The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Mtajua hamjui..Nyie si mlisema mbeya na kusini inajengwa na wenyeji sio serikali![]()
Tayari ekari 500 zimepatikana eneo la Tanganyika Packers Mneya baada ya Ziara ya Rais na Sasa Udsm wataanza rasmi kujenga Chuo Cha Afya na Teachiy Hospital..
On top of that Speaker kasema Rais karidhia ekari 50 za TBC zimegwe pale Iwambi tayari Ocean Road Cancer Institute kuanza Ujenzi wa Tawi lao na pesa iko tayari imetolewa na Wizara ya Afya..
Pili tume bid Mbeya iwe ina host maonyesho ya Kimataifa ya 8/8 bado linafanyiwa Kazi.





