Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ilemela imekula doble digit na stand ndio imeanza, yaani quarter ijayo ni b12
1664815798928.png


Kahama anafuza b10
1664815843896.png


Halafu huu uzi unaendelea wakati Boss anajulikana tayari
1664815999555.png
 

Attachments

  • 1664815588644.png
    1664815588644.png
    7 KB · Views: 19
Mabus ya mwanza to dar .. nyegezi stendi ya nyabulogoya....wakati wa usiku ....
Stendi inajaa .
Mbeya huwezi Kuta Pako hvj
20221002_182130.jpg
20221002_184741.jpg
20221002_184745.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mbeya kumetengwa 😁😁.

Wakati airport ya Mwanza ikijengwa chini ya kiwango,Songwe airport inazidi kupata hadhi stahiki👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-214023.png
    Screenshot_20221003-214023.png
    136.9 KB · Views: 17
Tuna kampuni zaidi ya 27 kutoka Mbeya to Dar kila siku zaidi ya Mwanza..

Mbeya ndio inaongoza Kwa kuwa na kampuni nyingi Tanzania.

Hatuna Stand ya kurundika mabusi yote pale stand Kuu.
Hamna kitu hapo [emoji116][emoji116][emoji116] nyegezi terminal shopping complex [emoji33][emoji33][emoji27] maumivu ni makali mno kkwa wanapaluhengo [emoji16][emoji16]
JamiiForums-1085246004.jpg
JamiiForums488344659.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20221005-195636.png
    Screenshot_20221005-195636.png
    168.4 KB · Views: 13
Msururu wa miradi inayoenda kutekelezwa na Tamisemi jijini Mbeya,stand mpya 2 ni miongoni 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221005-195541.png
    Screenshot_20221005-195541.png
    177.3 KB · Views: 17
  • Screenshot_20221005-195604.png
    Screenshot_20221005-195604.png
    48.8 KB · Views: 16
Mapicha ya hovyo afu unaweka jukwani bila hata aibu..

Sio kosa lako bali una shida ya udumavu [emoji13][emoji13].

Geita [emoji116]
[emoji16][emoji16]maumivu yanapofika kichwani humfanya mtu aongee nonsense ..
[emoji116]Tulia dozi ifike tumboni[emoji16][emoji116] endelea kuugulia maumivu ..


Mwanza first terminal ongoing construction..wakati TAA wakiandaa ujenzi wa terminal 2 ...[emoji91][emoji91][emoji28][emoji28]
JamiiForums-445343343.jpg
Screenshot_20220825-161822.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom