IronBroom
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 521
- 36
Tusisahau huyu ni mwanafunzi mwaminifu wa Sir Chande with that secret thing of theirs.
Oh really?I didnt know that.
Tusisahau huyu ni mwanafunzi mwaminifu wa Sir Chande with that secret thing of theirs.
Kwanza karibu kwenye jamvi.
Pili, sidhani kama ni sawia sisi kuanza kukuuliza ufafanuzi wa hizo tuhuma zako.
Unachotakiwa kufanya ni kwamba baada ya kuanisha vipengele vya ufisadi wa bw. Kusaga, unatakiwa sasa upige hatua moja mbele, utoe ufafanuzi wa hizo hoja zako ndipo sasa nasi tupate nafasi ya kuzichambua moja baada ya nyingine, vinginevyo utaonekana wewe ni hater tu ama la unaleta udaku tu hapa.
Ikiwa ni post yangu ya kwanza,ningependa kuwajulia hali wana JF na wadau wote wenye nia njema na nchi yetu Tanzania.
Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa na The Don of entertainment Tanzania Mr. Joseph kussaga kama anavyopenda kujiita The Don aka Mullah.
vifuatavyo ni vipengele ambavyo niko tayari kuvielezea kwa atakae taka kujua kiundani jinsi bwana huyu alivyoishikiria nchi kwenye nyanja ya burudani kwa maslahi yake binafsi.
Mimi ni mmojawapo wa watu wake wa karibu ambao katika wachache waliofanikiwa kujikwamua kutoka kwenye himaya yake na nimeamua kujitoa muhanga na kuweka hadharani chochote wana JF ambacho kinawakwaza kuhusiana na Ufisadi unaoendelea kwenye burudani Tanzania.
- Udhamini(sponsorships)
- Bongo flava
- Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)
- Polisi
- Tanesco
- kumbi za starehe
- Umalaya
- na chochote kuhusiana na burudani Tanzania.
Kwakuwa ningependa kufafanua kimpangilio ndiyo maana nimeweka vipengele hivyo hapo juu ili niweze kuvifafanua inapobidi. Kutokana na ufisadi huu kuwa mkubwa na wenye network nyingi ningependa kufafanua kipengele kwa kipengele kama nilivyoviorodhesha hapo juu lakini iwapo ntatakiwa kufanya hivyo.
Nawakaribisha jamvini wana jamii ili tuweze kuutokomeza ufisadi huu kwa maslahi ya taifa.
Ahsanteni na karibuni.
Huyu jamaa hatumuwezi maana kaisha mkamata JK , hakuna kufurukuta fungu la uchaguzi lote liko kwake maana radio yak itatumika ku hamasisha vijana kupiga kura,
Anachosema hapa Afro siyo kitu kigeni katika masikio ila inapendeza zaidi kama yeye alikuwa huko jikoni. Thread ya Mr.2 na zinduka imeeleza sana issue za hawa jamaa.
mkuu, weka kila kitu wazi kabisa, ukiweza taja na majina ya wahusika, let JF be mahakama ya raia inayotoa adhabu za kisaikolojia!
....
Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa ...
QUOTE]
- Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)
Mkuu, nafaham baadhi ya watangazaji hawapigi nyimbo za underground bila mshiko, hili liko wazi na bongo flava community wanalielewa.
Niliwahi sponsor underground na ilikuwa kawaida kuombwa pesa ya kuwapa watangazaji ili nyimbo zipigwe redioni. Kibaya zaidi ili utoke unahitaji nyimbo yako ipigwe pale, wahindi bila kuiskia nyimbo yako imepigwa na wale jamaa huuzi kitu.
Ili kujua kuhakikisha siingizwi mjini na underground kuna siku niliandamana nao wakati wanapeleka mshiko na nilishuhudia watangazaji wawili maarufu wakikamatishwa ule mshiko. Kutoka pale nikatumia connection zangu nikaunganishwa na kigogo mmoja pale redioni ambaye alikiri na kusema yeye binafisi hana la kufanya maana watangazaji wanapower kuzidi yeye kutokana na kuwa karibu na owner. The guy went as far as saying I quote 'angalia magari ya thamani wanayoendesha pesa wanatoa wapi?'
Nilishajitoa kwenye huu udhamini kama miaka mitatu sasa hivyo kama wamebadilika ni hivi karibuni.
Hi hawa jamaa (Kina Kusaga) hawawezi kumgundua Afro kutokana na hizi threads zake kweli?. Ikiwa ni hivyo, wasiwasi wangu ni kwamba watamla nyama akiwa hai!
Ona sasa umeweka mambo nusu nusu unasababisha jukwaa badala ya wadau kujadili wanaanza kuuliza maswali... alafu mwenyewe hujibu umeingia mitini!Ikiwa ni post yangu ya kwanza,ningependa kuwajulia hali wana JF na wadau wote wenye nia njema na nchi yetu Tanzania.
Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa na The Don of entertainment Tanzania Mr. Joseph kussaga kama anavyopenda kujiita The Don aka Mullah.
vifuatavyo ni vipengele ambavyo niko tayari kuvielezea kwa atakae taka kujua kiundani jinsi bwana huyu alivyoishikiria nchi kwenye nyanja ya burudani kwa maslahi yake binafsi.
Mimi ni mmojawapo wa watu wake wa karibu ambao katika wachache waliofanikiwa kujikwamua kutoka kwenye himaya yake na nimeamua kujitoa muhanga na kuweka hadharani chochote wana JF ambacho kinawakwaza kuhusiana na Ufisadi unaoendelea kwenye burudani Tanzania.
- Udhamini(sponsorships)
- Bongo flava
- Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)
- Polisi
- Tanesco
- kumbi za starehe
- Umalaya
- na chochote kuhusiana na burudani Tanzania.
Kwakuwa ningependa kufafanua kimpangilio ndiyo maana nimeweka vipengele hivyo hapo juu ili niweze kuvifafanua inapobidi. Kutokana na ufisadi huu kuwa mkubwa na wenye network nyingi ningependa kufafanua kipengele kwa kipengele kama nilivyoviorodhesha hapo juu lakini iwapo ntatakiwa kufanya hivyo.
Nawakaribisha jamvini wana jamii ili tuweze kuutokomeza ufisadi huu kwa maslahi ya taifa.
Ahsanteni na karibuni.
- Udaku, majungu bin fitina wrong number mkuu! Joe ni mfano wa kuigwa kutoka mfanyakazi wa chini sana wa Bima mpaka the Don wa entertainment wa taifa, ana mapungufu kama bin-adam yes amekuibia mahakama zipo, amekupiga mahakama zipo, umalaya ni matatizo ya binafsi, ni kiongozi wa taifa hapana ni self made Billionea,
- Self billionea, matokeo udaku, fitina, chuki, majungu na wivu, wakikushinda jiunge nao!
Respect.
FMEs!
Najua mwanzoni itakuwa ngumu kueleweka kwakuwa maswali mengi yatajitokeza kutokana na thread hii,Ila ningependa kufafanua zaidi kwamba mimi sikuwa mshiriki wa Kussaga bali nilikuwa muajiliwa niliye kifungoni kama wasanii wanavyowekwa kifungoni lakini imefikia wakati nimeshindwa...mimi fani yangu kubwa ni mwana burudani,nilijitoa Clouds FM miezi michache iliyopita na kujaribu kuendeleza fani yangu kimwenyewe mwenyewe lakini mambo yanayonikuta ni kwamba nimefungiwa njia zote na huyu jamaa na hakuna njia yoyote ya mimi kujiendesha binafsi kwakuwa nyanja nyingi zinazohusiana na Entertainments zimeshabanwa.Labda nibadilishe fani au nikubali kuendeshwa na huyu jamaa kama anavyotaka yeye.
wengi watafikiri ni udaku au majungu au Chuki lakini si hivyo kabisa.kuna mambo mengi sana ya kifisadi yanaendelea katika fani hii ambayo kwa mimi binafsi ninauhakika tunaweza kuyakemea kwa maslahi ya jamii. mi nafikiri tuwe wavumilivu na tuijadili hoja hii kiupole zaidi.
JF ina mambo mazito..
Mengine majungu,mengine kweli tupu mengine loh
Haya mheshimiwa Afro endelea kutupa Dataz za bwana kusaga
Hi hawa jamaa (Kina Kusaga) hawawezi kumgundua Afro kutokana na hizi threads zake kweli?. Ikiwa ni hivyo, wasiwasi wangu ni kwamba watamla nyama akiwa hai!