujigamba koote kwamba sijui utakuja na vitu vikali ndio umekuja na huu utoto? .

Na wewe kwa akili yako ndogo Njombe ina mzunguko mdogo wa Hela? Ingekuwa hivyo ungekuta kuna magorofa yote Yale hadi unashangaa?

Njombe ya Leo Sio ya Miaka ile,sio tuu hizo zipo Bali Kuna hadi Mkombozi Commercial Bank.
Kwa hyo mkombozi benki nayo ni ya kusema ,,,,,,,,.....
 
Ukileta jengo la ghorofa 4 hapo Kahama naacha kuchangia hii mada.
kesho nisikuone humu dadek zako

Kwa taarifa yako naenda kukuletea majengo haya kesho ,,camera man Yuko on job
machali tower 6 floor
Igalilimi new tower 5 floor
The planet hotel 4 floor
Hotel river mark 4 floor
NSSSF 6 floor
Phantom new hotel .under construction 7 floor
Mongo house 4 floor.....
 
Ukileta jengo la ghorofa 4 hapo Kahama naacha kuchangia hii mada.
Wakati unajiandaa kuacha kuchangia mada..leo nafanya attacking system.counteroffesive...nimeacha defense system
Mwendo wa kuattack njombe na Kanda nzima ya nyanda za juu
Njombe halisi ni hii...uchafu mwanzo mwisho mji upo kama haupo
1660589192057.jpg
1660589225547.jpg
 
Back
Top Bottom