Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Mkandara,

Sijaelewa hoja zako. Nomba weka summary ya maswali yako nikujibu!. Yaani nieleze kwa kifupi kwanini Tanzania ijiunge na OIC.

Asante mkuu

FP
 
Fair Player,
Mkuu mimi sina maswali zaidi ya yale yanayohusiana na OIC kama chombo cha kidini..Hii ndio nataka kuiondoa akilini mwa watu...
Nachoelewa mimi ni baadhi ya wasomi waliikaa ktk kuatafuta mkao wa kula wakaja na aidea hii ya kusaidia maskini... na ktk hilo wakaona kuna haja ya kusaidia Waislaam ambao wapo nyuma sana ktk jamii zetu. Wakawakilisha hoja hizo ktk baadhi ya viongozi wa nchi ambao wakakubali kutoa mshiko (hasa Saudia) kuunda chombo kitakacho weza kufanya kazi kama vile IMF..Hoja yao ikapita kama vile yule mwanamuziki wa Uingereza alipokuwa akipiga debe kuhusiana na watoto wa Afrika...wapo watu kibao (wazungu) wanampinga wakisema hata Ulaya kuna watoto maskini - why Afrika?
Malengo na masharti hilo ni swala nje ya uwezo wangu kwa sababu siwakilishi OIC au vymbo kama IMF ambayo wanatupa pia masharti ikiwa ni pamoja kubinafsisha mali zetu..nitaweza kuzungumzia ubaya wa IMF kama IMF lakini siwezi kuhusisha waanzilishi na nchi maskini ili kupata sababu za kujiunga.
Sasa unaponiuliza kwa nini tujiunge na OIC hali maisha yetu ni hohehahe sijui nikujibu kitu gani lakini ningependa sana kama una njia nyingine ya kuwasaidia waislaam bila kupitia OIC ingekuwa bora zaidi kuiweka hapa ili nipate kupima kwa nini tusijiunge na OIC. mkuu unajua JF ipo kutoa solution, dawa ama ponya ya maradhi na sio kupinga kitu tuu maadam hatukipendi kwa rangi zake.
 
Nakubalkiana nawe moja kwa moja Fundi. Ni busara tu-facilitate matakwa ya wanaotaka kujiunga na OIC. Kwa kufanya hivyo, ndivyo Jamhuri ya Muungano itakuwa inatumia "sovereignity" yake kiuadilifu kukidhi matakwa ya watu wake wote na maslahi yao. Kwani kama kuna ukorofi si inaweza kuchukua hatua kudhibiti ukorofi huo (unaohofiwa). Sasa ya nini kuweka pingamizi au kuhofia ukorofi , amabao pengine hata haupo?

Sumu haijaribishwi kwa kuinywa.

Utapata results wakti umeshaitwa marehemu.
 
Rev. Kishoka,
Mkuu wangu hivi hata wewe una tu underestimate waislaam kiasi hicho?... mkuu Tanzania ina Ubalozi Vatican na hakuna muislaam anayepiga kelele iweje nyie leo mnaanza kufikiria kuwa Waislaam hivi ama vile wakati mnayafanya yote bila kusikia tukihema?..
Waislaam waipinga Israel kwa jinsi wanavyo wa treat Wapalestina.. Waislaam waliipinga South Afrika ilipokuwa ikiendesha Apartheid hivi kuna asilima ngapi ya waislaam huko south kiasi kwamba mfikirie jinsi mnavyofikiria.
Mkuu ni haki ya watu inayozungumziwa hapa na sio jina la dini, haya mengine mkuu ndio ktk maelezo yangu yaliyotangulia kuwa wapo waislaam wanaopinga vitu kwa sura yake lakini kimsingi dini hii inatazama mabaya hata kama yalifanywa na mwarabu.
Hapa anayepinga OIC ni nyie na mifano inaweza kuzidi kila nitakapo kutajia uhusiano wetu na nchi za kiislaam.. Iran mojawapo.

Mkuu wangu ukisoma Charter ya IMF utaona ina maelezo mengi sana sawa ama yanafanana na hawa jamaa lakini haina maana kabisa kuwa IMF ni chombo cha nchi maskini kwa sababu tu walengwa ni nchi maskini!..Kwa taarifa tu OIC ina watu wake hadi Marekani..

Mkandara,

Vatican ni nchi, inaongozwa na dini. Saudia Arabia ni nchi, inaongozwa na dini. Kote katika nchi hizi Tanzania ina Ubalozi, lakini hizi ni nchi si taasisi za kidini.

OIC ni mkusanyiko wa nchi za Kiislamu, na kama ulivyosema na charter ya OIC inavyosema kuna kupigania maslahi ya Wapalestina ambayo yanafanywa kwa kutumia Udini kwa kuwa yerusalemu inagombewa na Wayahudi, ni makao yaliyotamkwa kuwa ya dunia mpya kwa Wakristo na Waislamu nao wanasema yerusalemu ni kwao.

Swali nililouliza kwa kuangalia Utaifa wa Israeli ni hili, ikiwa Wakristo wa Tanzania wataamka na kusema turudishe/kuanzisha mahusiano ya kibalozi na kiserikali na Nchi ya Israeli, je litapokewa vipi na Waislamu wa Tanzania ambao wao wanasema wanawasaidia ndugu zao wa Kiislamu wa Kipalestina kuwa na Taifa lao na hata chimbuko la OIC lilikuwa ni kuhusiana na Msikiti uliokuwepo Yerusalemu, mji unaogombewa na dini hizi tatu ambazo Baba Mkuu ni Abrahamu?

Nimesema tena, sina tatizo na jamii na jumuiya ya Waislamu kujiunga na OIC, ila Tanzania haiwezi kujinga na kama nchi kwenye OIC, kwa kuwa OIC inatamka wazi kuwa ni kwa ajili ya Nchi za Kiislamu na baraza kuu la OIC ambalo houngozwa na wakuu wa nchi wanachama linajulikana kama Islamic Summit!

The Organization is composed of the following main bodies:

<DIV align=justify><SPAN style="FONT-SIZE: 10pt; FONT-FAMILY: Arial">
<SPAN style="FONT-SIZE: 10pt; FONT-FAMILY: Arial; mso-bidi-font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-family: 'Times New Roman'">The Islamic Summit, composed of Kings and Heads of State and Government of Member States, is the supreme authority of the Organization. It convenes once every three years to deliberate, take policy decisions and provide guidance on all issues pertaining to the realization of the objectives and consider other issues of concern to the
 
Huyu ndiye Katibu Mkuu wa OIC. Jumuia uliyodai inaongozwa na watu wasiojua dini na wengine wakristu! Huyu ambaye amepigania kuendeleza uelewa wa dini ya kiislamu kwa miaka zaidi zaidi ya 30! Leo unadai ati nikwambie dhehebu gani la uislamu yeye yumo. Kwako haitoshi kuwa yeye ameaminiwa na waislamu wenzake kuongoza chombo chao muhimu bali unataka kujua kama ni msunni, mshia au vingine!

PROF. DR. EKMELEDD&#304;N &#304;HSANO&#286;LU

He has unrelentingly, since his association with the OIC from 1980 as founding Director General of the Research Centre for Islamic History, Culture and Arts (IRCICA) in Istanbul, endeavoured to promote a better knowledge and understanding of Islam, its cultures and civilization in the west and throughout the world.

Founding Director General of the Research Centre for Islamic History, Art, and Culture (IRCICA, Istanbul), Organisation of the Islamic Conference-OIC (1980-Dec. 2004), Secretary General of OIC(1st January 2005- ); President of the International Union of History and Philosophy of Science-IUHPS (2001- ), Founder and Chairman, Turkish Society for History of Science (1989- ), Founder and Chairman, Department of History of Science, University of Istanbul (1984-2000), Vice Chairman and Advisory Board member, Al Furqan Islamic Heritage Foundation, London (1998- ). Ihsano&#287;lu initiated and directed research projects on the history of science and culture, intercultural relations, particularly Islam-West relations, aiming to contribute, among others, to make Islam better known and promote understanding between cultures. He is the Chief Editor of UNESCO’s book on The Different Aspects of Islamic Culture, Vol. 5 on Culture and Learning in Islam (2003), Editor and co-author of the Series “History of Ottoman Scientific Literature” (9 volumes, IRCICA) and the book Ottoman State and Civilisation (IRCICA), author, Science, Technology and Learning in the Ottoman Empire: Western Influence, Local Institutions and the Transfer of Knowledge, Oxon: Ashgate–Variorum, 2004, and co-author, with Kostas Chatzis and Efthymios Nicolaidis, of Multicultural Science in the Ottoman Empire, Turnhout: Brepols, 2003.

IRCICA is an international institution active in the fields of research, publishing, documentation and information. Its mandate covers multifarious themes in the fields of the history of Muslim nations, history of arts and sciences in Islam, and other subject areas in Islamic culture and civilisation. By means of these activities, IRCICA aims at studying and better introducing the Islamic culture and civilisation throughout the world and acting as a catalyst for research and cooperation in these areas to promote mutual understanding between Muslims and with other nations and cultures of the world.

Hii ndivyo Charter ya hiyo jumuia unayokazania kusema kuwa sio ya kidini inavyoanza ( asante Rev. Kishoka):

In the name of Allah, the most Compassionate, the most Merciful
We the Member States of the Organisation of the Islamic
Conference, determined:
to acknowledge the Conference of Kings, Heads of State and Government of
the Member States convened in Rabat from 9 to 12 Rajab, 1389 H,
corresponding to 22 to 25 September 1969, as well as the Conference of
Foreign Ministers held in Jeddah from 14 to 18 Muharram 1392 H
corresponding to 29 February to 4 March 1972;
to be guided by the noble Islamic values of unity and fraternity, and affirming
the essentiality of promoting and consolidating the unity and solidarity among
the Member States in securing their common interests at the international
arena;

Hawa wanasema wazi kuwa wataongozwa na values za kiislamu na wewe bado unaendelea kudai kuwa, hapana, hii ni secular organization.

Hawa hawataki hata muislamu aliyeoa nje ya dini yake achukue nafasi ya uongozi, leo unadai si ya kidini? Bila aibu unasema uongo kuwa kuna wakristu katika uongozi wake bila kutaja hata mmoja! Tukuamini ati kwa vile umekula chumvi nyingi na elimu dunia imepanda!


Fundi Mchundo,
Mkuu unajua wewe una ubishi usiokuwa na maana hata kidogo..bahati nzuri umesema mwenyewe kuwa Ukristu wako ndio unakuendesha ktk hoja zako tofauti na mimi nayetazama vitu kama vilivyo..Nimekuuliza maswali madogo sana...Wewe umekuja na vitu ambavyo hata haviingi akilini.. Umefikia hata kutaja World Vision na sijui Salvation Army (Nilivitaja ili kuonyesha kuwa hata ukristu ina vyombo vya kidini, vinavyolenga kueneza ukristu na vimetoa kipaumbele kwa wakristu. Kwamba kuna waislamu wanaochota maji katika visima vilivyochimbwa na World vision haviondoi ukweli kuwa WV ni chombo cha kikristu. ).. sasa wewe mjuzi wa ku google nenda katazame jinsi vyombo hivi vilivyoanzishwa..kisha nionyeshe usawa wa vyombo hivi na hicho cha OIC..
Unauliza swali ambalo jibu unalo mwenyewe na hakuna mahala nimesema vyombo hivyo havina uhusiano wa moja kwa moja na makanisa ama dini..na hakuna mtu asiyeelewa.
Haya basi ktk kumtaja huyo Katibu mkuu wa OIC umetafuta kijisehemu kinachomhusisha yeye na Uislaam ili upate kuipamba hoja yako, sasa narudi nyuma tena nakuomba nambie hicho chuo ambacho yeye alikuwa mkuu wa research ya historia ya kiislaam na kwa muda gani!... ( Niliishakueleza au haujui kusoma kiingereza? Research Centre for Islamic History, Art, and Culture (IRCICA, Istanbul. )
Kisha habari ya employment, mkuu hapa unazidi kupotea kabisa..Hivi kweli kwa akili yako chombo ambacho kimeundwa ili kusaidia waislaam ktk nchi zilizojiandikisha uanachama ( sasa unapinga nini kuwa si cha kidini kama kimelenga kuwasaidia waislamu tu? Unadhani wao watawachimbia visima tu bila kuwajengea madrassa?) tena katk nafasi kubwa kama ile ulitegemea wangetangaza vipi?..nitarudia mifano yangu ya siku zote.. Kuwa mweusi haina maana wewe ni Mwafrika...Uislaam unakuja kwa rangi nyingi kama vile Afrika na huwezi kuwakilisha Afrika kama wewe sii mkazi wa Afrika, hii ni logic hata sisi kesho tunaweza kabisa kusema huwezi kugombea Ubunge wa wilaya fulani kama wewe sii mkazi wa pale... mfumo huu hauna maana mbaya kama unavyojaribu kuviweka. Bara na Zanzibar tunazo sheria ambazo zinawalenga Wazanzibar tu ktk chaguzi zetu lakini haina maana Bara tunatengwa isipokuwa ni ktk uwakilishi wa jumuiya unayokuhusu.. ( ukiwa Zanzibar hautakuwa na haki sawa na mzanzibari. Niambie nani mbara amepata nafasi ya uongozi katika mashirika yaliyo chini ya serikali ya mapinduzi? Serikali ya Mapinduzi iko kuangalia maslahi ya wazanzibari, period. Naam, mbara, ukiwa zanzibar wewe ni second class citizen maana haki zako zina mipaka. Si katika uwakilishi tu bali hata katika ajira na ukazi. Lakini hii ni compromise iliyomo kikatiba.)

Tatizo lako umeamini mno visifa unavyopewa kiasi ya kutaka watu wote wakubali msimamo wako. Kwa bahati mbaya, kwangu mimi, arguments zako zinanifanya nitilie shaka uwezo wako wa 1) kusoma kiingereza na 2) kuelewa arguments. Kwako wewe hakuna mjadala, ni ubishi kama vile tuko kijiweni.

Wewe unajifanya si mdini lakini mifano yako yote inaonyesha wazi kuwa wewe unajitambua zaidi kama muislamu kabla ya kitu kingine.(unazungumzia waislamu walipinga ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini. Nchi ngapi za kiislamu zilizojitoa mhanga katika mapambano hayo kama sisi - watanzania na sio wakristu au waislamu- tulivyojitoa kuwatetea wapalestina - sio waislamu wa Palestina, bali wananchi wa Palestin ambamo wako wakristu n.k.- Nchi ngapi za kiislamu zinazongumzia yanayotokea Dhafur?)

Wewe usiejua kuwa ni Sofia Kawawa na si Bibi Titi Mohamed aliyepinga ndoa ya wanawake zaidi ya mmoja?

Hapana, Mkandara. Sina la zaidi la kujadiliana na wewe. Kama nilivyosema awali, unanipotezea muda.
 
Mnona sasa mambo yanavyoanza kuwa tukianza kuchambua na kutafakari uamuzi wa Serikali kujiunga kama nchi? Angalieni kipengele cha pili cha OIC kinasemaje...Jiulizeni je kipengele hiki kina ukweli kuhusu Tanzania? Ndio maana nauliza suala la Zanzibar kudai wao ni Nchi, je ni nia ya kutaka masuala yaliyo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje yasiwe ya Muungano bali kila eneo lijitegemee?

Kwa kipengele cha pili cha uanachama, kama Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano, basi ni ruksa wajiunge. Lakini kwa kuwa masuala ya mahusiano ya kimataifa ambayo yanafanya yako ndani ya Serikali ya Muungano chini ya Wizara ya Mambo ya Nje, Zanzibar haina nguvu kudai kuingia OIC!

Hivyo tunarudi tena kwenye mjadala, Zanzibar ni nchi au la, kisha tupime kauli za Serikali kusema hakuna matatizo kujiunga OIC! Is it compromise for the sake of Muungano na Muafaka?


Membership
Article 3​
1. The Organisation is made up of 57 States member of the Organisation of the Islamic Conference and other States which may accede to this Charter in accordance with Article 3 paragraph 2.
2. Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submits an application for membership may join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign Ministers.
3. Nothing in the present Charter shall undermine the present Member States’ rights or privileges relating to membership or any other issues.​
 
Nimesikia tetesi kwamba aliwaahidi wapiga kura kwenye zile nyumba tukufu ambazo haziingiliki kwa viatu, sasa wamemshika masikio atimize ahadi zote! Itakuwa ngumu kweli, kadhi, OIC halafu.....50/50 kama ilivyo kwa wanawake!

Kazi ipo!
 
Rev. Kishoka,
Mkuu hapo ndipo mnapodata.. Vatican ni nchi inayooingozwa na dini lakini Saudia ni nchi ambayo inaongozwa na Sultan..
Huyo Sultan hana madaraka yoyote ya kidini zaidi ya kuwa ukoo wa kifalme anaweza kabisa kuwa hana hata elimu ya juu ktk dini.

Unajua mkuu tatizo lenu kila kitu kinavyokuwa established ktk Ukristu mnafikirei ndivyo ilivyo ktk Uislaam. hapana mkuu sisi waislaam tupo very un organised as a society kwa sababu ktk Uislaam hakuna binadamu mbora zaidi ya mwenziwe inapofikia swala la dini. Ni yule mwenye kufanya ibada ndiye mbora..
Kwa hiyo Unaweza kuona hata Sheikh wetu mkuu anaweza kabisa kuwa hana elimu ya juu ktk dini kushinda watu wote ama amechaguliwa na chopmbo fulani cha kimataifa kushoika wadhifa huo kama nyie mnavyofanya kuchagua Maaskofu. Hiyo title uliyokuwa nayo ya U Rev imepitishwa na chombo fulani lakini sisi waislaam hakuna kitu kama hicho as a fact hata hili neno Sheikh ytunalitumia tu kwa sababu mpate kuelewa tuna maanisha nani lakini ktk Uislaam Sheikh sii chgeo ama wadhifa unaotokana na nafasi ya mtu ktk dini. Hata wewe unaweza kuitwa Sheikh maadam una vitu fulani fulani...
Hivyo ndio maana mnapata taabu sana na hii OIC kwa sababu hajkuna chombo cha kidini ambacho kinaweza kupitisha uundwaji wa kamati ama umoja fulani isipokuwa sisi watu wenyewe.
Kwa mfano huko Lebanon hao wanaopigania Uhuru wao wanajiita HezbuLaah na kudai wao ni watumishi wa Mungu.. haya ni madai yaop lakini hiyo Hezbullah haina uhusiano wowote na dini. Mimi na wewew kesho tunaweza kujiita The AbduLLah yaani watumwa wa Mungu na tukaanzisha kitu fulani bila Ulazima wa kupata kibali toka mahala popote... Ktk Ukristu hili haliwezekani.
Kwa hiyo jaribu kutuelewa kwanza, kuna tofauti nyingi sana kati yetu na nyie hata ktk Ibada.. mfano nyie hamtofautishi kati ya Dua na Sala hali ktk Uislaam dua na sala ni vitu viwili tofauti kabisa..sala ina utaratibu wake na Dua unaweza kuomba wakati wowote na mahala popote haina utaratibu...
Kwa hiyo Habari ya Vatican na Saudia ni vitu viwili tofauti kabisa...
 
Inaeleweka wazi kuwa Tanzania inaheshimu dini za watu na kila mtu ana uhuru wa kuabudu. Dini si swala la Kikatiba, ni suala la groups or individuals who believe in their GOD in differed manners. At the same time, OIC ni Uislam 100% so nashauri Bakwata na other organisation za kiislam wajiunge kama orgs zinazowawakilisha waumini wao. Nimekubali kuwa Tanzania hakuna watu wanaosoma na kuchambua mambo, na hawa wanasiasa ni bure. Inakuwaje huko bungeni hawakatai jambo hili kwa kunukuu maandishi katika katiba na circular mbalimbali za serikali kuhusu imani za dini na msimamo wa Serikali? Wanasinzia na kupoteza muda tu bila kujadili masuala ya msingi. Inaniuma pesa ya walipa kodi katika masuala nyeti kama haya haitendewi haki katika kuwalipa posho zao, achilia mbali mabilioni ya gratuity wakimaliza terms zao. Moderator suala hili liondolewe hapa, kinachotakiwa tupatiwe source mbalimbali za uhakika kuhusu haka ka OIC ili media warushe hewani kuamsha Watanzania. Tusiharibu Amani yetu, hii ni amana na tusiichezee. Thanks.
 
hebu punguzeni kuwa maskini jeuri. msidhani kwamba huyo o i c ana haja na nyie sana kujiunga kwenu na oic. wabongo lazima tukubali kwamba hapa duniani sie ni wa kubebwa tu . huko kujifanya mna masharti na huku mna njaa ni design ya ajabu. ah ha ah. kazi kweli kweli. mwenye njaa anamuwekea masharti aloshiba. mmh baadae
 
Wakuu naona JK anatikisa kibiriti

Tunatazama tuu,lakini muda wakristo tukishika hiyo system,patakuwa padogo hapo Tz.
 
Mawaziri woote walioteliwa na JK walipewa majukumu na JK. Na alisema waziri ambaye hatatekeleza majukumu aliyopewa atamfukuza kiti hicho na kumpa mtu mwingine.

Kila kitu hapo kinafanyika chini ya mkono wa JK.

JK anataka kuwasha kiberiti kwenye petroli, sijui nani atapona wakati woote wameinama na ndoo zao huku wakichota!!!!
 
Rev. Kishoka,
Mkuu hapo ndipo mnapodata.. Vatican ni nchi inayooingozwa na dini lakini Saudia ni nchi ambayo inaongozwa na Sultan..
Huyo Sultan hana madaraka yoyote ya kidini zaidi ya kuwa ukoo wa kifalme anaweza kabisa kuwa hana hata elimu ya juu ktk dini.

Unajua mkuu tatizo lenu kila kitu kinavyokuwa established ktk Ukristu mnafikirei ndivyo ilivyo ktk Uislaam. hapana mkuu sisi waislaam tupo very un organised as a society kwa sababu ktk Uislaam hakuna binadamu mbora zaidi ya mwenziwe inapofikia swala la dini. Ni yule mwenye kufanya ibada ndiye mbora..
Kwa hiyo Unaweza kuona hata Sheikh wetu mkuu anaweza kabisa kuwa hana elimu ya juu ktk dini kushinda watu wote ama amechaguliwa na chopmbo fulani cha kimataifa kushoika wadhifa huo kama nyie mnavyofanya kuchagua Maaskofu. Hiyo title uliyokuwa nayo ya U Rev imepitishwa na chombo fulani lakini sisi waislaam hakuna kitu kama hicho as a fact hata hili neno Sheikh ytunalitumia tu kwa sababu mpate kuelewa tuna maanisha nani lakini ktk Uislaam Sheikh sii chgeo ama wadhifa unaotokana na nafasi ya mtu ktk dini. Hata wewe unaweza kuitwa Sheikh maadam una vitu fulani fulani...
Hivyo ndio maana mnapata taabu sana na hii OIC kwa sababu hajkuna chombo cha kidini ambacho kinaweza kupitisha uundwaji wa kamati ama umoja fulani isipokuwa sisi watu wenyewe.
Kwa mfano huko Lebanon hao wanaopigania Uhuru wao wanajiita HezbuLaah na kudai wao ni watumishi wa Mungu.. haya ni madai yaop lakini hiyo Hezbullah haina uhusiano wowote na dini. Mimi na wewew kesho tunaweza kujiita The AbduLLah yaani watumwa wa Mungu na tukaanzisha kitu fulani bila Ulazima wa kupata kibali toka mahala popote... Ktk Ukristu hili haliwezekani.
Kwa hiyo jaribu kutuelewa kwanza, kuna tofauti nyingi sana kati yetu na nyie hata ktk Ibada.. mfano nyie hamtofautishi kati ya Dua na Sala hali ktk Uislaam dua na sala ni vitu viwili tofauti kabisa..sala ina utaratibu wake na Dua unaweza kuomba wakati wowote na mahala popote haina utaratibu...
Kwa hiyo Habari ya Vatican na Saudia ni vitu viwili tofauti kabisa...



Katiba ya saudia ni Quroan ,sasa sijui unasema nini? Yani wewe mbishi sana unabisha vitu vilivyo wazi
 
Rev. Kishoka,
Mkuu hapo ndipo mnapodata.. Vatican ni nchi inayooingozwa na dini lakini Saudia ni nchi ambayo inaongozwa na Sultan..
Huyo Sultan hana madaraka yoyote ya kidini zaidi ya kuwa ukoo wa kifalme anaweza kabisa kuwa hana hata elimu ya juu ktk dini.

Unajua mkuu tatizo lenu kila kitu kinavyokuwa established ktk Ukristu mnafikirei ndivyo ilivyo ktk Uislaam. hapana mkuu sisi waislaam tupo very un organised as a society kwa sababu ktk Uislaam hakuna binadamu mbora zaidi ya mwenziwe inapofikia swala la dini. Ni yule mwenye kufanya ibada ndiye mbora..
Kwa hiyo Unaweza kuona hata Sheikh wetu mkuu anaweza kabisa kuwa hana elimu ya juu ktk dini kushinda watu wote ama amechaguliwa na chopmbo fulani cha kimataifa kushoika wadhifa huo kama nyie mnavyofanya kuchagua Maaskofu. Hiyo title uliyokuwa nayo ya U Rev imepitishwa na chombo fulani lakini sisi waislaam hakuna kitu kama hicho as a fact hata hili neno Sheikh ytunalitumia tu kwa sababu mpate kuelewa tuna maanisha nani lakini ktk Uislaam Sheikh sii chgeo ama wadhifa unaotokana na nafasi ya mtu ktk dini. Hata wewe unaweza kuitwa Sheikh maadam una vitu fulani fulani...
Hivyo ndio maana mnapata taabu sana na hii OIC kwa sababu hajkuna chombo cha kidini ambacho kinaweza kupitisha uundwaji wa kamati ama umoja fulani isipokuwa sisi watu wenyewe.
Kwa mfano huko Lebanon hao wanaopigania Uhuru wao wanajiita HezbuLaah na kudai wao ni watumishi wa Mungu.. haya ni madai yaop lakini hiyo Hezbullah haina uhusiano wowote na dini. Mimi na wewew kesho tunaweza kujiita The AbduLLah yaani watumwa wa Mungu na tukaanzisha kitu fulani bila Ulazima wa kupata kibali toka mahala popote... Ktk Ukristu hili haliwezekani.
Kwa hiyo jaribu kutuelewa kwanza, kuna tofauti nyingi sana kati yetu na nyie hata ktk Ibada.. mfano nyie hamtofautishi kati ya Dua na Sala hali ktk Uislaam dua na sala ni vitu viwili tofauti kabisa..sala ina utaratibu wake na Dua unaweza kuomba wakati wowote na mahala popote haina utaratibu...
Kwa hiyo Habari ya Vatican na Saudia ni vitu viwili tofauti kabisa...

Mkandara,

Nimekuwa nikifuatilia sana post zako na kuna wakati nilivutiwa sana na hoja zako ulivyozipanga na swali kama wewe ni mkristo ama muislamu halikuweza kujitokeza akilini mwangu. Na hivi ndivyo ambavyo tumeweza kujumuika hapa Tanzania miaka nenda rudi bila kubaguana kidini katika mambo mengi tu ya kijamii. Lakini ubishi wako kwenye hii mada imeniacha hoi pamoja na kwamba tuliwahi kutofautiana wakati tunamjadili Mugabe wa Zimbabwe. Hoja za msingi zilitolewa na pande zote mbili na ingawaje hatukufikia makubaliano, kwa kiasi tulielimishana.

Ubishi unaouendesha hivi sasa umenikumbusha msimamo wa waislamu wenye imani kali. Wao hutawaliwa mno na jazba inapofika swala la dini na haiyumkini ni profesa au muuza nyanya, msimamo ni ule ule kama unavyotuthibitishia leo. Elimu dunia hutupwa kando hata kwa mambo ya wazi yanayohitaji mtu tu kufungua macho ayaone. Hebu fikiria hili - Sultani hatakiwi kuijua dini ya kiislamu lakini atawale kwa msingi wa dini - jamani wapi na wapi. Sultani awe mkuu wa nchi lakini asijue sheria za msingi wa utawala - are you serious.

Kwa ufahamisho wako Ayatollah Kumeini aliwazi kuulizwa na mwandishi kama mtu mweusi anaweza kuwa Ayatollah - nakuomba utafute jibu alilolitoa. Hatupingi jumuiya yoyote ya Kiislamu nchini kujiunga na OIC, la hasha, kwani ndiko mahala pake. Lakini kufanya hivyo kama nchi, hata kama wakristo wataridhia, wengine tusio na dini tutaendelea kupinga kwa nguvu zetu zote. Na nikuhakikishie kuwa kama tutalazimishwa kufanya hivyo, nchi hii ya amani na upendo itawaka moto. Kama alivyodokeza mchangiaji moja humu ndamu huijaribishi nguvu ya sumu kwa kuinywa.
 
Jamani, naomba nirudie tena na tena kifungu cha 19 cha Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kipo wazi, kwamba Serikali ya Tanzania haina dini wala haijihusishi na Masuala yoyote kuhusu dini, kifungu hicho kinatamka kwamba masuala yanayohusu dini ni ya mtu binafsi na Serikali haitajihusisha kwa namna yoyote na masuala ya dini, kwa hio kujiunga na OIC au kuanzisha mahakama ya Kadhi ni kivunja Katiba....!

Pili, hizo gharama za kujiunga na hio OIC zitalipwa na nani? Hela za Serikali au? Inamaanisha zitachotwa kwenye kodi za wananchi?

Jamani hapa tusipoteze muda mwingi, muhimu ni kumtaka Membe aliyetoa matamshi kwamba Tanzania inaweza kujiunga na OIC ajibu maswali haya mawili hapo juu, kuhusu katiba na kuhusu gharama za kujiunga na OIC hela zitatokea wapi.....!
 
Mag3,

Mkuu kwanza nashukuru sana kuwa umejiunga na kijiwe hiki pamoja na kwamba umeshindwa kabisa kuelewa nilichoandika...Na kuhusu Mugabe mkuu wangu unayaona mwenyewe kuwa hata siku moja usi shake hand na shetani na ndio yanayowakuta... Huyo Morgan hafai na taendelea kuburuzwa kwa sababu ana tamaa ya ukubwa!..Morgan ni kibaraka mwingine!

Narudi kwenye hoja yako, Kwanza kabisa niliposema Sultan haina maana kuwa mtu huyo hana elimu ya dini ktk kufanya Ibada. Kwa mfano mimi hapa ninayo elimu ya ibada ktk dini yangu lakini sina elimu ambayo inaweza kunipa cheo ama wadhifa unaotambulika ktk dini yangu kiasi kwamba niitwe Sheikh..(kumbuka tu nilisema tunatumia neno hili Sheikh ili mpate kuelewa kuwa Sheikh ni kiongozi wa dini sawa na Padre au Rev)..ktk uislaam Sheikh ni kitu kama unaitwa Sir..

Sasa narudi kwa huyo Sultan wa Saudia, ni kwamba huyu kiongozi amepata wadhifa wa Usultan kutokana na Ukoo wake na sio elimu yake kama kiongozi wa dini ya kiislaam. Labda nikupe mfano wa Queen wa Uingereza ambaye ni kiongozi wa UK lakini hana elimu ya dini kumfanya yeye awe Rev, Padre ama Askofu ila anayo elimu ya kumwezesha kufanya ibada na pengine hata kusimamia misa lakini ndani ya dini yake hana wadhifa. Usultan wake umetokana na urithi wa kifamilia, hivyo huyu mama hana tofauti kabisa na Sultan wa Saudia...halafu basi kama sijakosea Queen pia anapingana sana na kanisa la katoliki au sio? yaani anaendesha UK kwa misingi ya dhehebu lake!

Mkuu wangu siku zote nasema MBISHI ni yule asiyekubali ukweli hata kama ataambiwa na mtu ambaye ni mhusika. Mimi hapa ni Muislaam na naijua dini yangu kuliko nyie lakini kila nalojaribu kuwaeleza hamtaki kuelewa mnakuja na maswali mengine na ajabu maswali yangu mtayavuruga vuruga bila kutoa majibu ya maana ili mradi wasomaji wengine wasipate kuelewa ukweli kinachoendelea hapa.. Haya sasa imekuwa mada ya kidini badala ya kuzungumzia OIC...mkuu ebu tazama jinsi mapovu yanavyo watoka jamaa zako kwa hasira..mimi nipo very calm na najaribu sana kuwaelimisha wakuu laini wao tayari wamekwisha kuwa na majibu. Hii chuki yenu imetoka wapi jamani! halafu mtasema sijui hamchukii ila... je, ni kipi hasa kinachowasukuma na mori kubwa kama huu!

Mkuu kitu kimoja tu ningependa kuelewa, hivi mnayo CHUKI fulani na Uislaam?.. maanake sioni kabisa sababu ya nyie kulikalia wima swala hili hali Tanzania imejiunga na vyombo vingi vya kidini hasa ktk Ukristu na waislaam hawakuulizwa wala hawana noma kabisa..maadam maswala hayo yanawahusu nyie haipotoshi imani yetu.

Kama unakumbuka waislaam walipinga uuzwaji wa nguruwe ktk mabucha...Wakristu walikuja juu na kusema kwamba waislaam hawawezi kuwazuia wao kula kile wanachokitaka hata kama mapendekezo yalikuwa kufunguliwa mabucha maalum ya kuuza nguruwe. Serikali ilipoingilia na kuwakubalia mliona kuwa ni ushindi mkubwa dhidi ya waislaam!... DHIDI ya Waislaam!!!!
Mimi binafsi nilishindwa kuelewa na nikaanza kujiuliza hivi kama Tanzania itakuwa na WaPhilipino ambao mbwa ni chakula chao... na wakaweka madai yao kutaka nyama za mbwa ziwekwe ktk mabucha yetu... Mtakubali kwa misingi ile ile ambayo imewapa ushindi ktk nguruwe?...sidhani...

Kila siku linapotokea swala linalohusu waislaam siku zote imekuwa mzozo mkubwa sana toka upande wenu hali wakristu wanafanya mambo yao bila hata kujiuliza nafasi ya Waislaam ktk jambo lolote..Leo hii tunaona OIC imekuwa issue kubwa sana wakati hakuna hoja hata moja inayohusiana na National security ama OIC itaingilia ktk maswala ambayo yatawarudisha nyuma wakristu. Ni uongo mkubwa watu wanaposema serikali haiwezi kuingilia maswala ya dini na ati dini ni swala la mtu imani ya mtu binafsi huo ni uongo mkubwa kwa sababu hakuna chombo chochote hadini ambacho kinaweza kuanzishwa ama kuingia nchini bila ridhaa ya serikali kwa sababu nyingi za msingi na National Security ni mojawapo kubwa sana.
Kwa hiy0 mnaposoma katiba ni muhimu kuelewa inalenga vitu gani na uhuru huo una mipaka ipi sio kila kitu RUKSA msemo wa Mwinyi..

Mkamap,
Rev. Kishoka hakuzungumzia Constitution... ama kuuliza kama Saudia ni nchi ya kiislaam. Mkuu nchi zote zinazojiita za kiislaam zinafuata Quran as its Constitution na ndipo unakuta Sharia law inachukua nafasi. hata Israel ni nchi ya Wayahudi lakini haiongozwi na Rabai..jaribu kujenga hoja baada ya kuelewa kilichoandikwa.
Na kwa kumalizia unakumbuka Rev. Kishoka aliuliza kuhusiana na World Council of Churches?.... well Tanzania ni member! http://www.oikoumene.org/en/member-churches/regions/africa/oaic.html

tume Google..shukran kwa kunishtua... je ulisikia muislaam akipiga kelele?
 
Mag3,

Na kwa kumalizia unakumbuka Rev. Kishoka aliuliza kuhusiana na World Council of Churches?.... well Tanzania ni member! http://www.oikoumene.org/en/member-churches/regions/africa/oaic.html

tume Google..shukran kwa kunishtua... je ulisikia muislaam akipiga kelele?

Mkandara,

What a cheap insinuation, are you sure you are okay ??.

The WCC is a fellowship of churches, now 349 in more than 110 countries in all continents from virtually all Christian traditions

Members from Tanzania:
1. African Brotherhood Church
2. Africa Faith Mission
3. Church of Christ in Africa
4. Free Church of Africa
5. Four Square Gospel Church of Tanzania
6. Immanuel Church of Africa
7. Kerubi Church
8. Last Church of God
9. Nomiya Church
10. Nomiya Sabato
11. Onyal Nyuol Roho Church
12. The Gospel for All Nation Church
13. Tanganyika Sabato Church
14. Volunteers of Salvation
15. Kanisa la Pentecosti
16. Maranatha Christian Centre
17. Siloam Tabernacle Assembly
18. Roho Nyota
19. The Holy Baptist Church
20. Holy Ghost Sabbath

Poor Mkandara, no wonder you dare compare Vatican and OIC. After this I rest my case because all along I believed I was reasoning with an enlightened individual - what a shame!!
 
Mag3,
Poor Mkandara, no wonder you dare compare Vatican and OIC. After this I rest my case because all along I believed I was reasoning with an enlightened individual - what a shame!!
...
Duh, mkuu yamekuwa hayo tena?.. haya mimi ndio kabuntas lakini pamoja na yote sina jazba..na hakika sielewi nani kati yetu mchovu..!

Tatizo lako mkuu husomi maelezo ya watu vizuri na umakini. Kwanza ilikuwa Sultan ni lazima awe na elimu ya dini! nimekufahamisha vizuri bila kukushusha mshipa.. haya umerudi na jingine.. yote poa mkuu mimi sina nomaaaa nitakufahamisha bado sijachoka..!
Mkuu kabla ya chombo chochote nchini kujiunga na jumuiya hizi Organisation za kidunia ni lazima serikali yetu ikubali watu hawa kuingia ama sisi kujiunga kisha ktk kujiunga huko ndiko vyombo vinavyoshughulika na chombo mama vinaundwa ama vilivyokuwepo vilivyopeleka maombi..Hizo churches zote zilizojiunga na World council of Churches ni baada ya serikali yetu kukubali hawa jamaa waingie nchini na kuweka kambi zao na ndio maana kuna nchi ambazo pamoja na kuwepo madhehebu hayo hayo hazina ushirikiano na World conncil of Churches. Kuna nchi Umoja huo haukubaliki na serikali yao sio swala la matakwa ya madhehebu ya makanisa..
Je, unaweza kunambia kwa nini kuna nchi ambazo bado hawajajiunga hali ni dhehebu sawa na hilo la Tanzania?..sidhani utasema labda hawajataka...
Nitarudia kusema kwamba kila Organisation inayotaka kuweka mguu wake nchini ni LAZIMA ipate baraka za serikali na muhimu kwa sababu nyingi ikiwa ni pamoja na national security laa sivyo kama ingekuwa ni swala la dini kuamua basi bila shaka Tanzania au niseme Zanzibar wangekuwa wanachama wa Alqaeda..Sii ndivyo mnavyozungwaa! Kulingana na fikra zenu maswala la kujiunga na jumuiya hizi ni maswala ya jumuiya husika, serikali haiwezi kuhusishwa au sio, basi kama ingekuwa rahisi hivyo nchi ingekuwa haikaliki..nasema hivi check tena na Utawala wa nchi ujue (katiba) sheria zake inalenga wapi na nini mapana ya uhuru huo.

Kisha mkuu sikufananisha Vatican na OIC hata kidogo haya maneno unayatunga wewe nilichoandika mimi ni ktk kuonyesha tofauti kati ya Vatican na Saudia, sio Vatican na OIC kulingana na hoja ya Rev. Kishoka, ni tofauti ambazo unaweza pia kuziona kati ya World council of Churches na OIC.
Nimetumia muda mwingi kuwaonyesha OIC ni chombo cha aina gani tofauti na vyombo nyenu vinavyoongozwa na makanisa ama dini moja kwa moja na mkuu wa dini ama dhehebu ana mkono ndani ya chombo hicho hali Saudia na OIC ni vyombo vinavyoongozwa na watu wasiokuwa na wadhifa ktk dini ya kiislaam na nikatoa mfano wa Uongozi wa Queen..
Yote hii ni ktk kuwaingiza chumbani mpate kuona kitanda kiko wapi na choo kiko wapi ndani ya jumuiya za kiislaam.
Leo hii unaweza kabisa kumwondoa Sultan King Abdullah wa Saudia na hata kupinduliwa na watu wa kawaida kabisa lakini huwezi kufanya hivyo Vatican. Kiongozi wa OIC anaweza kuondolewa na watu nje ya Utawala wa dini lakini huwezi kufanya hivyo ktk vyombo vya kikristu kama World Council of Churches na ndio maana nikasema nyie Wakristu kusema kweli mmejipanga vizuri ktk uongozi wa dini yenu tofauti na waislaam ambao hakuna chombo cha kidini wala mkubwa isipokuwa ktk sehemu za Ibada...Ktl maswala ya jumuiya we are disorganised ile mbaya, Mkinielewa vitu navyojaribu kusisitizia basi bila shaka mnaweza kabisa kupima mengine.
Mimi sina pingamizi na jambo lolote linalohusiana na Ukristu maadam lina kheri ndani yake iwe kwa sisi wote ama wakristu na halijengi chuki baina yetu..
Je Tanzania sio member wa YMCA na YWCA na lini mliwahusisha waislaam kuhusiana na kujiunga kwenu..ni sehemu nyigni sana naweza kuzitasema lakini kama mlivyo mttaka kunieleza kazi ya vombo hivyo vya kwenu ktk kuendeleza Ukristu lakini nyi tena hamtaki kusikia chombo cha waislaam hata kama kitasaidia watu wote maadam kimebeba neno Uislaam..
kwaherini na nakutakieni majadiliano mema maanake mada hii imefikia mahala ambapo sintapenda kuendelea ila Mwenyezi Mungu mkubwa atawapeni mwanga..

Shukran zangu za dhati kwa Mwanakijiji, Rev. Kishoka, Yournnameismine, Fundi mchundo na wengine ambao tumejadiliana kwa hali tulivu wakati wote..Na nawaomba sana samahani kwa kutumia maneo nkama NYIE.. jambo ambalo sikupenda kabisa kulitumia na wala sii ustaarabu ama lugha nzuri.

Nilikuwepo!
 
Mag3,
...
Duh, mkuu yamekuwa hayo tena?.. haya mimi ndio kabuntas lakini pamoja na yote sina jazba..na hakika sielewi nani kati yetu mchovu..!

Tatizo lako kuu husomi maelezo ya watu vizuri na umakini. Kwanza ilikuwa Sultan ni lazima awe na elimu ya dini! nimekufahamisha vizuri bila kukushusha mshipa.. haya umerudi na jingine.. yote poa mkuu mimi sina nomaaaa nitakufahamisha bado sijachoka..!
Mkuu kabla ya chombo chochote nchini kujiunga na jumuiya hizi Organisation za kidunia ni lazima serikali yetu ikubali kujiunga kisha ndani ya kujiunga huko ndiko vyombo vinavyoshughulika na chombo mama vinaundwa ama vilikuwepo na vilipeleka maombi..Hizo churchs zote zilizojiunga na World council of Churches ni baada ya serikali yetu kukubali hawa jamaa waingie nchini na kuweka kambi zao na ndio maana kuna nchi ambazo pamoja na kuwepo madhehebu hayo hayo hazina ushirikiano na World conuncil of Churches.
Je, unaweza kunambia kwa nini kuna nchi ambazo bado hawajajiunga hali ni dhehebu sawa na hilo la Tanzania?..sidhani utasema labda hawajataka...
Nitarudia kusema kwamba kila Organisation inayotaka kuweka mguu wake nchini ni LAZIMA ipate baraka za serikali na muhimu kwa sababu nyingi ikiwa ni pamoja na national security laa sivyo kama ingekuwa ni swala la dini kuamua basi bila shaka Tanzania au niseme Zanzibar wangekuwa wanachama wa Alqaeda.. Kulingana na fikra zenu maswala la kujiunga ni maswala ya jumuiya husika nchi haiwezi kuhusishwa.basi ingekuwa rahisi hivyo nchi ingekuwa haikaliki..nasema hivi check tena na Utawala wa nchi ujue sheria zake.

Kisha mkuu sikufananisha Vatican na OIC hata kidogo haya maneno unayatunga wewe nilichoandika mimi ni ktk kuonyesha tofauti kati ya Vatican na Saudia, sio Vatican na OIC kulingana na hoja ya Rev. Kishoka, ni tofauti ambazo unaweza pia kuziona kati ya World council of Churches na OIC.
Nimetumia muda mwingi kuwaonyesha OIC ni chombo cha aina gani tofauti na vyombo nyenu vinavyoongozwa na makanisa ama dini moja kwa moja na mkuu wa dini ama dhehebu ana mkono ndani ya chombo hicho hali Saudia na OIC ni vyombo vinavyoongozwa na watu wasiokuwa na wadhifa ktk dini ya kiislaam na nikatoa mfano wa Queen..yote hii ni ktk ingiza chumbani mpate kua kitanda kiko wapi na choo kiko wapi ndani ya jumuiya za kiislaam.
Leo hii unaweza kabisa kumwondoa Sultan Kinga Abdullah wa Saudia na hata kumpindua lakini huwezi kufanya hivyo Vatican. Kiongozi wa OIC anaweza kuondolewa na watu nje ya Utawala wa dini lakini huwezi kufanya hivyo ktk vyombo vya kikristu kama World Council of Churches na ndio maana nikasema nyie Wakristu kusema kweli mmejipanga vizuri ktk uongozi wa dini yenu tofauti na waislaam ambao hakuna chombo cha kidini wala mkubwa isipokuwa ktk sehemu za Ibada...Ktl maswala ya jumuiya we are disorganised ile mbaya, Mkinielewa vitu navyojaribu kusisitizia basi bila shaka mnaweza kabisa kupima mengine.
Mimi sina pingamizi na jambo lolote linalohusiana na Ukristu maadam lina kheri ndani yake iwe kwa sisi wote ama wakristu na halijengi chuki baina yetu..
Je Tanzania sio member wa YMCA na YWCA na lini mliwahusisha waislaam kuhusiana na kujiunga kwenu..ni sehemu nyigni sana naweza kuzitasema lakini kama mlivyo mttaka kunieleza kazi ya vombo hivyo vya kwenu ktk kuendeleza Ukristu lakini nyi tena hamtaki kusikia chombo cha waislaam hata kama kitasaidia watu wote maadam kimebeba neno Uislaam..
kwaherini na nakutakieni majadiliano mema maanake mada hii imefikia mahala ambapo sintapenda kuendelea ila Mwenyezi Mungu mkubwa atawapeni mwanga..

Shukran zangu za dhati kwa Mwanakijiji, Rev. Kishoka, Yournnameismine, Fundi mchundo na wengine ambao tumejadiliana kwa hali tulivu wakati wote..Na nawaomba sana samahani kwa kutumia maneo nkama NYIE.. jambo ambalo sikupenda kabisa kulitumia na wala sii ustaarabu ama lugha nzuri.

Nilikuwepo!


Ama kweli umechanjia ubishi, huna aibu! unaleta taarifa za uongo mkuu , umechanjia huna dili, wala nini, nyie ndie mnaharibu sifa zetu za kiislamu.Mimi mwislamu what Kikwete and his fellas doing is a piece of shit. You can not compare Sultan and Vatican never on earth, you will NEVER JUSTIFY KUWA TZ TUINGIE NDANI YA OIC, UNLESS WALIOTUNGA KATIBA WALIKUWA WAJINGA! YA NINI HAYA?MARA OIC, MARA MAHAKAMA YA KADHI, MARA KUGOMBNIA MAITI, MARA..... YAANI SISI TU. Nimebadili dini wiki iliyopita.
 
Back
Top Bottom