Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Igawa ya Japani au ya wapi?Na Igawa tuu pale.
Igawa ya Japani au ya wapi?Na Igawa tuu pale.
Hujui kitu wewe mchungulia mikoa ya Ng'ombe..Igawa ya Japani au ya wapi?
hiyo igawa ndio unailinganisha na mbeya mjini?Hujui kitu wewe mchungulia mikoa ya Ng'ombe..
Igawa Mbarali.
Chato fchiyo igawa ndio unailinganisha na mbeya mjini?
Tuletee report za mapato Boss kutoka TAMISEMIHujui kitu wewe mchungulia mikoa ya Ng'ombe..
Igawa Mbarali.
Hawezi kuleta akiona kanda ya ziwa imefanya vizuri.Tuletee report za mapato Boss kutoka TAMISEMI
Za wapi na wapi?Tuletee report za mapato Boss kutoka TAMISEMI
Haya hapa 👇Kahama V/s Njombe![]()
Tuna kampuni zaidi ya 27 kutoka Mbeya to Dar kila siku zaidi ya Mwanza..Mabus ya mwanza to dar .. nyegezi stendi ya nyabulogoya....wakati wa usiku ....
Stendi inajaa .
Mbeya huwezi Kuta Pako hvjView attachment 2376407View attachment 2376408View attachment 2376409
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mwaka huu tutawapita maana ushuru wa parking umerudiIlemela imekula doble digit na stand ndio imeanza, yaani quarter ijayo ni b12
View attachment 2376295
Kahama anafuza b10
View attachment 2376297
Halafu huu uzi unaendelea wakati Boss anajulikana tayari
View attachment 2376298
Hamna kitu hapoTuna kampuni zaidi ya 27 kutoka Mbeya to Dar kila siku zaidi ya Mwanza..
Mbeya ndio inaongoza Kwa kuwa na kampuni nyingi Tanzania.
Hatuna Stand ya kurundika mabusi yote pale stand Kuu.


nyegezi terminal shopping complex 

maumivu ni makali mno kkwa wanapaluhengo 

Mapicha ya hovyo afu unaweka jukwani bila hata aibu..Hamna kitu haponyegezi terminal shopping complex
maumivu ni makali mno kkwa wanapaluhengo
View attachment 2378243View attachment 2378244
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wivu tuMapicha ya hovyo afu unaweka jukwani bila hata aibu..
Sio kosa lako bali una shida ya udumavu 😝😝.
Geita 👇
Mapicha ya hovyo afu unaweka jukwani bila hata aibu..
Sio kosa lako bali una shida ya udumavu.
Geita![]()

maumivu yanapofika kichwani humfanya mtu aongee nonsense ..
Tulia dozi ifike tumboni
endelea kuugulia maumivu ..


